Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli adse hali inatisha mnooKwanini wasisitishe Ibada kwa muda kupisha huu upepo, Jumapili zikifika watu nyomi Kanisani mnataka afe nani ili mjue hali mbaya.
unataka afanyeje!??13. Naye Mungu akaendelea kumfanya Mfalme wa Wadanganyika awe na shingo ngumu asiweze hata kung'amua hatari iliyoko mbele yake. 14. Hayo yote yalifanyika ili anguko lake litimie kwa wakati, naam nalo anguko hilo liwe anguko kuu. 15. Hata waliokuwa wakimdanganya mfalme watamcheka na kusema hawakuwa pamoja naye katika maamuzi yake yenye kukosa hekima.
Chato 3:13-15
Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.View attachment 1699505
Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo...
mpaka ufe wewe na baadhi ya Id's hapa jf ndo tutaamini hali ni tete!!!Kwanini wasisitishe Ibada kwa muda kupisha huu upepo, Jumapili zikifika watu nyomi Kanisani mnataka afe nani ili mjue hali mbaya.
Kitawekwa wazi tu parokia take au siku ya mazishi take. La muhimu Kanisa katoliki walishatoa waraka wao Kama sijasahau baada ya padri mmoja kufariki huko Bukoba.Chanzo cha kifo hakisemwi!
Mpaka adondoke mtu mkubwa ndo akili zitawakaaEeee bhana mkuu hizi taarifa za vifo sasa zinatisha !
Aisee ni kweli hii corona haigusi watoto kabisa!Kila mtu ajilinde, watoto hawawezi kufa ila Wazee watakufa
View attachment 1699505
Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo...
Umejuaje kama ameelekea mbinguni na sio kule kwingine kama kweli maeneo haya yapo?Tumuombee Pumziko la Milele Mbinguni.
Sasa nchi itabakia na watoto peke yao? [emoji848][emoji848]
Siku hizi unaandika point!Mimi sitashabikia tena mihemko ya Tanzia. Watawala wasiogope aibu wakubali wameshakosea wasaidie Wananch vifo ni vingi tena vinahepukika tu.
Mungu atujalie uzima, maisha marefu na afya tulio hai. Awarehemu waliotangulia mbele za haki. Na awafariji na kuwapa nguvu waliofiwa ambao wanapitia wakati mgumu wa majonzi kwa kupoteza wapendwa wao.
Tuzidi kuombeana.
Nini chanzo cha kifo chake tafadhaliRip padre
Tunaomba kujua chanzo cha kifo tafadhaliView attachment 1699505
Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha Padri wetu mpendwa Ernest Donald Boyo wa Jimbo Kuu la DSM, aliyekuwa Paroko Msaidizi wa Parokia ya Chang'ombe.
Padri Boyo amefariki leo tarehe 10 Februari 2021 saa 1:30 usiku katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili alipokuwa akitibiwa. Taarifa zaidi juu ya taratibu za Mazishi zinapangwa na tutawataarifu. Tumuombee Pumziko la Milele Mbinguni.
ASANTENI.
+ Jude THADDAEUS Ruwa'ichi
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la DSM
View attachment 1699504
Hakika tunapitia katika miali mikali ya motoEeee bhana mkuu hizi taarifa za vifo sasa zinatisha !
Cha msingi ni kupunguza kuishi kwa mazoeaSijui huu mwaka utaishaje.
Utaitwa mchochezi na siyo mzareendooCorona corona
Ushauri mzuri sana huuKwanini wasisitishe Ibada kwa muda kupisha huu upepo, Jumapili zikifika watu nyomi Kanisani mnataka afe nani ili mjue hali mbaya.
Mkuu umepiga nyundo nzuri sn, dikteta atamaliza watu13. Naye Mungu akaendelea kumfanya Mfalme wa Wadanganyika awe na shingo ngumu asiweze hata kung'amua hatari iliyoko mbele yake. 14. Hayo yote yalifanyika ili anguko lake litimie kwa wakati, naam nalo anguko hilo liwe anguko kuu. 15. Hata waliokuwa wakimdanganya mfalme watamcheka na kusema hawakuwa pamoja naye katika maamuzi yake yenye kukosa hekima.
Chato 3:13-15
Okay..Kwanini wasisitishe Ibada kwa muda kupisha huu upepo, Jumapili zikifika watu nyomi Kanisani mnataka afe nani ili mjue hali mbaya.