Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

huu mchezo hautaki kukurupuka. SITAKIWI KWENDA KABLA HAWAJATOA TAMKO. Naweza kwenda WAKACHOMOA MIBANGO YOTE, WAKALETA CAMPAIGN MPYA JUST LIKE THAT NA WAKAOMBA RADHI FOR 5 MINUTES. IT IS OVER. Trust me im in PR business najua hii michezo.

Kama Mange na Muitaliano, wakamuwahi muitaliano, wakampa chake na kumuongezea cha kuwasafisha, Mwacheni Mungu aitwe Mungu barua wakasign June 2016 hahaahaaaa! We unahisi pale Mange ndo kamaliza? No ANAACHA REASONABLE IPITE NDO AENDE MBELE.

VODA KAMA MTEJA WAO WA BUNDLE ZA 1500 NA CHEKA ZA 100 NILIEKERWA NA UKURUPUKWAJI WAO NIMEWAPA MDA OFCOURSE. NIONE KAMA WATAJITUMBUA HILO JIPU AU WANAHITAJI MSAADA WANGU.

NEVER UNDER ESTIMATE THE POWER OF FOOLS COMBINED TOGETHER.
Kua PR isiwe shida ata sisi tuna taaluma zetu hatuna show of za kikuda...halafu source yako ya habari ni mange..? Akili za wanawake ata shetani anazishangaa
 
eee source yako ya habari ni mange....?akili za wanawake ata shetani anazishangaa

Mange hii ishu hata hakuipost kaipotezea tu. Na mange kama impact less mbona muitaliano ALILIPWA? Ashalizwa ile midola chezea bongo hii. Hahahaaaa.
 
huu mchezo hautaki kukurupuka. SITAKIWI KWENDA KABLA HAWAJATOA TAMKO. Naweza kwenda WAKACHOMOA MIBANGO YOTE, WAKALETA CAMPAIGN MPYA JUST LIKE THAT NA WAKAOMBA RADHI FOR 5 MINUTES. IT IS OVER. Trust me im in PR business najua hii michezo.

Kama Mange na Muitaliano, wakamuwahi muitaliano, wakampa chake na kumuongezea cha kuwasafisha, Mwacheni Mungu aitwe Mungu barua wakasign June 2016 hahaahaaaa! We unahisi pale Mange ndo kamaliza? No ANAACHA REASONABLE IPITE NDO AENDE MBELE.

VODA KAMA MTEJA WAO WA BUNDLE ZA 1500 NA CHEKA ZA 100 NILIEKERWA NA UKURUPUKWAJI WAO NIMEWAPA MDA OFCOURSE. NIONE KAMA WATAJITUMBUA HILO JIPU AU WANAHITAJI MSAADA WANGU.

NEVER UNDER ESTIMATE THE POWER OF FOOLS COMBINED TOGETHER.
Kua PR isiwe shida ata sisi tuna taaluma zetu hatuna show of za kikuda...halafu source yako ya habari ni mange..? Akili za wanawake ata shetani anazishangaa
 
Kua PR isiwe shida ata sisi tuna taaluma zetu hatuna show of za kikuda...halafu source yako ya habari ni mange..? Akili za wanawake ata shetani anazishangaa

Hahahahaaaaaaaa! TOO BAD IT IS A FREE COUNTRY, NA KUNA UHURU WA KUTOA MAONI NA MAONI YANGU JUU YA VODA HI HAYOOOOOOO. Over.
 
Humjui jamaa kwenye interview ni mpole kinyama kaa nae hivi ni mswahili ana matusi kinyama

Nashukuru MBEGU ZANGU ZIMEANZA KUCHIPUA NA WATU MNAANZA KUFUNGUKAAA. Sema wewe baba, those boys are BAD news.
 
Hapana sijafanya kosa, LEO NIMEJITOA UFAHAMU NA KUFANYA KITU JASIRI SANAAA. Nimeingia war front kusema yale jamii inaogopa kuyasemaaa. SIJAKOSEA HATA CHEMBE KUKEMEA UNYANYASAJI WA WANAWAKE KWENYE JAMII.

Kuwa na mashabiki wengi wanawake haimaanishi IT IS OKAY TO ABUSE WOMEN CAUSE THEY LIKE IT. LA HASHAAAA SIVO ILIVO.

Na voda kama muti nationals nyingi WANAJALI SANAA SANAA BRAND IMAGE YAO NA NANI WANA DEAL NAE. HAPA NIMESEMA DILI HII ILIFANYIKA KIUJANJA UJANJA WA MJINI. KUNA GUIDELINES ZILIKIUKWA KABLA KUMU ENDORSE MTU. SASA WAMCHAMBIA MOTO UNAWAUNGUZA MCHANA KWEUPEEEE, MIBANGO NCHI NZIMAA, RB NA REPORT ZA HOSPITAL ZIMETOKA, WAMEBAKIA NA FUGITIVE KAMA PART OF THEIR BRAND. MUNGU MWACHENI AITWE MUNGU.

GOODWILL WATAKAYOPOTEZA HASARA YAKE NI KUBWA KULIKO VALUE YA HUO MKATABA HASWA HII ISHU IKIENDA GLOBAL. Waulize wahasibu VALUATION OF GOOD WILL NA IMPACT YA SOCIETY VIEW KWENYE HILO.

Kwa ufahamu wako umejitahidi kujenga hoja ila from CORPORATE POINT OF VIEW HILI LIMEKAA VIBAYA KWA VODACOM.
bado unachofanya ni exaggeration tu....

makampuni yanalinda sana image zao lakini pia wanatazama na circumstance itakayoharibu biashara husika sio kirahisi kama unavyodhani yaani useme leo tu kesho wachukue action...

Pili ungekua na point nzuri kama issue ya msanii kuwanyanyasa hao wanawake ni ipo currently na wanawake hao wako mahakamani kwa ajili ya shitaka husika kufukua issue ya miaka hiyo kwa biashara ya sasa si sawa kwa kua kampuni hizo zinafanya naye kazi sasa sio wakati huo...

Halafu ujue ingekua makampuni yanafuatilia hizi story za kiudaku hata msanii huyo asingeweza kua ambassador kwenye biashara zao kwa sababu ya story negative za kila siku
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!

Leo nimekaa imenibidi niseme, sababu nipo kikazi as advocate of gender equality and enforcer of women rights i was waiting all this time TAMWA, TAWLA, UTU Mwanamke tu etc waongeee hii issue ila hawakuongea.

Juzi baada ya Rommy Jones, Official Dj wa Diamond kumbaka mtu huko Sweden na kumsikiliza meneja wa Dai, I was hoping even once ange apologise kwa Debora au hata kwa jamii ila ndo kwanza kamkingia kifua Rommy na Dai. That is it.

As jamii naanza kuongea naomba kina Mange Kimambi, Mrekebisha tabia nao waongeee, serious women activists tuangalie hili swala kwa jicho la 3.

History ya Diamond women abuse goes way back, and all these abuses are documented katika tabloids and anahojiwa na kukubali kafanya, even in some interviews zipo online nimezikusanya anakiri kabisaa na anaona sifa kwa unyanyasaji wake dhidi ya wanawake. The best part is internet never forgets.

Ningenyamaza but it is not okay kwa musicians na vijana wadogo zetu kama Dai kuona it is okay kunyanyasa wanawake watakavyo, well it is not. Mwanamke lazima aheshimiwe.

Diamond alimnyanyasa sanaaa, sanaaa, sanaa Amisuu Maliki, yule Miss Ilala, shombe shombe. Alimsingizia katembea nae gazetini. Yule binti alihangaika kujisafisha sema ndo hivo mtu maarufu keshaamua kukuchafua utafanyaje?

Kwa watu wa asili ya kiarabu alimuharibia maisha mpaka yule binti kakimbia nchi, sijui yupo China sijui yuko wapi na kisaikolojia ashapotea. He got away with it sababu yule binti kama wengine hakuwa kasoma, wala hakuwa na nguvu ya kupambana na Diamond.

Akaja kumnyanyasa sanaa sanaa Wema Sepetu. Alikuwa anampa vipondo heavy mara kwa mara. Shame on you Wema kwa kuwa so blind in love kwa kushindwa kureport na kuona sawa tu vipondo ulivyoshushiwa. Na alikiri kwenye Amani (gazeti), picha ipo, makala ipo kuwa ndio anampiga Wema sanaaa, kwa sababu ni jeuri. Watu wakaona sawaaa tu, si kataka mwenyewe.

Interviews nyingi sanaa amekuwa anatoa verbal abuse dhidi ya ma ex wake, live on air. Anatukana wadada hakuna mfanooo. Sababu ma ex wake ndo hivo tena wadogo, shule ya wasiwasi wanashindwa kupambana nae, wanabakia victims tu. Shame on you Jokate kwa kushindwa kuchukua lawsuit againts hii woman abuser. Hizi interview zipo online na huyu mtu hajawajibishwa mpaka kesho.

Kwa wenzetu mtu mwenywe historia ya Diamond hafai kuwa endrosed na kampuni yoyote hata ya mfukoni. Shame shame shame on you Voda and RedGold kwa kumpa huyu mtu endorsement. Vodacom aliesapoti hii ishu ni jipu na atumbuliwe. Tigo wamechukua Joti very clean, hana harufu ya women abuse charges. Shame shame shame on you Voda. Line yangu nishaiflush chooni i cant roll with a company yenye women abuser as their brand ambassador. Hapa ni Tigo baby mwanzo mwisho.

Chris Brown alivompiga Rihana was stripped all his endorsement deals. He has spent 7 years apoligising, giving interviews, being on the front bench ku advocate alichofanya sio sahihi na kuelimisha jamii kwamba ule sio muelekeo na till date hana endorsement ya maana na some countries kama Australia amenyimwa visa entry for something he did 7 years ago.

I call all the women verbally or physically abused by Diamond to speak up even in their Instagram pages, msiogope backlash, we have to break the cycle of silence. Sababu wote mko hai find the courage to do so.

Hata waliokuwa abused na billy cosby it took them 20 years even more kuongea the minute wameongea he lost all his endorsements and was stripped all his honorary degrees and tittles sababu he is a noble citizen.

Goodluck Voda kwa kuwa na brand ambassador mwenye Dj mbakaji na alishawahi kumpiga Gf mpaka mimba ikatoka na aka-confess kwenye interview. What a brand image!

NA ILE MIBANGO YENU YENYE DJ MBAKAJI MWENYE RB VEPEEEEEEEEE! MFANYE MUITOE MAPEMAAAA HIZI HABARI ZIKO MBIONI KWENDA MEDIA MediaTakeOut.com™ 2014 ULE MBANGO UKIFIKA HUKU NA RB YA DEBBY NA HIVI HAWAJAMALIZANA NAE DOLLA ZAKE HAJALIPWA MJUE NI ITAKUWA GLOBAL SCANDAL NCHI KIBAO ONE BRAND!

HABARI ZIKO NJIANI KUELEKEA HUKO NA BLOG ZINGINE GOBAL FANYENI MTOE MIBANGO HIO. OOOOHHH!

ITAKUWA MAJIPU MAWILI;

1. KUKURUPUKA NA
2. KUTOCHUKUA HATUA MADHUBUTI KWA WAKATI
Hivi ni wanawake wangapi wanaogombana na waume zao wewe huwafahamu,acha ushabiki utakufa na presha,mapenzi ni suala binafsi,alafu hujui nini kilisababisha akampiga,sio kila mwanaume huweza kuzuia hasira,wakati mwingine wanawake mnaboa,mfano lulu angekufa badala ya kanumba povu lingekutoka mdomoni,acha kufuatilia maisha ya watu,
 
Niipake mara ngapi?

Huu Uzi una lengo moja kati ya haya.

1. Lara 1 unajulikana wazi kuwa unakitu personal dhidi ya De eidha mmewahi kukwaruzana au kuna mtu wako wa karibu au shosti wako Fulani hayuko poa na Dee na ndio Maana sijawahi kuona hata siku moja umeongea neno zuri kuhusu Dee..

Kwahiyo hizi ngonjera zako za kujifanya mtetezi wa haki za wanawake ni upuuzi na mazombi pekee ndio watakuamini..

2. Chuki/wivu ulionao juu ya Dee ndio motive iliyoko ndani yako! Hii dili ya Voda monde amelamba zaidi ya mil 600 na kuna haters hapa mjini imewauma hawapati hata usingizi.. naanza kuamini wewe ni mmojawapo

3. Attempt ya kujaribu kunuharibia Dee aipate dili nyingine.. licha ya kuwa umejisifu wewe guru wa PR ila hii strategy yako ni ya kitoto mno.. you might be able to draw attention ya hivyo vigazeti uchwara vya udaku but trust me this issue will get no where!! Strategy yako ya kijinga mno, hebu jievaluate upya kabla ya kujitutumua wewe ni guru..

4. Blackmail, huu mkwara wako kuwa utaenda tmz unaoutoa kwenye kila post unaonesha kabisa kuna angle flani unataka kublackmail coz kama imekuuma sana unasubiria nini

5. Wewe Lara 1 hauna uhalali wa kujifanya mtetezi wa wanawake!! Wewe ndio kila siku ukauki kumdhalilisha zari, mwanamke pekee unayemtetea ni Yule hips kalimati!! So stop this stupidity ya kujifanya activist..

Mwisho kabisa niseme UMEFELI!! kama umetumwa kamwambie aliyekutuma mjipange upya.. kama umeandika Kwa will yako mwenyewe pia UMEFELI vile vile!!!
 
BAYCOT kibongo bongbongo bado sanaaaa. TUNAANZA HIVI KWENYE TANZANIA MOST POWERFUL MEDIA OF GREAT THINKERS, ITAFIKA GAZETINI LAZIMAA, MAANA MAGAZETI HIKI NACHO NI CHANZO CHAO CHA HABARI, WATAWAHOJI VODACOM, WAKICHUNA TENAAA, TUTAENDA INTERNATIONAL BLOGS, MAANA VODA HAIKO NCHI MOJA, WATA AINISHA VODA TANZANIA, SASA VODA HUKO KWINGINE WATAJITAFAKARI JE VODA TZ HIO BRAND WANAVOICHAMBIA NI HALALI? MDOGO MDOGO MEDIA TAKE OUT TMZ, TUONE VODA BRAND MANAGER WA TZ ATAJISIKIAJE KUWEKWA KWENYE GOSSIP SITES KAMA ZILE. Kutumbua jipu hakutaki haraka wala hasiraaaa. Bill cosby jipu lake limetumbuliwa miaka 40.
that's right, kama vodacom wanamtu wao humu ndani wajitafakari waangalie je ni haki kuwa na balozi anayebuse watu tena anajitangaza publicly? lazima waangalie moral worth ya balozi wao.

lakini pia hao watu wengine nao waliofanyiwa vitendo kama hivi wajaribu kutafakari na kuona how they can go about it.
 
Dimond alikiri GAZETINI naomba google DIMOND KAMPIGA WEMA, utaletewa magezeti yenye hio interview kakiri kabisaa KUMPIGA WEMA. Sasa huyu mtu ni mnyanyasaji wa wanawake hafai kuwa BRAND AMBASSADOR. Achia mbali VERBAL ABUSE ANAZOWAFANYIA WANAWAKE.

Hatuwezi kuwa na jamii ya hivi. Sio sahihi.
Kwanini ulete mada sasa na si kipindi hicho hayo matukio yalipokuwa yanatokea? 1. Nahisi unaweza kuwa muhanga wa diamond,2 .wivu wa maendeleo take,3. Kutumiwa na watu kusambaza chuki za hovyo. Ndio alifanya makosa na kama wewe ni mtetezi wa wanawake muda ule ule ilikupasa kupaza sauti.
 
Lara1, ni wachache wanao kuelewa, lakini pia hapa makampuni yanapaswa kujifunza namna ya kuwapa watu hizo nafasi za kimatangazo ili kuweka brand ya kampuni katika hali nzuri ya kiushindani katika biashara
 
Lara1, ni wachache wanao kuelewa, lakini pia hapa makampuni yanapaswa kujifunza namna ya kuwapa watu hizo nafasi za kimatangazo ili kuweka brand ya kampuni katika hali nzuri ya kiushindani katika biashara
Huu Uzi una lengo moja kati ya haya..

1. Lara 1 unajulikana wazi kuwa unakitu personal dhidi ya De eidha mmewahi kukwaruzana au kuna mtu wako wa karibu au shosti wako Fulani hayuko poa na Dee na ndio Maana sijawahi kuona hata siku moja umeongea neno zuri kuhusu Dee..

Kwahiyo hizi ngonjera zako za kujifanya mtetezi wa haki za wanawake ni upuuzi na mazombi pekee ndio watakuamini..

2. Chuki/wivu ulionao juu ya Dee ndio motive iliyoko ndani yako! Hii dili ya Voda monde amelamba zaidi ya mil 600 na kuna haters hapa mjini imewauma hawapati hata usingizi.. naanza kuamini wewe ni mmojawapo

3. Attempt ya kujaribu kunuharibia Dee aipate dili nyingine.. licha ya kuwa umejisifu wewe guru wa PR ila hii strategy yako ni ya kitoto mno.. you might be able to draw attention ya hivyo vigazeti uchwara vya udaku but trust me this issue will get no where!! Strategy yako ya kijinga mno, hebu jievaluate upya kabla ya kujitutumua wewe ni guru..

4. Blackmail, huu mkwara wako kuwa utaenda tmz unaoutoa kwenye kila post unaonesha kabisa kuna angle flani unataka kublackmail coz kama imekuuma sana unasubiria nini

5. Wewe Lara 1 hauna uhalali wa kujifanya mtetezi wa wanawake!! Wewe ndio kila siku ukauki kumdhalilisha zari, mwanamke pekee unayemtetea ni Yule hips kalimati!! So stop this stupidity ya kujifanya activist..

Mwisho kabisa niseme UMEFELI!! kama umetumwa kamwambie aliyekutuma mjipange upya.. kama umeandika Kwa will yako mwenyewe pia UMEFELI vile vile!!!
 
bado unachofanya ni exaggeration tu....

makampuni yanalinda sana image zao lakini pia wanatazama na circumstance itakayoharibu biashara husika sio kirahisi kama unavyodhani yaani useme leo tu kesho wachukue action...

Pili ungekua na point nzuri kama issue ya msanii kuwanyanyasa hao wanawake ni ipo currently na wanawake hao wako mahakamani kwa ajili ya shitaka husika kufukua issue ya miaka hiyo kwa biashara ya sasa si sawa kwa kua kampuni hizo zinafanya naye kazi sasa sio wakati huo...

Halafu ujue ingekua makampuni yanafuatilia hizi story za kiudaku hata msanii huyo asingeweza kua ambassador kwenye biashara zao kwa sababu ya story negative za kila siku

Hahahaaaaaa! Sio wewe ndo unafanya MINIMIZATION? RAPE CHARGES! RB! MEDICAL REPORT! FUGITIVE! TESTIMONY OF BATTLING WOMEN! VERBAL ABUSES ON AIR! REALLY!

How long did it take Dr. Mwaka kuchukuliwa charges? One post in UTURN.

wALITAKIWA WAFATILE NA GUIDELINES ZINASEMA HIVO ILA UJANJA UJANJA MWINGI. Kuna mtu kani pm email ya MD wa Vodacom Ian Fera nani sijui na mahead wengine huko huko vodacom mpaka wa South kuwa hili jipu NILITUMBUEEE na nitume hii post humo na ku google ishu zote nicompile case na kutuma humo mwenye hizo email of which will take me like 5 minutes. Hio email ni cc maboss wote. Hahahaaaa! Watu kwa FITINAAA. Ananipa na location zote mabango yalipo ni yamention na kutuma screen shot ya rb, medical report na kupoint kwa mshale mbakaji ndo huyu. Hahahahaaa!

Hilo sio lengo langu kuwafukuzisha watu kazi, sasa hio ni kuwakaba kooo Voda na BLACK JUSTICE. Mimi lengo langu sio Voda wavunje mkataba afu basi. Lengo lang WAWAJIBIKE NA KWANZA KUKEMEA KITENDO KILICHOFANYWA NA AMBASSADOR WAO, WAWAJIBIKE KUYATOA YALE MABANGO, NA PUBLICLY KU ACKNOLEDGE KAMA KAMPUNI WALIKOSEA.

OFCOURSE HAWATOFANYA VYOTE HIVO ILA NGOJA TUONE WATATOKA VIPI.
 
Hahahahaaaaaaaa! TOO BAD IT IS A FREE COUNTRY, NA KUNA UHURU WA KUTOA MAONI NA MAONI YANGU JUU YA VODA HI HAYOOOOOOO. Over.
Kitu kibaya zaidi ni kua una uwezo huo...yani ulalamike wewe labda kaam ulikua house girl kipindi wema anapigwa....yani asilalamike wema mlalamike nyie mashabiki...madem kama nyie ni kugonga na kuacha tu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Lara1, ni wachache wanao kuelewa, lakini pia hapa makampuni yanapaswa kujifunza namna ya kuwapa watu hizo nafasi za kimatangazo ili kuweka brand ya kampuni katika hali nzuri ya kiushindani katika biashara

EXACTLYYYYYYY! LEARNING NI VITAL POINT ILI MAMBO KAMA HAYA YASIJIRUDIE.
 
Kitu kibaya zaidi ni kua una uwezo huo...yani ulalamike wewe labda kaam ulikua house girl kipindi wema anapigwa....yani asilalamike wema mlalamike nyie mashabiki...madem kama nyie ni kugonga na kuacha tu
Wema alilalamika gazetini na gazeti lipo mpaka ukomo wa dahari.
 
mgombea uvccm2017
Kesi zangu sababu una mda unaweza kuzijadili kichwani kwako 24/7nila mimi niko busy NAJENGA JAMII IMARA KWA KUKEMEA MAMBO KAMA YA VODA KUWA EMPOWER WANYANYASAJI WA WANAWAKE.

Na hizo tuhuma za Mange hazina ushahidi. MANGE HAJAKIRI KWA MANENO AU MAANDISHI ila DIMOND TESTIFIED HIMSELF IN INTERVIEWS AND ON AIR.
Naona kuhusu Voda inakuuma sana?.na kama wewe ni mtetezi wa wanawake wajulishe ofisi yako iko wp waje na si kutumia reference ya wema,
 
Naona kuhusu Voda inakuuma sana?.na kama wewe ni mtetezi wa wanawake wajulishe ofisi yako iko wp waje na si kutumia reference ya wema,

Sijatumia reference ya Wema nimetumia reference ya gazeti. Wema alivohojiwa na gazeti angewaza lile gazeti linadumu milele na watu hawasahau kilichoandikwa mule.
 
Back
Top Bottom