Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Fafanua kwenye bold hapo mkuuMambo mengi sana yamechakachuliwa na binadamu mwenyewe kukidhi matakwa na mahitaji ya nyakati ya kibinadamu
Kuna alama za siri nazo zimeangukia upande ambao sio..
Leo nilikuwa kuna mdau namjibu kuhusu swastika, ambayo ilikuja kuharibiwa na Hitler
Satan knows the game very well n he knows how to play perfectly