Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Hizo sio sare za JWTZ

USSR
 
jambo la pekee sana amefanya
 
Huo mbona siyo mshati wa jombo letu ukiutilia maanani Sana Kama wa bondeni.
 
Sio kamandoo huyo kaghushi.Hizo ni sare za wanajeshi wa sudan.Anapenda sana sifa huyu
 
Yap.. makao makuu yao yapo lang'ata nairobi na pia kwa bongo shule yao ni Uru Seminary kilimanjaro
Na hapo Moshi town Wana nyumba zao Chaka Fulani hivi huwezi tambua ila coz nilikuwa mtumishi wa misa Christ the King cathedral nikiwa primary school niliweza kuwatambua na kuwa nao karibu currently I know many of them well including aliyekuwa Jimbo la Dar now Ngara, aliyeshutumiwa siyo raia mwisho Serikali ikamwomba msamaha now Ngara are among of many I know, rc is strong army since b4 Christ so no wonderful to see Fr. Rumishi in combat uniform even the followers of Jesus were soldiers
Currently sijapoteza kitu coz hao jamaa walinipa skills za maana ktk maisha ya Leo na nimejiambania nilipo
 
Jamaa ana kofia tatu
Padre arch na mwanajeshi na katika picha naona katupia zote [emoji2][emoji2][emoji2][emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123]
Anaendeshaje shughuli za upadri na jeshi? eg, Alianza kuwa padri kwanza halafu akaruhusiwa kujiunga na jeshi! au alianza kuwa mwanajeshi halafu akaruhusiwa kusomea upadri? na kwa miaka mingapi, kwa ruhusa ya aina gani?
 
Ndo Ishawezekana 😂
Kuna brother wa kitaa Sengerema anaitwa Bosco Mosha (Maneno anaifahamu hii familia), kwasasa yupo Glasgow kule group la home huyu Padre ni classmate wake alisoma naye Uru Seminary, na akiwa Padre kabatiza watoto wa Bosco. Kweli ni Padre wa hilo shirika linalotajwa, sio Padre wa jimbo (kwa wakatoliki wanajua tofauti). Shirika lake lilimtuma South Sudan kutoa huduma ya kiroho na kule aliingizwa SPLA (Jeshi la Ukombozi la Sudani Kusini) na Garang. Then alipata basic training na kuwa Chaplain (mhudumu kiroho) kwenye Jeshi la South Sudan, vyeo hivyo alipandishwa hukohuko South Sudan, hopefully tunafahamu upandishwaji wa vyeo kwa SPLA ulikuwa wa mtindo gani, very politically kwa interest tofauti. Kwa taarifa za brother Bosco hata hizo uniform ni za South Sudan (SPLA). Ila hana uhakika wa cheo cha Meja, sio Komando ila anapenda kucheza Karate na Kung-fu kama part ya mchezo na kujiweka fit, kilichozua mjadala ni andishi la kipotoshaji la Malisa...😄😄
 
Anaendeshaje shughuli za upadri na jeshi? eg, Alianza kuwa padri kwanza halafu akaruhusiwa kujiunga na jeshi! au alianza kuwa mwanajeshi halafu akaruhusiwa kusomea upadri? na kwa miaka mingapi, kwa ruhusa ya aina gani?
PIA KASOMEA UNINJA NA ANA MKANDA MWEKUNDU WA KARATE
 

Attachments

  • VID-20211205-WA0017.mp4
    4 MB
  • VID-20211205-WA0016.mp4
    3.4 MB
Inawezekana ukafikiria vizuri au vibaya. Ila ni jambo zuri kwamba serikali iko hadi Misikitini na Makanisani. Wengine wanasema serikali ina mikono mirefu.
 

Usicheze na Kanisa Katoliki. Ni "brain" ya dunia.
 
Kanisa halijawahi kuwafuata vijana mavyuoni kuwa mapadri hata kwenye jumuia tunazosali.

Mara zote kama ukijiona una talanta ya upadri, unaenda kanisani then paroko anakupa utaratibu.
 
Alafu malisa katanguliza unyumbani kwamba ni padri wa jimbo moshi kumbe la ni padri wa shirika.
Ingawa kwenye andiko hilohilo anaoneka akimtaja kuwa ni wa shirika..

Sasa anashindwa elewa kuwa huwezi kuwa wa jimbo na wa shirika muda mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…