Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Ngoja tupekue na upande wetu wavaa vipedo na yeboyebo kama kweli wanasema hatupendi Elimu bali tunapenda Ilimu Akhera.
 
Anajulikana ndio sijakataa hata mimi namfahamu, lakini je, ni wote tulikuwa tunafahamu kuwa ni manajeshi komandoo? Point yangu ni ilikuwa hapo.

Siyo lazima wawe walikuwa wanafahamu! Hata hivi sasa siyo wote waliofahamu kuwa kuna huyo mtu, hata baada ya taarifa zake kuwekwa kwenye mitandao!
 
Ngoja akitoka hapo tumuulize mwenyewe

Huyo hata kanisani hujitambulisha kwa hivyo vyeo vyake sometime! Huwa wakati mwingine kwenye mahubiri yake anapenda kuelezea historia yake na huko kote alikopitia hadi kufika alipo hivi sasa...huna haja ya kumvizia uchochoroni umuulize!
 
Padre yeyote wa Katoliki ni waelewa sana. Miaka mingi wanayosoma, maadili yao imewafanya waelewe mambo mengi sana.
 
Vatcan ni serikai kamaili yenye majajusi wake na idara ya usalama, wenye utii mkubwa na uwezo wa kuibadilikia hata inchi aliyo zaliwa,ni taasisi tajili yenye kumiliki ardhi na miradi Duniani kote,watu wao wa usalama ni pamoja na hao,kuhakikisha hakuna mali wala fedha na heshima yao inanyakuliwa na mtu yoyote au taifa lolote.

Wasimuamini sana
 
Nadhani Military Ordinariates wana sare zao tofauti. Ni maoni yangu tu pia. Cuz hata camouflage za JKU, KVZ, JKT, JWTZ na wale jamaa Presidential hazifanani.
Hii unaweza kuwa point nakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…