Dua hiyo ikupate wewe na wanao13. Naye Mungu akaendelea kumfanya Mfalme wa Wadanganyika awe na shingo ngumu asiweze hata kung'amua hatari iliyoko mbele yake. 14. Hayo yote yalifanyika ili anguko lake litimie kwa wakati, naam nalo anguko hilo liwe anguko kuu. 15. Hata waliokuwa wakimdanganya mfalme watamcheka na kusema hawakuwa pamoja naye katika maamuzi yake yenye kukosa hekima.
Chato 3:13-15
Acha kulaumu watu. Wote tunawajibika na tuchukue hatua. Kinachokatisha tamaa ni kukosa uongozi wa pamoja unaotokana na taarifa sahii kuhusu janga hili huku tukimwamini MunguKanisa lazima lijitafakari Imani ukiiwekea shaka lazima uanguke mt 14:30....
Halafu kuna jamaa anazindua soko MoroCorona corona
Siku sio nyingi... Mikusanyiko ya watu itapigwa marufuku... Mikusanyiko ktk sherehe, michezo, burudani, dini...
Una uhakika? Acha kupotosha Umma...fr hajafa kwa Corona wewe. Tuwe tunasema vitu ambavyo tuna uhakika navyo.....humjui, umesikia amefariki unaanza Corona Corona, kaa kimya!Corona corona
Mimi ni mfalme wa Wadanganyika?Dua hiyo ikupate wewe na wanao
Kila mtu ajilinde, watoto hawawezi kufa ila Wazee watakufa
Wewe unategemea wataishije bila sadaka mkuuHawa watumishi wa Mungu wamekuwa wazito kutoa waraka ngoja iwatandike akili ziwakae sawa.
Ingekuwa vyema watoe tahadhari kwa waumini ikiwezekana wasisitishe misa zote hadi pale hali itakapotengemaa.