Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Apumzike kwa amani Father Haule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ulitaka kusema nini hasa, .Na wewe utakufa na Umaskini wako juu..wenzako wamekufa ,familia zao zinaishi kwa raha..wewe utawaachia nini nduguzo??
Kaamua kumsaliti marehemu, vicky alikuwa swaiba alikua anamkubali mwendazakeVicky anamsagia kunguni kila mtu aliyekuwa karibu na Magu
Huyo alikataliwa na Magufuli, bifu hadi sasaDaaaah Kuna Watu bado mna denial situation na Magufuli
Hivi huyu hajawahi kuhudumia Kanisa Katoliki Mikocheni kweli miaka ya 2008/9?..Mt.Martha...kama kumbukumbu iko sawa..Mhashamu Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam anasikitika kuwatangazia kwamba leo tarehe 18/08/2021 saa 10.30 jioni hii mpendwa wetu PADRE PAUL HAULE ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele.
Akiwa katika matibabu ktika Hospitali ya Kardinali Rugambwa Ukonga.
Tutataarifiwa taratibu zingine za mazishi zitakapopangwa. Tumuombee apumzike kwa amani.
Pd. Vincent Mpwaji
Chancellor.
Marehemu Alikuwa Mkurugenzi wa Tumaini Media
Wewe nini hapo ujaelewa?,wabongo mnapenda sana malumbano na kupinga tu.Si mseme tu amefariki? Mnazunguuukaa
[emoji23][emoji23][emoji23] vee shida ni nn?Waliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Yani yale ndo maisha halisi wala hakumuiga mtu.Kama mzaha hivi, ila kwa kweli yaani nikumbuka majigambo , kibri ,matusi, ubabe na ujuaji mwingi wa Magufuli , alivyotokomea[emoji23][emoji23][emoji23]
Leta hiyo picha !Hata kama ipo not connected spirituallyFreeman Mbowe alipiga naye picha kwenye msiba wa kaka yake!
Pole mjane kunywa maji roho itulie, hakuna namna yoyote ile naweza kukusadia.Yani yale ndo maisha halisi wala hakumuiga mtu.
Nani natamani kufata nyendo zake, kwani kufa ni lazima kwa kila kiumbe.
Kuna wengine kama wewe unaweza kufa hata maiti yako isipatikane kifo cha kishenzi kabisa.
Kumbe timu misifa…😂😂😂😂Nakumbuka alipongezwa na JPM kwa kutokuvaa barakoa.Amelipa ujinga aliotumikia.
View attachment 1897866View attachment 1897867
AminaRaha ya Milele umpe eeh Bwana!. Na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa aman.
Amen.
Jipange utakufa kifo kibaya sana hata kuiosha maiti yako itakuwa ngumu, utaenda na janaba lako.Pole mjane kunywa maji roho itulie, hakuna namna yoyote ile naweza kukusadia.
kwa kweli ametokomea na mavi yake, ni ajabu na kweli.
Huu ni ujinga wa mama siyo magufuliNakumbuka alipongezwa na JPM kwa kutokuvaa barakoa.Amelipa ujinga aliotumikia.Amevuna alichopanda.
View attachment 1897866View attachment 1897867
Kiongozi bora ni yule anaye watangulia kondoo kwa mbele kama magufuli hata kama akifa siyo huyo mama mwoga anayejali maisha yake zaidi kuliko taifa sisi tumeamua kumuenzi magufuli kwa kutokuchanjwa hata kama tutakufa hadi itakapo patikana chanjo ya akika ya covidiKumbe timu misifa…[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amevuna alichopanda[emoji1][emoji1][emoji1]