Weeeee, wale mabwege wameumbwa na GPS tracking system. Kuna paka tulimtia katika kiroba tukatoka nae tabata st. Mary kule tukaenda mtupa kule kwenye daraja la kinyerezi kiroba kikiwa wazi ili aweze kutoka.
Yule fala wiki kadhaa baadae akarejea tena safari hii akiwa na demu na akaja wakazaa watoto.
Paka wapumbavu sana hawa wanyama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Paka wa mjini kazi yao ni kulala, kuamka kula , kudharau maboss wao, kuangalia tv, kwenda nje kukata gogo na kukojoa kisha kuendelea kulala.
Mbona kama mgonjwaNinavyompenda[emoji8],View attachment 1987173
Naskia Ni mkosi mkubwa kukuta yanapigana mitiMi haya madudu yananikera usiku yakianza kugombana, yaani usiku wa manane yanalia kwa sauti kali kinoma, ukiyachungulia unakuta ni jike na dume yanataka kumbotana,
Hivi hawa viumbe hua hawawezi kupigana miti kimyakimya kweli au ndio makusudi tu kukarahishana usiku wa manane.
HahahaMzee umenichekesha, yaani paka ajiona kama Don... mimi kuna siku nilienda Bar moja hivi kula nyama, sasa kuna paka wakaja mmoja anaonekana kibonge hivi, si nikamtupia mfupa ambao kwa kweli ulikuwa na nyama kiasi, akaniangalia akanishusha halafu akasonya, huyoo akaondoka zake akijitingisha.. kwa hiyo nimekuelewa kabisa.. hawana maana.
Hamna mkosi wowote ila mi yananikera tu sio mastaarabu, yaani starahe yao wawili lakini inakua kero kwa mtaa mzima.Naskia Ni mkosi mkubwa kukuta yanapigana miti
Mgonjwa wa nini[emoji41]Mbona kama mgonjwa
Wanajua kudeka sana hawa. Ila usiweke unga karibu, atapanda mabomu ya maviNinavyompenda[emoji8],View attachment 1987173
Sema they real got some love aiseeKuna mmoja alikuwa akiona hujatandika kitanda halali ukitandika anaenda kulala
Muda mwingine usipomfukuza anataka alale na wewe mjifunike wote
Wanapenda kudeka sana,yaani[emoji7]Wanajua kudeka sana hawa. Ila usiweke unga karibu, atapanda mabomu ya mavi
Kukiwa na unga karibu anachimba kwenye unga anafukiaWanapenda kudeka sana,yaani[emoji7]
Sijawahi shuhudia mavi yake,anajua mwenyewe anaenda porini[emoji1787]
Vishenzi hivi vidudu[emoji23]Kukiwa na unga karibu anachimba kwenye unga anafukia