Padri Kitima: Vijana hawatavumilia milele, ipo siku wataleta mapinduzi

Padri Kitima: Vijana hawatavumilia milele, ipo siku wataleta mapinduzi

Alikuwa wapi muda kula zinaibiwa? Aliongea au saiz ndio anapayuka payuka
 
Padri Kitima yuko sahihi kabisa mfano ndo hayo Panyaroad tunayoyaona.
Muda ni mwalimu mzuri sana
 
Padri Charles Kitima ambaye ni Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania amesema nchi inakabiliwa na changamoto kubwa ya kutokuwa na Taasisi Imara za Demokrasia kuanzia kwenye familia hadi kuingia kwenye siasa.

Ameeleza kuwa vijana wamekaa kimya kwa sababu wameamua kuheshimu wazazi wao na viongozi wao lakini hawatavumilia milele mambo yanayowaongezea hasira za maisha.

Padri Kitima amesema "msipojirekebisha nyinyi wanasiasa na vyama vyote, vijana watakuja kuleta mapinduzi miaka 10, 20 ijayo, hamtayakwepa, hawana kazi, mnawaibia kura, mnawayumbisha.
 
Padri Charles Kitima ambaye ni Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania amesema nchi inakabiliwa na changamoto kubwa ya kutokuwa na Taasisi Imara za Demokrasia kuanzia kwenye familia hadi kuingia kwenye siasa.

Ameeleza kuwa vijana wamekaa kimya kwa sababu wameamua kuheshimu wazazi wao na viongozi wao lakini hawatavumilia milele mambo yanayowaongezea hasira za maisha.

Padri Kitima amesema "msipojirekebisha nyinyi wanasiasa na vyama vyote, vijana watakuja kuleta mapinduzi miaka 10, 20 ijayo, hamtayakwepa, hawana kazi, mnawaibia kura, mnawayumbisha.
Padri Kitima amesema "msipojirekebisha nyinyi wanasiasa na vyama vyote, vijana watakuja kuleta mapinduzi miaka 10, 20 ijayo, hamtayakwepa, hawana kazi, mnawaibia kura, mnawayumbisha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Aache mambo ya kufikirika. Anazungumzia wapi? Hawa waliletewa wabunge wa mfukoni na Magu na wasifanye kitu? Walioambiwa na Mwigulu wahamie burundi?
Sijaona hao vijana wa kufanya mapinduzi. Wanaofuatilia siasa wengi ni machawa wa CCM. Waliobaki wanasubiri kudra za Mungu.
 
Hayo angeyasema shehe sasa,
Sipati picha jinsi kuchanganya siasa na dini kungesemwa,
Ila yote kwa yote kasema kweli, ingawa wengine wataona kama anahamasisha fujo hiviii?
Viongozi wa dini wawe makini kauli zao zinabebwa na wengi wafusi tu
 
Back
Top Bottom