Una ushahidi kama alishiriki? Maana kesi haijaisha ukasaidie ushahidi.Lakini kumbuka pia wapo Mapadre wa RC ni wanateka na kuua, kama yule Padre aliyeshiriki kumteka Albino na kumua mtoto mdogo asiyekuwa na ubaya wowote. Hivyo usigeneralize tu.
Unajua maana ya kafir? Hata ndani ya waislamu Kuna makafir wengi sana ungejua tafsir ya neno hilo.Hatukuona miwaraka na kelele kama hizi,ajabu Leo mapambio yamekuwa mengi na kwaya,shida nini makafiri??
Bora takataka mpyaUNATAKA KURUDISHA MATAKA TAKA MENGINE IKULU. AKAGOMBEE KWENYE FAMILIA YENUM
Geita?Mbona Padre aliteka na kuua Albino huko Geita!!?
Kumbe ndo hivyo? Kwa hiyo wapo wasiojulikanaIla awe macho watu hawajali kama ni kiongozi wa kiroho, wasiojuliķana wanamvaa mtu yoyote.
Tutalinda kwa gharama yoyote. (Saa100 voice) Naogopa mimiHakuna muislamu anaefurahia utekaji, Mimi ni muislamu kama wewe lakini naumizwa nawatu kutekwa na kuuliwa, kisha Serikali inajifanya haijui.
Wewe kweli bonge la BUMUNDA,😃😃Fala mwenyewe kafiri wewe.
Nani hajui kuwa makafiri mmejaa chuki zisizo na kifani kwa waislam na uislam??
Sasa KWA taarifa yenu,huyu mama hamumfanyi chochote kile,hizo mimba zenu za chukii safari hii mtaenda labor mtake msitake.
Tatizo sio kufuatilia,Tatizo kuu la serikali na jeshi la polisi ni ukosefu wa ufuatiliaji wa haraka na utoaji wa ripoti sahihi kwa wananchi.
Ripoti nyingi zinazotolewa zimejaa mashaka na kutokuaminika. Hali hii inachangia katika kuvuruga imani ya umma na kuonesha jinsi jeshi la polisi linavyokosa ufanisi na kuwa na matatizo ya kiutendaji.
Jeshi letu halina matatizo kabisa na ufuatiliaji. Ukitaka kujua halina matatizo hayo jaribu kuchoma picha ya Rais.Tatizo kuu la serikali na jeshi la polisi ni ukosefu wa ufuatiliaji wa haraka na utoaji wa ripoti sahihi kwa wananchi.
Ripoti nyingi zinazotolewa zimejaa mashaka na kutokuaminika. Hali hii inachangia katika kuvuruga imani ya umma na kuonesha jinsi jeshi la polisi linavyokosa ufanisi na kuwa na matatizo ya kiutendaji.
HahahaTitus Amigu
Sumu ya Nyigu
Umenena kweli Alhaji!Wakristo kwa chuki ndo zao,hapo matamko yatakuwa ni kila siku,chukueni time zenu.
HahahaUmenena kweli Alhaji!
wakristo wana chuki sana!
...hivi kuteka na kuua ndo vya kuchukia kweli?
ebu wachukue time zao.
Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowajibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
hao jamaa wa Mbweni ni wakina naniYawezekana ujasiri wa polisi unapotea pale wanapokutana na wale jamaa wa 'Mbweni'!
Nimelipenda hili jibu la kibabe lililokwenda shule ya mkoloni, sio shule hizi za kipuuzi za maccm.Unaniagiza Kama nani? Utafute mwenyewe.
H
hao jamaa wa Mbweni ni wakina nan
Ya mobutu tena?Safi sana Padre RC hakuna kukopesha wala uchawa kanisa Katoliki litumie nguvu na ushawishi wake kuibana serikali ya Mobutu
Kwanini unasema hivyo?kama haya maneno yamesemwa na padri basi huyo padri sio mtakatifu bali ni mtakavitu
MJASIRI HAACHI ASILI.Hapo kwenye bold ALIEPIGWA..
unaona unatuandikia kimakonde chako cha msimbati.