Mtu kabakwa Sweden? Kwa ufupi nchi za Scandinavia hata msichana akihongwa hela ni ubakaji, na Kwa bongo ni mademu wangapi wanataka kugongwa na mastaa, then wanajishebedua ili ionekane wamebakwa, Kwa ufupi hii issue ya kubakwa ni upumbavu.
Kama wewe ni mfuatiliaji, Yule dogo Justin Bieber aliondoka stejini na hakutumbuiza kabisa baada ya visichana vya kinorway vilipotaka kumgusa, na ujue sheria za Norway iwapo dogo angejipendekeza japo kukashika kamoja tu na kukavuta stagini au kushuka na kukashika japo matiti au kucheza nako basi angekuwa mbakaji.
Hivyo Kwa hilo suala kwetu Kwa Diamond eti mbakaji au women abuser is irrelevant, tafuta kitu kingine!