Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utabali milele?Waliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Sitakufa bali nitaishi,nami nitayasimulia matendo ya Bwana
Ameen mamaSitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo ya Mungu baba alie hai.
Wametumia Tafsida ya Kithiolojia Ndugu.Si mseme tu amefariki? Mnazunguuukaa
Hili Kanisa lake hili !!!Mhashamu Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam anasikitika kuwatangazia kwamba leo tarehe 18/08/2021 saa 10.30 jioni hii mpendwa wetu PADRE PAUL HAULE ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele.
Akiwa katika matibabu ktika Hospitali ya Kardinali Rugambwa Ukonga.
Tutataarifiwa taratibu zingine za mazishi zitakapopangwa. Tumuombee apumzike kwa amani.
Pd. Vincent Mpwaji
Chancellor.
Marehemu Alikuwa Mkurugenzi wa Tumaini Media
Kanisa la kimitego sana hiliR.i.p fr Haule paroko msaidizi st peters obey
Ilibidi leo nikaangalie video yake ya mwisho pale st Peters. Ni full kuponda barakoa.Yaani hawa mawaziri sijui hata kwa nini wanataka kumkamata Gwajima. Wakati anayoyaongea Gwajima ndo aliyoyasema Magufuli waliyekuwa wanamuunga mkono.
Nadhanu huyu mzee aliwadanganyishia na kile kijuisi cha MadagascarWaliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.
Tukisema inalahi waina ilayhi raji'un !
Nako tunazunguka kusema amefariki
Alipougua alijifukiza ila ndo hivyo tena.Nadhanu huyu mzee aliwadanganyishia na kile kijuisi cha Madagascar
Baada ya hapa Coronavirus ikamtembelea. Aliifuata mwenyewe Dar es salaam,baada ya kujificha Chato kwa muda mrefu.
Eti huyo ndiye James haule ?R.i.p fr Haule paroko msaidizi st peters obey
Dhehebu la kisomi hilo...Sio kama......Si mseme tu amefariki? Mnazunguuukaa
Na wewe utakufa na Umaskini wako juu..wenzako wamekufa ,familia zao zinaishi kwa raha..wewe utawaachia nini nduguzo??Kama mzaha hivi, ila kwa kweli yaani nikumbuka majigambo , kibri ,matusi, ubabe na ujuaji mwingi wa Magufuli , alivyotokomea[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani, wote wanaisha,jamaa alikuwa na mkosi mkali sana, laana za watu hizoWaliopiga picha na Magufuli wote watakufa. R.I.P padre Haule.