TANZIA Padre Paul Haule ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele

TANZIA Padre Paul Haule ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele

Mhashamu Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam anasikitika kuwatangazia kwamba leo tarehe 18/08/2021 saa 10.30 jioni hii mpendwa wetu PADRE PAUL HAULE ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele.

Akiwa katika matibabu ktika Hospitali ya Kardinali Rugambwa Ukonga.

Tutataarifiwa taratibu zingine za mazishi zitakapopangwa. Tumuombee apumzike kwa amani.

Pd. Vincent Mpwaji
Chancellor.

Marehemu Alikuwa Mkurugenzi wa Tumaini Media

Ohooooo mgodi wa St. Peter's umeanza kutema
 
Raha ya milele umpee ee bwana

Na mwanga wa milele umwangazie

Apumzike kwa amani. Amina
 
😂😂😂😂 kaambukiza wengi sana kwa ubishi wake wa kutovaa matambara AKA masks.
Ilibidi leo nikaangalie video yake ya mwisho pale st Peters. Ni full kuponda barakoa.Yaani hawa mawaziri sijui hata kwa nini wanataka kumkamata Gwajima. Wakati anayoyaongea Gwajima ndo aliyoyasema Magufuli waliyekuwa wanamuunga mkono.
 
Back
Top Bottom