Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Roman Catholic imekua comedy sasa.
Yaan nakumbuka kuna mzee mmoja mtaani nilipokulia alikuaga mkatoliki mzuri ila alikua na wake wawili. Alipofariki yule mzee alizikwa na katekista tu, padri akasusia msiba hata hakuja kutoa baraka.
Vile vile marehemu Ruge tuliona namna maaskofu wa bukoba walivyoutelekeza mwili airport na akaenda kuzikwa na katekista japo mzee wake na ruge ni mkatoliki safi na ana mchango mkubwa sana parokiani.
Leo hii huyohuyo padre asioruhusiwa kumbariki marehemu mkatoliki aliefariki akiwa kwenye uchumba anaruhusiwa kuwabariki mashoga wakitaka baraka.
Hiki ni kichekesho cha karne, Papa na uongozi wa Roma kiukweli mmeonyesha namna tulivyo wa-overestimate, it all looks like a fraud now.
Yaan nakumbuka kuna mzee mmoja mtaani nilipokulia alikuaga mkatoliki mzuri ila alikua na wake wawili. Alipofariki yule mzee alizikwa na katekista tu, padri akasusia msiba hata hakuja kutoa baraka.
Vile vile marehemu Ruge tuliona namna maaskofu wa bukoba walivyoutelekeza mwili airport na akaenda kuzikwa na katekista japo mzee wake na ruge ni mkatoliki safi na ana mchango mkubwa sana parokiani.
Leo hii huyohuyo padre asioruhusiwa kumbariki marehemu mkatoliki aliefariki akiwa kwenye uchumba anaruhusiwa kuwabariki mashoga wakitaka baraka.
Hiki ni kichekesho cha karne, Papa na uongozi wa Roma kiukweli mmeonyesha namna tulivyo wa-overestimate, it all looks like a fraud now.