Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pipa linakua bado ghafi. Baada ya kugawa kwenye vichupa ndo inakua pafyumu kamili.Kama pipa ni 60 hakuna haja ya kununua mils 50 kwa 50,000
Picha ya kwanza ni perfume za syria, je nazo zinatoka Babati?Ukitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
Babati Ka Dubai sasa
Pale mtoa uzi anapoandika topic na kuji-commentisha kwa ID nyingine.Karibuni Babati
Babati Kuna ufuska sana. Hapo Bora wangeanzisha kiwanda cha condom na pampersUkitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
Jambo jemaUkitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
Acha kashfaBabati + Kiwanda + Perume ya Joslin
Babati labda kiwanda cha Alizeti au Pumba