Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Jibu swali mnafiki wewe, udini wako ni wa kuzusha tu.Yake yamemwishia zamani.
Kazi ya Mungu haina makosa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali mnafiki wewe, udini wako ni wa kuzusha tu.Yake yamemwishia zamani.
Kazi ya Mungu haina makosa.
Lini bana!!..hao huwa hawamnangi rais mkatolikina TEC
I am convinced you know what you are talking about.Kwamba waalitakiwa kufanya nini? Kuna falsafa inasema hivi: "An army of sheep led by a lion is better than an army of lions led by a sheep. This undescore the importance of subjects to support strong leaders who choose to take risk to lead them. Kama hawataungwa mkono kwa sababu mbali mbali hawapaswi kulaumiwa hata kidogo. Tatizo linakuja kwamba mara nyingi hoja yenye mashiko ambayo inafaa kuungwa mkono na watu wengi au watu wote kwa maslahi ya wengi hudandiwa na wanapropaganda kwa kuhamisha mjadala kuanza kujadili watu kwa misingi mbali mbali ikiwemo histora, itikadi, dini hali ya maisha n.k.!! Na katika hili Chama Tawala kimefanikisha kwa kiasi kikubwa, Kasome kitu kinachoitwa adhominem fallacy. Kesho utakuta watu wanajadili "Maaskofu wanamkosoa Rais Kwakua ni mwislamu" Kesho utaskia "Kwa sababu ni Mzanzibari' Badala ya mjadala kujikita katika hali halisi ya Maasai Cummunity and challenges mjadala utahama na ajenda kushahulika!!! uswalaumu they are playing their part to the marked limit that they cant cross or go bryond. iwapi nafasi yako na wewe?
TEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.Jibu swali mnafiki wewe, udini wako ni wa kuzusha tu.
Ni kosa kubwa huwa linafanyika.Mbona mikutano ya siasa wanaalikwa
Na hii ndio hatariMaana waumini husikiliza sana viongozi wao wa kidini
Ihakika nilionao ni kwamba wewe huwezi kuiona pepo kutokana na unafikiTEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.
Umesahau?
Sasa subiri vitendo vitakvyo jibu hivyo vitendo vya kihayawani. Usifikiri yamefikia mwisho.TEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.
Umesahau?
Muunguja majibu yake ni vitendo tu.
Mkiambiwa CDM mna udini na ukanda mnakataa. Ona agenda ya Chadema na NGO za Kenya zinavyoshabikiwa na askofu mchagaNi lini BAKWATA itatotoa tamko kama hili?
DP World wanedeleaje bandarini huko?Ihakika nilionao ni kwamba wewe huwezi kuiona pepo kutokana na unafiki
Itapendeza sana tukimsikia mwenyewe alivyo sema.WasafiTV wamepost video clip akijnasibu kuwa yeye ni gwiji la sheria lkn kitu cha hovyo kama hicho. Ngoja niitafute niilete kama ilivyo
DP World wanedeleaje bandarini huko?Sasa subiri vitendo vitakvyo jibu hivyo vitendo vya kihayawani. Usifikiri yamefikia mwisho.
Hii ndiyo takataka gani unaleta hapa. Mada inasema kitu gani na wewe unaleta nini hapa?DP World wanedeleaje bandarini huko?
Unaelewa na wale Aidan, shareholders wakubwa ni wa Abu Dhabi?
Bandari nusu Dubai, nusu Abu Dhabi .
Mama anawashindanisha kiaina ya pekee.
Haijawahi kutokea duniani.
Mungu yupiYake yamemwishia zamani.
Kazi ya Mungu haina makosa.
Nyie juzi mmeua msanii Mandojo kanisani kwenu mkiwa na majoho, biblia, mikate na wine, mbona hamjatoa kauli?Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoriki Tanzania Daktari wa Falsafa na Padre ndugu Kitima amesema si haki na ni udhalilishaji wa wazi wanafanyiwa Wamasai wa NGORONGORO kwa kunyimwa haki zao.
"....leo hii tunapozungumza ndugu zetu Wamasai wa kule NGORONGORO wanatuma ujumbe mbaya wenye twasira hasi Kimataifa. Unapowaeleza ni hiari yao kubaki NGORONGORO halafu ukiwanyima haki zao za msingi huo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu! Jiulize kwa walichokifanya leo huko Duniani waelevu wanatufikiriaje!?" Amehoji Kiongozi huyo mtendaji wa TEC.
Chanzo: Jambo TV
Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
liyemwondoa duniani.Mungu yupi
Kwani haiongelewi bandari ya Ngorongoro hapa?Hii ndiyo takataka gani unaleta hapa. Mada inasema kitu gani na wewe unaleta nini hapa?
Hizi akili za kilevi siku zote zinakusumbua sana.
Ushauri kwako ni huu: unapokuwa umelewa hicho kilevi chako usije mbele za watu JF kutoa usumbufu wako kama mlevi.
Elimu maana yake nini??Achilia mbali kwamba maaskofu ni mitume wa Mungu ila Askofu mmoja wa catholic ana degree si chini ya tatu, hizi ni PhDs, zikiongea kaa usikilize kwa utulivu.
Hao TEC tushawazoe kila akiwa raisi muislam wa ni matamko kwakwenda mbeleNi lini BAKWATA itatotoa tamko kama hili?