Paji la uso na siri ya jicho la tatu

nnashukuru kwa post bro mimi ni miongon mwa watu wenye hasira kali na nnapokua katika hali hiyo paji la uso katikati huuma muda wote nnapokuwa na hasira je ina uhusiano na jicho la tatu?
 
Niliwahi kuweka mada ya micro chips implants lakini kuna baadhi hawakuelewa kabisa..ni kweli kabisa mason wana mpango kabambe wa kuua mlango wa fahamu ya sita ili ile ni rahisi kutawala dunia
Read it somewhere!
Wanataka kutuwekea hati miliki na kutufuatilia kwa kila jambo tutakalokuwa tunafanya!
Mfano mzuri ni passport inavyotumia ku-control movements zako!!
 
Hiyo inaitwa wondering mind inakuwa so strong kiasi cha kuasili uhalisia na hili tendo hufanyika usingizini tuu
 
kwanini mkuu?
Nitalijibu kwa kirefu kidogo
Ukiachana na imani ya kale ya Wamisri kwamba kumlaza marehemu kifudifudi ni dharau kubwa kuna hizi dhana hapa
1. Dhana ya mbingu na kuzimu
Imani zote zinaongelea maisha baada ya kifo na kwamba mbingu iko juu na kuzimu kuko chini ...hivyo unamlaza marehemu kuelekea kule atakakokwenda
2. Roho inapouacha mwili mawasiliano mengine yote ni kupitia jicho lionalo kwenye ulimwengu usioonekana, hapa kazi ya macho yatazamayo hukoma. ..hivyo kulaza kifudifudi ni sawa na kuliziba
3. Binadamu tumeumbwa kusimama, na ku move kuelekea mbele na si kinyume chake hatuendi kinyume nyume kwahiyo hata mawasiliano yetu ya kiroho ni ya kufunguka angani na si chini ya ardhi
4. Kuna jinsi nyingine za kumuweka marehemu kama kumsimamisha, kumkalisha kumlaza ubavu ubavu lakini kamwe si kifudifudi
 
nnashukuru kwa post bro mimi ni miongon mwa watu wenye hasira kali na nnapokua katika hali hiyo paji la uso katikati huuma muda wote nnapokuwa na hasira je ina uhusiano na jicho la tatu?
Hapana hiyo ni conflict within unagombana na roho yako na kuu overwork ubongo wako
 
Kuna umuhimu wa kujadili namba 666 hasa vile inavyotumiwa na imani za kishetani na ule utabiri kwenye kitabu cha ufunuo kadiri ninavyoendelea kupekua ndivyo kadiri ninavyopata picha kubwa zaidi picha ya kutisha kuhusu paji la uso
 
mweeeh kwahiyo nnagombanaje na roho yangu?
Ndani ya ufahamu kuna nafsi mbili au nguvu mbili hasi na chanya. . . nafsi roho ya Kimungu na nafsi roho ya kishetani
Maamuzi mengi matokeo yake ni maamuzi ya mojawapo wa hizo nafsi
Mgogoro mkubwa hutokea pale kila nafsi inapotaka kuwa mshindi
 
Ndani ya ufahamu kuna nafsi mbili au nguvu mbili hasi na chanya. . . nafsi roho ya Kimungu na nafsi roho ya kishetani
Maamuzi mengi matokeo yake ni maamuzi ya mojawapo wa hizo nafsi
Mgogoro mkubwa hutokea pale kila nafsi inapotaka kuwa mshindi
basi ni majanga nikikasirika kichwa kinauma na huchukua muda mrefu
 
Sasa kaka mkubwa Mshana jr ikiwa mtu kashazoeshwa lala chali tangia utoto wake na hakuna majinamizi wa maluelue hii inakuaje na ilo la jicho la tatu
 
Mkuu hii imekaaje?

Nikiwa nimefumba kabisa, ukiniwekea kitu usawa wa paji la uso nakifeel kabisa na kama nisipo wahi kukwepesha nasikia kama kamaumivu flan inakuwa sensitive.
Hiyo hali huwatokea wengi na hii ni kwakuwa macho yako mawili huangalia lakini linaloona ni jicho la tatu. ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…