Pale ambapo mzazi mwema anapata watoto watukutu na watoto wema wanapata mzazi mbaya

Pale ambapo mzazi mwema anapata watoto watukutu na watoto wema wanapata mzazi mbaya

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Kama umejaaliwa kuwa kwenye familia ambayo tabia zako na za mzazi wako zinaendana, yaani mambo mengi yakiwa yanaenda sawia baina yenu basi mshukuru mungu umebahatika sana.

Nimeshuhudia sana mifano mingi ambapo mtoto safi amekua akitaabika kutokana na mapungufu makubwa aliyonayo mzazi wake. Kwa upande mwingine pia, mzazi safi anapotaabika na mapungufu makubwa aliyonayo mwanae.

Mshukuru mungu tu kwa mtoto/mzazi uliyejaaliwa naye maana kila mtu ana mtihani/changamoto zake apa duniani.
 
Huyo mungu unaetwambia tumshukuru ndo huyohuyo anaewasulubu wenzetu wanaohangaika. nkisema nimshukuru ntakua mbinafsi sana.

simuhitaji mungu anaenipendlea mimi na kumtesa mwenzangu.
 
Huyo mungu unaetwambia tumshukuru ndo huyohuyo anaewasulubu wenzetu wanaohangaika. nkisema nimshukuru ntakua mbinafsi sana.

simuhitaji mungu anaenipendlea mimi na kumtesa mwenzangu.
Picha ya pp yako inaakisi uhalisia wa mungu yule wa kuzimu unayemuabudu, tuachie sisi Mungu muumba mbingu na nchi ambaye hajawahi na hatawai kukosea kamwe tumtukuze.
 
Back
Top Bottom