Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Unashauri tutumie dawa gani kuswakua na izo free chlorine radicals ni zipi mkuu
 
Beat gani hilo mkuu
 
Mshana??!!

Ni macho yangu au?? Mbona hiyo picha ya pili inachezacheza wakati ni picha tu na sio video clip??!!

Hivi nini kinaendelea humu ndani??
Msijekua mmenifungua jicho la tatu nyie alaaah.....??!!
akikujibu nitagi mkuu
 
Ndugu wadau Mimi nachezwa Sana na paji la uso, je maana yake Nini? Hii post Ni ya siku nyingi lakini haijalishi naombeni msaada. Asante
 
Ukikaa kwa utulivu ukiwa unalifikilia ilo jicho ta tatu Kuna Kuwa na hali ya ubaridi na mvutano wa sumaku katika paji la uso
 
ndo inakua inaashiria nini mkuu
Inamaanisha ni sehemu sensitive sana na inaconnect na kila kitu jaribu kufumba macho mtu aje na kisu bila kukwambia aweke karibu bila kugusisha katikati ya paji la uso alafu utaniambia ulihisi nini
 
Inamaanisha ni sehem sensitive sana na inaconnect na kila kitu jaribu kufumba macho mtu aje na kisu bila kukwambia aweke karibu bila kugusisha katikati ya paji la uso alafu utaniambia ulihisi nini
Aisee interesting anyway unajua chochote kuhusu hizi mambo
 
Ndugu wadau Mimi nachezwa Sana na paji la uso, je maana yake Nini? Hii post Ni ya siku nyingi lakini haijalishi naombeni msaada. Asante
Kuna kitu kinaitwa Muscle twitch..maranyingi huonekana zaidi jichoni lakini viungo vingine pia hupatwa na hiyo hali.. Ila hili lako ni kama geni kidogo kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…