Pale Katibu Mkuu wa Guam anaposoma mchezo na kuhamisha Pesa zaidi ya 12Bilion bila kufuata utaratibu, zikitoa Roho ya Bendera inayofuata maembe yake

Pale Katibu Mkuu wa Guam anaposoma mchezo na kuhamisha Pesa zaidi ya 12Bilion bila kufuata utaratibu, zikitoa Roho ya Bendera inayofuata maembe yake

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Ni miaka kadhaa imepita leo katika kupitia nyaraka nyeti nikaona suala lililonishangaza sana

Hivi katibu mkuu wa Chama anaweza pata wapi Pesa zaidi ya 10B Tzsh ?

Je ni kwamba alikuwa anawatunzia watu au ni zake ?

Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama Tawala Guam na baadae kuwa Katibu Mkuu kiongozi enzi za Mfalme wa Guam 🇬🇺 aliyedumu mwezi mmoja tu pale nafasini

Aliweza kupata wapi pesa Bilion 10 na zaidi?

Na je Kama ni halali kwanini baada ya kuondoka kwa Mfalme alishirikiana na Tesla kuziondoa benkini bila utaratibu?

Hii benki ichunguzwe maana haikomboi watu Kama inavyojinasibu Bali iitwe benki ya UKOMBAJI siyo UKOMBOZI

Na baada ya kuziondoa kaziweka kwa asset chini ya Majina ya watu wanne

Kinara mmoja ni mropoka hovyo mtandaoni
Mwingine ni Mwaka wa Usukumani mfanya biashara ua madini

MROPOKAJI alijinasibu Ana Mali sana, Yule alompaga kigugumizi Mfalme wa Guam akausoma mchezo akaenda mahakama ya Colorado ikaamuru kwamba aliyeropokewa alipwe,,,

Si Yule Mzilandende akausoma mchezo akawatuma watu kwa msaidizi wa Pope ili Bwana mropokewa asamehe deni! Si Mropokewa ashausoma mchezo kwamba Benk yenye ubia na watu wa Madiba ina Mchele? Akakomaaa sana

Sasa maagizo kupitia jaji wa Colorado anayeheshimika akishirikiana na wenye chembe chembe za Guam gang wakainyang’anya leseni Kampuni ambayo ilipata kuibua mzee wa (nine hundred we will understand each other slowly slowly). Ikabidi mzee wa bendera ya Maemba yake atafte kampuni nyingine, kabla hajakamilisha

Maskin wakati Bendera ikitafta Maembe yake ikaishia kupewa simu ya Kudhoofisha mapafu!!

Swali linabaki kwamba ina maana financial institution za guam zinaweza chakata mchezo hadi 10B ??
 
Ni miaka kadhaa imepita leo katika kupitia nyaraka nyeti nikaona suala lililonishangaza sana

Hivi katibu mkuu wa Chama anaweza pata wapi Pesa zaidi ya 10B Tzsh ?

Je ni kwamba alikuwa anawatunzia watu au ni zake ?

Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama Tawala Guam na baadae kuwa Katibu Mkuu kiongozi enzi za Mfalme wa Guam 🇬🇺 aliyedumu mwezi mmoja tu pale nafasini

Aliweza kupata wapi pesa Bilion 10 na zaidi?

Na je Kama ni halali kwanini baada ya kuondoka kwa Mfalme alishirikiana na Tesla kuziondoa benkini bila utaratibu?

Hii benki ichunguzwe maana haikomboi watu Kama inavyojinasibu Bali iitwe benki ya UKOMBAJI siyo UKOMBOZI

Na baada ya kuziondoa kaziweka kwa asset chini ya Majina ya watu wanne

Kinara mmoja ni mropoka hovyo mtandaoni
Mwingine ni Mwaka wa Usukumani mfanya biashara ua madini

MROPOKAJI alijinasibu Ana Mali sana, Yule alompaga kigugumizi Mfalme wa Guam akausoma mchezo akaenda mahakama ya Colorado ikaamuru kwamba aliyeropokewa alipwe,,,

Si Yule Mzilandende akausoma mchezo akawatuma watu kwa msaidizi wa Pope ili Bwana mropokewa asamehe deni! Si Mropokewa ashausoma mchezo kwamba Benk yenye ubia na watu wa Madiba ina Mchele? Akakomaaa sana

Sasa maagizo kupitia jaji wa Colorado anayeheshimika akishirikiana na wenye chembe chembe za Guam gang wakainyang’anya leseni Kampuni ambayo ilipata kuibua mzee wa (nine hundred we will understand each other slowly slowly)
Ikabidi mzee wa bendera ya Maemba yake atafte kampuni nyingine, kabla hajakamilisha

Maskin wakati Bendera ikitafta Maembe yake ikaishia kupewa simu ya Kudhoofisha mapafu!!

Swali linabaki kwamba ina maana financial institution za guam zinaweza chakata mchezo hadi 10B ??
Hatari sanaàa
 
Ni miaka kadhaa imepita leo katika kupitia nyaraka nyeti nikaona suala lililonishangaza sana

Hivi katibu mkuu wa Chama anaweza pata wapi Pesa zaidi ya 10B Tzsh ?

Je ni kwamba alikuwa anawatunzia watu au ni zake ?

Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama Tawala Guam na baadae kuwa Katibu Mkuu kiongozi enzi za Mfalme wa Guam 🇬🇺 aliyedumu mwezi mmoja tu pale nafasini

Aliweza kupata wapi pesa Bilion 10 na zaidi?

Na je Kama ni halali kwanini baada ya kuondoka kwa Mfalme alishirikiana na Tesla kuziondoa benkini bila utaratibu?

Hii benki ichunguzwe maana haikomboi watu Kama inavyojinasibu Bali iitwe benki ya UKOMBAJI siyo UKOMBOZI

Na baada ya kuziondoa kaziweka kwa asset chini ya Majina ya watu wanne

Kinara mmoja ni mropoka hovyo mtandaoni
Mwingine ni Mwaka wa Usukumani mfanya biashara ua madini

MROPOKAJI alijinasibu Ana Mali sana, Yule alompaga kigugumizi Mfalme wa Guam akausoma mchezo akaenda mahakama ya Colorado ikaamuru kwamba aliyeropokewa alipwe,,,

Si Yule Mzilandende akausoma mchezo akawatuma watu kwa msaidizi wa Pope ili Bwana mropokewa asamehe deni! Si Mropokewa ashausoma mchezo kwamba Benk yenye ubia na watu wa Madiba ina Mchele? Akakomaaa sana

Sasa maagizo kupitia jaji wa Colorado anayeheshimika akishirikiana na wenye chembe chembe za Guam gang wakainyang’anya leseni Kampuni ambayo ilipata kuibua mzee wa (nine hundred we will understand each other slowly slowly). Ikabidi mzee wa bendera ya Maemba yake atafte kampuni nyingine, kabla hajakamilisha

Maskin wakati Bendera ikitafta Maembe yake ikaishia kupewa simu ya Kudhoofisha mapafu!!

Swali linabaki kwamba ina maana financial institution za guam zinaweza chakata mchezo hadi 10B ??
Kigogo wa Twitter kwa sura nyingine, BT Gang wanaitaka hela ya urithi kwa mkono wa mdogo wa bendera Maembe,
Nadhani Mropokaji ana doana mara paap itanasa mwingine atakaye kuwa kiherehere nazo.
Lkn sasa hiyo nchi ya Guam imejaa ufisadi sana, inakuwaje ina vyombo vyote vya dola na mtuhumiwa hayupo kwenye system, si mshitakini, mnashindwa nini?
 
Sumu iliyomuondoa mzee wa Lupaso
Na sumu iliyomuondoa Jasusi it seems ni ile ile.

Kwenye mpango wa "Alazimishwe, atake asitake" it seems walipanga kuondoa vikwazo wote, mmoja baada ya mwingine kwa sumu hiyo.

Kwa hiyo, hiyo sumu bado wanayo
Ahaa!
 
Ni miaka kadhaa imepita leo katika kupitia nyaraka nyeti nikaona suala lililonishangaza sana

Hivi katibu mkuu wa Chama anaweza pata wapi Pesa zaidi ya 10B Tzsh ?

Je ni kwamba alikuwa anawatunzia watu au ni zake ?

Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama Tawala Guam na baadae kuwa Katibu Mkuu kiongozi enzi za Mfalme wa Guam 🇬🇺 aliyedumu mwezi mmoja tu pale nafasini

Aliweza kupata wapi pesa Bilion 10 na zaidi?

Na je Kama ni halali kwanini baada ya kuondoka kwa Mfalme alishirikiana na Tesla kuziondoa benkini bila utaratibu?

Hii benki ichunguzwe maana haikomboi watu Kama inavyojinasibu Bali iitwe benki ya UKOMBAJI siyo UKOMBOZI

Na baada ya kuziondoa kaziweka kwa asset chini ya Majina ya watu wanne

Kinara mmoja ni mropoka hovyo mtandaoni
Mwingine ni Mwaka wa Usukumani mfanya biashara ua madini

MROPOKAJI alijinasibu Ana Mali sana, Yule alompaga kigugumizi Mfalme wa Guam akausoma mchezo akaenda mahakama ya Colorado ikaamuru kwamba aliyeropokewa alipwe,,,

Si Yule Mzilandende akausoma mchezo akawatuma watu kwa msaidizi wa Pope ili Bwana mropokewa asamehe deni! Si Mropokewa ashausoma mchezo kwamba Benk yenye ubia na watu wa Madiba ina Mchele? Akakomaaa sana

Sasa maagizo kupitia jaji wa Colorado anayeheshimika akishirikiana na wenye chembe chembe za Guam gang wakainyang’anya leseni Kampuni ambayo ilipata kuibua mzee wa (nine hundred we will understand each other slowly slowly). Ikabidi mzee wa bendera ya Maemba yake atafte kampuni nyingine, kabla hajakamilisha

Maskin wakati Bendera ikitafta Maembe yake ikaishia kupewa simu ya Kudhoofisha mapafu!!

Swali linabaki kwamba ina maana financial institution za guam zinaweza chakata mchezo hadi 10B ??
Ya ngoswe muachie ngoswe...Umetisha mkuu kwa fasihi simulizi KALI
 
[emoji119]
20220901_151432.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom