Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Mambo mengi sana yamechakachuliwa na binadamu mwenyewe kukidhi matakwa na mahitaji ya nyakati ya kibinadamu
Kuna alama za siri nazo zimeangukia upande ambao sio..
Leo nilikuwa kuna mdau namjibu kuhusu swastika, ambayo ilikuja kuharibiwa na Hitler
Satan knows the game very well n he knows how to play perfectly
Fafanua kwenye bold hapo mkuu
 
So Hitler alikuwa anapingana na shetani
Coz nasikiaga sana kiwa Hitler hakuwa mkatili kihivyo kwamba ni story tu za magharibi ?
 
Na pia mshana kwenye haya makanisa ya kiroho ya kisasa wakuta mtu anaenda huko mpk anafilisiwa kabisa anakuwa kama zuzu...sio kwamba hawa jamaa wanatumia huu mlango wa kiroho kukontrol hawa ndugu zetu....maana wanakuwa kama akili wameshikiwa hivi.....Mi naona muda ambao wanakuwa wanashikwa kwenye paji la uso ndio proce
 
Na pia mshana kwenye haya makanisa ya kiroho ya kisasa wakuta mtu anaenda huko mpk anafilisiwa kabisa anakuwa kama zuzu...sio kwamba hawa jamaa wanatumia huu mlango wa kiroho kukontrol hawa ndugu zetu....maana wanakuwa kama akili wameshikiwa hivi.....Mi naona muda ambao wanakuwa wanashikwa kwenye paji la uso ndio proce
Wengi hutumia nguvu za giza lakini wakifanya colabo na jicho la kiroho
 
Unajua mwenyezi mungu alikupa hekima na busara uitumie katika kupata maarifa ya kuzisoma nyakati na majira ili siku ya mwisho upate kuhukumiwa kwa nia ya kweli kulingana na maandiko yalivosema..usitegemeee et kwa sasa mungu ataletea mwongozo sijui toka mbinguni ya kukutafsilia mambo yatakayotokea kwa badae..hiyo haipo..mwanadamu ulipewa hekima na utashi katika kuyajua mambo..ndio maana hata hao manabii unaowasikia walikuwa wanafanya mambo makubwa ya kutabiri mambo yajayo ni kwa sababu waliweza kutumia hekima zao na utashi katika kuyajua mambo....mfalme suleiman alitumia hekima aliyojaliwa na mwenyezi mungu ndio maana alikuwa na uwezo wa kukomand hata majini yakamtiii...so kama utaweza jua thamani uliyopewa na mwenyezi mungu hakika utaweza kuitumia kuamsha hisia za jicho la 3 litakalokuwezesha kuzijua nyakati na majira hasa kwa wakati mwafaka ..HILO NDIO FUMBO LA IMANI AMBALO HAKIKA UKIWEZA KULIJUA NAMNA LITENDALO KAZI ,HAKIKA UTAYAJUA MENGI MAZITO YENYE HEKIMA NA YASIYO NA HEKIMA,MAJIRA NA NYAKATI ZITAELEWEKA KWAKO...
 
Mshana huku kwetu usukumani watoto huwa wanawekewa alama kwenye paji kwa kutumia kaa la moto hasa mtoto anapokuwa na matatizo, hebu nisaidie hapo kwanini wanaweka kwenye paji la uso?
Hilo limekaa kimila zaidi lakini ukweli ni ule ule kuhusu jicho la tatu na paji la uso
Huko hufanya hivyo labda kwa nia ya tambiko na ulinzi
 
Mkuu mshana jr, kuna baadhi ya makabila wanaimani kwamba mtoto aliye anza kuota meno ya juu ana uwezekano mkubwa wa kushambuliwa na radi, hivyo ili kumkinga huwa wanampaka masizi kwenye paji la uso nyakati za mvua ya radi.
Hii imekaaje kiroho?
 
Mkuu mshana jr, kuna baadhi ya makabila wanaimani kwamba mtoto aliye anza kuota meno ya juu ana uwezekano mkubwa wa kushambuliwa na radi, hivyo ili kumkinga huwa wanampaka masizi kwenye paji la uso nyakati za mvua ya radi.
Hii imekaaje kiroho?
Mmh! Naweza sema hapana au ndio kwakuwa wazee wetu wa zamani walikuwa vizuri sana kwenye mambo ya kiroho japo kuna baadhi hayakuwa vizuri sana...hilo la meno na radi napingana nalo
 
Habari wakuu
Kwanza nimefurahi kwa uzi mzuri na wenye tija na wachangiaji kwa ujumla.
Secondly I don't believe in spirits, mimi nadhani it's not wise to to let fantasies take over reality.
Msingi: human body is the connection to each and everything that exist.
Vitu vingi vilivyosemwa it's just ideas
Rather than experience.
If you could be able to talk with fish and tell it to climb a tree it will live whole life wish it wouldn't met you at first place.
Simple experience:ushawahi kuchukua kisu chenye ncha na kukisogeza karibu na paji la uso ukiwa umefumba macho? Kama bado jaribu.
It's just inside reaction against situation
I'm not a believer and will never be.
#realistForLife
 
Hakuna kitu dunia nzima kinachoitwa maono just dreams inategemea na ubongo wako umeuacha na taswila gani ulipokua ukiweka mwili kwenye standby state swala la kulala kifudi fudi ama chali haliusiani na hali ya ufanyaji kazi wa ubongo and other fantasies people creates
Kuna msemo unasema "so much being optimist"
Kuna watu wanaamini ubongo unanguvu ya kuamisha kitu kama utawaza kitu hicho kitaaama na kukitizama kwa mda basi kweli kitaama japo wanasema usifikilie kitu chochote kingine zaidi ya unachotaka kukiamisha.
Siwalaum ni imani yao ila kwa hali halisi hauwezi fanya ubongo ufikilie kitu kimoja unachokitazama hata ufanye nini kwa sababu hatuwezi kuvi-control baadhi ya vitu
 
Back
Top Bottom