Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Asante sana Mkuu.Poleni kanisa na wote mnaguswa na msiba huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana Mkuu.Poleni kanisa na wote mnaguswa na msiba huu
Vicky kwani umekuaje 😁Waliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Kardinali Rugambwa
Ohooooo mgodi wa St. Peter's umeanza kutemaMhashamu Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam anasikitika kuwatangazia kwamba leo tarehe 18/08/2021 saa 10.30 jioni hii mpendwa wetu PADRE PAUL HAULE ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele.
Akiwa katika matibabu ktika Hospitali ya Kardinali Rugambwa Ukonga.
Tutataarifiwa taratibu zingine za mazishi zitakapopangwa. Tumuombee apumzike kwa amani.
Pd. Vincent Mpwaji
Chancellor.
Marehemu Alikuwa Mkurugenzi wa Tumaini Media
Haina haja ya kuuliza. Utaona tu mlolongo.Kwa hio Mchungaji Msigwa, Lissu na Mbowe nao tuwategemee?
Hii imenifanya nikaangalie video yake ya mwisho pale st peters. Magufuli alivyomsema jaji Mihayo kisa kavaa mask. Na siku ina masaa 48.Ila Mungu jamani acha tu.Kama mzaha hivi, ila kwa kweli yaani nikumbuka majigambo , kibri ,matusi, ubabe na ujuaji mwingi wa Magufuli , alivyotokomea😂😂😂
Padre hafi, anaitwa kwenye nyumba yake ya milele tuu.Si mseme tu amefariki? Mnazunguuukaa
Wewe hukupiga picha na magufuli hutakufa.Waliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Wewe hautakufa?!Waliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Wewe utabaki milele?Waliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo ya Mungu baba alie hai.Wewe hautakufa?!
Sitakufa bali nitaishi,nami nitayasimulia matendo ya Bwana Mungu.Wewe utabali milele?
Waliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Vicky anamsagia kunguni kila mtu aliyekuwa karibu na MaguVicky kwani umekuaje 😁
Pumzika kwa amani Father.
Si mseme tu amefariki? Mnazunguuukaa
Ilibidi leo nikaangalie video yake ya mwisho pale st Peters. Ni full kuponda barakoa.Yaani hawa mawaziri sijui hata kwa nini wanataka kumkamata Gwajima. Wakati anayoyaongea Gwajima ndo aliyoyasema Magufuli waliyekuwa wanamuunga mkono.😂😂😂😂 kaambukiza wengi sana kwa ubishi wake wa kutovaa matambara AKA masks.