Now tusaidie wewe ambae umekukulia kwenye mfumo "elewa!"Upo sahihi sana best, ila una kazi ngumu kuwashawishi watu katika hili hasa ukichukulia watu wengi humu wamelelewa katika mazingira ya mfumo dume, kikubwa wee waandakie decision makers wa Voda humu utakatishwa sana tamaa
Kabla cjaingia kwenye hoja; why did you decide to shout?! Just curious but you may ignore to answer!
Nikirudi kwenye hoja what you don't know ni kwamba watu issue nyingi wanazimaliza kishikaji na wengine wanapuuza! Mfano mzuri, hayo hayo magazeti ya Shigongo yalishawahi kuandika kwamba Diamond alitaka kumtoa kafara mama yake! Do you really believe endapo Diamond angeenda mahakamani Global Publishers wangeweza ku-prove beyond reasonable doubt madai yao?!
Kwamba wote Diamond na Rommy wapo kwenye mabango hapa una-raise another issue! What's your problem? Endorsements or billboards?!
Scandal ya Bill Cosby ilikuja baada ya wanawake kujitokeza kwamba walipata kudhalilishwa kijinsia na hata kubakwa miaka ya nyuma! Lakini
Kabla cjaingia kwenye hoja; why did you decide to shout?! Just curious but you may ignore to answer!
Nikirudi kwenye hoja what you don't know ni kwamba watu issue nyingi wanazimaliza kishikaji na wengine wanapuuza! Mfano mzuri, hayo hayo magazeti ya Shigongo yalishawahi kuandika kwamba Diamond alitaka kumtoa kafara mama yake! Do you really believe endapo Diamond angeenda mahakamani Global Publishers wangeweza ku-prove beyond reasonable doubt madai yao?!
Kwamba wote Diamond na Rommy wapo kwenye mabango hapa una-raise another issue! What's your problem? Endorsements or billboards?!
Scandal ya Bill Cosby ilikuja baada ya wanawake kujitokeza kwamba walipata kudhalilishwa kijinsia na hata kubakwa miaka ya nyuma! Lakini ingawaje hakuna mwanamke yeyote aliyetoka mbele kusema alipata kubakwa au kudhalilishwa na Diamond cku za nyuma lakini bado unataka Vodacom wasingetoa mkataba kwa Diamond au wavunje mara moja simply because Gazeti la Amani lilipata kuripoti hapo kale kwamba Diamond anadhalilisha wanawake!!! Don't you see the difference between the two or I'd also shout telling the same thing?!
hakuna mwanamke yeyote aliyetoka mbele kusema alipata kubakwa au kudhalilishwa na Diamond cku za nyuma lakini bado unataka Vodacom wasingetoa mkataba kwa Diamond au wavunje mara moja simply because Gazeti la Amani lilipata kuripoti hapo kale kwamba Diamond anadhalilisha wanawake!!! Don't you see the difference between the two or I'd also shout telling the same thing?!
Hahahaha,ivi nyie ndo mmeshindwa kutatua ugomvi wenu au?
leo umezungumza kitu muhimu sana lara 1 haikubaliki hata kidogo mtu kufanya abuse dhidi ya wanawake na kujitangaza mtaani bila hata chembe ya staha halafu na makampuni ya simu kama vodacom wanampa ubalozi huku ni kukosa utu kwa kiwango kikubwa sana kwa vodacom.Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!
Leo nimekaa imenibidi niseme, sababu nipo kikazi as advocate of gender equality and enforcer of women rights i was waiting all this time TAMWA, TAWLA, UTU Mwanamke tu etc waongeee hii issue ila hawakuongea.
Juzi baada ya Rommy Jones, Official Dj wa Diamond kumbaka mtu huko Sweden na kumsikiliza meneja wa Dai, I was hoping even once ange apologise kwa Debora au hata kwa jamii ila ndo kwanza kamkingia kifua Rommy na Dai. That is it.
As jamii naanza kuongea naomba kina Mange Kimambi, Mrekebisha tabia nao waongeee, serious women activists tuangalie hili swala kwa jicho la 3.
History ya Diamond women abuse goes way back, and all these abuses are documented katika tabloids and anahojiwa na kukubali kafanya, even in some interviews zipo online nimezikusanya anakiri kabisaa na anaona sifa kwa unyanyasaji wake dhidi ya wanawake. The best part is internet never forgets.
Ningenyamaza but it is not okay kwa musicians na vijana wadogo zetu kama Dai kuona it is okay kunyanyasa wanawake watakavyo, well it is not. Mwanamke lazima aheshimiwe.
Diamond alimnyanyasa sanaaa, sanaaa, sanaa Amisuu Maliki, yule Miss Ilala, shombe shombe. Alimsingizia katembea nae gazetini. Yule binti alihangaika kujisafisha sema ndo hivo mtu maarufu keshaamua kukuchafua utafanyaje?
Kwa watu wa asili ya kiarabu alimuharibia maisha mpaka yule binti kakimbia nchi, sijui yupo China sijui yuko wapi na kisaikolojia ashapotea. He got away with it sababu yule binti kama wengine hakuwa kasoma, wala hakuwa na nguvu ya kupambana na Diamond.
Akaja kumnyanyasa sanaa sanaa Wema Sepetu. Alikuwa anampa vipondo heavy mara kwa mara. Shame on you Wema kwa kuwa so blind in love kwa kushindwa kureport na kuona sawa tu vipondo ulivyoshushiwa. Na alikiri kwenye Amani (gazeti), picha ipo, makala ipo kuwa ndio anampiga Wema sanaaa, kwa sababu ni jeuri. Watu wakaona sawaaa tu, si kataka mwenyewe.
Interviews nyingi sanaa amekuwa anatoa verbal abuse dhidi ya ma ex wake, live on air. Anatukana wadada hakuna mfanooo. Sababu ma ex wake ndo hivo tena wadogo, shule ya wasiwasi wanashindwa kupambana nae, wanabakia victims tu. Shame on you Jokate kwa kushindwa kuchukua lawsuit againts hii woman abuser. Hizi interview zipo online na huyu mtu hajawajibishwa mpaka kesho.
Kwa wenzetu mtu mwenywe historia ya Diamond hafai kuwa endrosed na kampuni yoyote hata ya mfukoni. Shame shame shame on you Voda and RedGold kwa kumpa huyu mtu endorsement. Vodacom aliesapoti hii ishu ni jipu na atumbuliwe. Tigo wamechukua Joti very clean, hana harufu ya women abuse charges. Shame shame shame on you Voda. Line yangu nishaiflush chooni i cant roll with a company yenye women abuser as their brand ambassador. Hapa ni Tigo baby mwanzo mwisho.
Chris Brown alivompiga Rihana was stripped all his endorsement deals. He has spent 7 years apoligising, giving interviews, being on the front bench ku advocate alichofanya sio sahihi na kuelimisha jamii kwamba ule sio muelekeo na till date hana endorsement ya maana na some countries kama Australia amenyimwa visa entry for something he did 7 years ago.
I call all the women verbally or physically abused by Diamond to speak up even in their Instagram pages, msiogope backlash, we have to break the cycle of silence. Sababu wote mko hai find the courage to do so.
Hata waliokuwa abused na billy cosby it took them 20 years even more kuongea the minute wameongea he lost all his endorsements and was stripped all his honorary degrees and tittles sababu he is a noble citizen.
Goodluck Voda kwa kuwa na brand ambassador mwenye Dj mbakaji na alishawahi kumpiga Gf mpaka mimba ikatoka na aka-confess kwenye interview. What a brand image!
NA ILE MIBANGO YENU YENYE DJ MBAKAJI MWENYE RB VEPEEEEEEEEE! MFANYE MUITOE MAPEMAAAA HIZI HABARI ZIKO MBIONI KWENDA MEDIA MediaTakeOut.com 2014 ULE MBANGO UKIFIKA HUKU NA RB YA DEBBY NA HIVI HAWAJAMALIZANA NAE DOLLA ZAKE HAJALIPWA MJUE NI ITAKUWA GLOBAL SCANDAL NCHI KIBAO ONE BRAND!
HABARI ZIKO NJIANI KUELEKEA HUKO NA BLOG ZINGINE GOBAL FANYENI MTOE MIBANGO HIO. OOOOHHH!
ITAKUWA MAJIPU MAWILI;
1. KUKURUPUKA NA
2. KUTOCHUKUA HATUA MADHUBUTI KWA WAKATI
leo umezungumza kitu muhimu sana lara 1 haikubaliki hata kidogo mtu kufanya abuse dhidi ya wanawake na kujitangaza mtaani bila hata chembe ya staha halafu na makampuni ya simu kama vodacom wanampa ubalozi huku ni kukosa utu kwa kiwango kikubwa sana kwa vodacom.
lakini watu waliofanyiwa hivyo inafaa zaidi wajitokeze kutoa malalamiko yao hadharani na watu nao watakuwa kwenye position nzuri ya kuweza kuchukua hatua.
Lakini lina mahela hilo. Una uhakika likija PM na kukutongoza utalitolea nje?
Halafu huwa linanukia vizuri kweli. Hutaki na wewe likupe pafyumu zake?
Lakini lina mahela hilo. Una uhakika likija PM na kukutongoza utalitolea nje?
Halafu huwa linanukia vizuri kweli. Hutaki na wewe likupe pafyumu zake?
wananchi wanaweza kuboycot kutumia huduma za voda even a day per week mbona watamchomoa tu.THANK YOU! THANK YOU! THANK YOU! HUU NDO UKWELI WENYEWE HASWAAAAA. Shame shame shame VODA. SHAME OF THE CENTURY. Plae kwa Dai walifanya ujanja ujanja wakajua wabongo ile TUMESAHAU si kitambo hili la DJ MWENYE RB KWENYE MABANGO FIMBO TU ZA MUNGU ZINAWATANDIKAAAA. MIBANGO WASHAJAZA NCHI NZIMA AFU MAMBO YA AIBUUUUU KAMA HAYO. HAHAHAAAA.
Hii iwe fundisho makampuni kufanya background check za kina kwa wana wa endorse. Wako wasani wasafi, wanajituma hawapati dili ujanja ujanja mwingii mpaka Mungu sasa ndo anaamua kuwaumbua na mibango yenu.
Watu haina haja hata ya kujitokeza HUO UNAYASAJI WAKE ALIUFANYA PUBLICLY KUJISFIA MAGAZETINI NA ON AIR, NA HILI LA UBAKAJI MLALAMIKAJI KESHAJITOKEZA KATOA NA RB NA HOSPITAL REPORT PUBLICLY.
Naliogopajee sasa pamoja na mapesa yake,ntalikataa ila pafyumu ntazichukua halaf nakutupa kuleee,,nafunga na pm wallah sijui utanikamatia wapi
wananchi wanaweza kuboycot kutumia huduma za voda even a day per week mbona watamchomoa tu.
Lara has a point though
Kama ni Kweli kuna rape act or sexual assault basi Vodacom and others need to rethink about their reputation
Lakini bongo ndio hivyo tena hakuna mtu anajali brand or company reputation
BAYCOT kibongo bongbongo bado sanaaaa. TUNAANZA HIVI KWENYE TANZANIA MOST POWERFUL MEDIA OF GREAT THINKERS, ITAFIKA GAZETINI LAZIMAA, MAANA MAGAZETI HIKI NACHO NI CHANZO CHAO CHA HABARI, WATAWAHOJI VODACOM, WAKICHUNA TENAAA, TUTAENDA INTERNATIONAL BLOGS, MAANA VODA HAIKO NCHI MOJA, WATA AINISHA VODA TANZANIA, SASA VODA HUKO KWINGINE WATAJITAFAKARI JE VODA TZ HIO BRAND WANAVOICHAMBIA NI HALALI? MDOGO MDOGO MEDIA TAKE OUT TMZ, TUONE VODA BRAND MANAGER WA TZ ATAJISIKIAJE KUWEKWA KWENYE GOSSIP SITES KAMA ZILE. Kutumbua jipu hakutaki haraka wala hasiraaaa. Bill cosby jipu lake limetumbuliwa miaka 40.
Alikuwa endorsed?
JE WEMA YUKO ENDORSED??? AKIWA ENDORSED TUTALIVALI NJUGA HILO SWALA. SHERIA NI MSUMENO INAKATA HUKU NA HUKU
Hahahaaaaa! Nikiwa mchawi i will take note kuja kukukaba usiku kwa kuniumbua.
What r yu waiting for???? Nenda huko tmz na nini sijui!!! Kwa ufupi hakuna utakaye mblack mail Kwa vimikwara mbuzi vyako.. and watch out mwezi may kuna maendorsement mengine ya haja tu yanakuja.. mpaka mfe Kwa kiungulia mwaka huuWe will see. I have been in this PR game long enough. How about we watch and see.