My dia mm nimuhanga wa kebehi, kubezwa kwa kuleta fursa hapa jukwani kutoka kwa wadau. Nilishukiwa kama mwewe vile. Mwisho w cku nikaona ngoja kila mtu ashinde mechi zake tuSijaelewa kwanini mnamshambulia Mtoa Mada,
Kwani huko kwenu hamuoni hayo mapafyum ya kupima?? Yamejaa tele hata wakazi wa Kigamboni karibu na kukata tiketi yanapoingilia magari kuna duka pale wanauza hayo madude ya kupima,
Mtoa Mada kasema ukitaka kufanya biashara nenda Babati kanunue Pipa lako uanze kupiga hela, wanatokea jobless wanaleta ujuaji, kwa kweli Jamii Forum kuna wajuaji sana na ukiwaangalia wengi ni graduates waliokata tamaa.
Utajiri nje nje......, Hii Tabia ya ku-oversell inawapelekea baadhi ya watu kukurupuka bila kufanya due diligence.....Sijaelewa kwanini mnamshambulia Mtoa Mada,
Kwani huko kwenu hamuoni hayo mapafyum ya kupima?? Yamejaa tele hata wakazi wa Kigamboni karibu na kukata tiketi yanapoingilia magari kuna duka pale wanauza hayo madude ya kupima,
Mtoa Mada kasema ukitaka kufanya biashara nenda Babati kanunue Pipa lako uanze kupiga hela, wanatokea jobless wanaleta ujuaji, kwa kweli Jamii Forum kuna wajuaji sana na ukiwaangalia wengi ni graduates waliokata tamaa.
Unataka utafuniwe kila kitu? Utaweza biashara kweli?Kwa wazoefu wa hiz perfume za kupma ..naomba maelezo zaid ......mfano zinapakiwa kwnye package gan na faida zikoje n.k....walau kamchanganuo kias
Kwan hata ukieleza kwa kina zaid mtu ambaye ndio kwanza kaskia hyo biashara kuna ubaya gan bos?.....anyways...wacha twende DMUnataka utafuniwe kila kitu? Utaweza biashara kweli?
Kwan hata ukieleza kwa kina zaid mtu ambaye ndio kwanza kaskia hyo biashara kuna ubaya gan bos?.....anyways...wacha twende DM
Mkuu unajua maana ya ulichoandika ?!!!!!Pipa linakua bado ghafi. Baada ya kugawa kwenye vichupa ndo inakua pafyumu kamili.
Mtaji chini ya laki 5
Mkuu toa maelezo ya kutosha tupate somo.Utajiri wa halali na wa chapu upo kwenye kutengeneza petrol na diesel mbadala hasa kipindi hiki cha nishati kuzidi kupanda bei. Raw materials zipo zimejaa tele kwa cheap cost
Ingia youtube elimu tele zimejaa.Mkuu toa maelezo ya kutosha tupate somo.
Ni raw materials zipi zinaweza kutumika kutengeneza petrol/diesel mbadala?
Na vifaa gani vinavyotumika kwenye hiyo process?Na mtaji kiasi gani unaweza kutosha kuanzisha na kuendesha huo mradi?
Babati huki sehemu gani jamani,na mimi nikajaze angalau kwenye kidumu changu cha lita 5.....Kusikia zinatokea babati ni jambo la kupongezwa.
Soon vitaibuka viwanda vya brand vya hadhi mbali mbali kama ilivyo kwa bidhaa za pombe Gin .. ambapo kuna main distiller yupo Mwanga, Kilimanjaro wengine wote wanaagiza na kudilute, kuweka flavor na packaging kulingana na soko lao.
sawa nimekupataIngia youtube elimu tele zimejaa.
Sisi ni masikini sababu hatusaki maarifa.
Jifunze kutengeneza ethanol, methanol, biofuel nk.
Raw materials takataka za plastic,tairi na mipira,oil chafu,maranda,mabaki ya mboga na matunda yaliyoharibika masokoni,unga wa muhogo,mbegu za muarobaini,nyonyo, mibono, majani na nyasi nk zote hizi unapata clean fuel ya kuendesha gari, mitambo, na KILA aina ya injini ya chombo cha moto.
Hii inaweza kuwa na ukweli,mimi kuna siku nilishuka pale Manzese Dar,nikakuta mtu anauza hizi perfume zilikuwa ni nyingi mno,nikachagua iliyonivutia akanipimia nikaondoka zangu,nilipokuwa hotel nimetoka kuoga nikasema ngoja nijipulizie ,nilipata kizunguzungu cha ajabu,nika chukua nguo zote nilizopulizia nikazifunga kwenye mfuko wa plastick,siku nyingine pia nikajaribu kutest kupulizia ile hali ikanirudia tena,nilichofanya ni kuitupa ile perfume japo ilikuwa inanukia vizuri sana...Mnauza SUMU mnadai pafyumu