Padri asioruhusiwa kumbariki marehemu mkatoliki ambae amefariki bila kuoa leo hii anaruhusiwa kubariki mashoga wakitaka baraka.

Padri asioruhusiwa kumbariki marehemu mkatoliki ambae amefariki bila kuoa leo hii anaruhusiwa kubariki mashoga wakitaka baraka.

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Roman Catholic imekua comedy sasa.

Yaan nakumbuka kuna mzee mmoja mtaani nilipokulia alikuaga mkatoliki mzuri ila alikua na wake wawili. Alipofariki yule mzee alizikwa na katekista tu, padri akasusia msiba hata hakuja kutoa baraka.

Vile vile marehemu Ruge tuliona namna maaskofu wa bukoba walivyoutelekeza mwili airport na akaenda kuzikwa na katekista japo mzee wake na ruge ni mkatoliki safi na ana mchango mkubwa sana parokiani.

Leo hii huyohuyo padre asioruhusiwa kumbariki marehemu mkatoliki aliefariki akiwa kwenye uchumba anaruhusiwa kuwabariki mashoga wakitaka baraka.

Hiki ni kichekesho cha karne, Papa na uongozi wa Roma kiukweli mmeonyesha namna tulivyo wa-overestimate, it all looks like a fraud now.
 
Dawa ni

1. Kusilimu.


2. Kurudi kwenye dini zenu za asili
Utashangaa unasilimu na wenyewe wanaokubali, husikii taarifa za Saudi Arabia sikuhz, MBS anavyofanya mambo kiwestwest
 
Roman Catholic imekua comedy sasa.

Yaan nakumbuka kuna mzee mmoja mtaani nilipokulia alikuaga mkatoliki mzuri ila alikua na wake wawili. Alipofariki yule mzee alizikwa na katekista tu, padri akasusia msiba hata hakuja kutoa baraka.

Vile vile marehemu Ruge tuliona namna maaskofu wa bukoba walivyoutelekeza mwili airport na akaenda kuzikwa na katekista japo mzee wake na ruge ni mkatoliki safi na ana mchango mkubwa sana parokiani.

Leo hii huyohuyo padre asioruhusiwa kumbariki marehemu mkatoliki aliefariki akiwa kwenye uchumba anaruhusiwa kuwabariki mashoga wakitaka baraka.

Hiki ni kichekesho cha karne, Papa na uongozi wa Roma kiukweli mmeonyesha namna tulivyo wa-overestimate, it all looks like a fraud now.
wee acha tu!! eti ata kama m2 haendi jumuia hazikwi!!
 
Back
Top Bottom