TANZIA Padri wetu mpendwa Ernest Donald Boyo wa Jimbo Kuu la Dar, Afariki Dunia

Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU wapumzike kwa amani!
 
Kwanini wasisitishe Ibada kwa muda kupisha huu upepo, Jumapili zikifika watu nyomi Kanisani mnataka afe nani ili mjue hali mbaya.
Kwakweli adse hali inatisha mnoo
 
unataka afanyeje!??
 
Kwanini wasisitishe Ibada kwa muda kupisha huu upepo, Jumapili zikifika watu nyomi Kanisani mnataka afe nani ili mjue hali mbaya.
mpaka ufe wewe na baadhi ya Id's hapa jf ndo tutaamini hali ni tete!!!
 
Chanzo cha kifo hakisemwi!
Kitawekwa wazi tu parokia take au siku ya mazishi take. La muhimu Kanisa katoliki walishatoa waraka wao Kama sijasahau baada ya padri mmoja kufariki huko Bukoba.
 
Siku hizi unaandika point!
nini kimekupata Mkaldayo!?
 
Tunaomba kujua chanzo cha kifo tafadhali
 
Kwanini wasisitishe Ibada kwa muda kupisha huu upepo, Jumapili zikifika watu nyomi Kanisani mnataka afe nani ili mjue hali mbaya.
Ushauri mzuri sana huu
 
Mkuu umepiga nyundo nzuri sn, dikteta atamaliza watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…