Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini huu ugonjwa usimpate dikteta mwenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale maombi ya dikteta hajasaidia tena? MUNGU hajaribiwi kijingaSiku sio nyingi... Mikusanyiko ya watu itapigwa marufuku... Mikusanyiko ktk sherehe, michezo, burudani, dini...
Mwanzo walikuwa wakisemaChanzo cha kifo hakisemwi!
Kwanini huu ugonjwa usimpate dikteta mwenyewe? ehee MUNGU tusaidieMajimbo ya Kusini huko hali ni tete sana makasisi zaidi ya 5 wamedondoka Desemba Februari
Majimbo ya Kusini huko hali ni tete sana makasisi zaidi ya 5 wamedondoka Desemba Februari
Kwanini huu ugonjwa usimpate dikteta mwenyewe?
Tuna chelewa sn natamani liwe fundisho wa wapuuzi wengineIpo siku yatatimia kwa kishindo kikubwa...
Yah wao ndio kama carriers. Na kwa vile immune zao kubwa risk ya kubaki na maradhi huwa ndogo.Vitoto hivi ndiyo vibaya sana ndugu yangu, vinabeba Corona huko kwenye matamasha ya tumewasha vinakwenda kuuwa wazazi.
Afikie pale alipofikia Siad Barreunataka afanyeje!??
Eeee bhana mkuu hizi taarifa za vifo sasa zinatisha !
Justification ya nini ?We unadhani hapo nyuma watu walikuwa hawafi au kwa kuwa mnatangaza kila kifo ili mpate justification