Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Haya nisaidie wewe sasa... source ya hiyo habari ni hiyo blog; au? Kama ni hiyo blog; adress ya hiyo blog ni ipi na mwandishi wa habari ni nani?

Halafu, hivi hiyo habari umeisoma?

Hahahaaa, my oh my!
 
HIVI MWANAMKE AKIACHWA AMENYANYWASWA.... UMEANDIKA MANENO MENGI SIJAONA MANYANYASO YOYOTE!!

ALAFU KAMA UNACHUKI BANAFSI VILE

SASA KUACHWA KUNAHUSIKA VIPI NA VODA, UNYANYASAJI WA WANAWAKE NA UBAKAJI? Labda tuanzie hapa.
 
Lala1ebu tumia akili kidogo hivi unatembea na newz za udaku..! Story nyingine wema na diamond zilikuwa zinaundwa kupata kick wee kisimii kinakunyanyuka na mihemko juu..! Wache wafu wafe wawazike wafu wao...
Lemme be honest hapa... huyu @lara1 zamani.... anyway, lara; trust me siongei hili kwa unafiki zamani mi nilikuwa nadhani we ni mjanja kweli kweli lakini leo... dah... au kv umebananishwa ndo unafikia kuokoteza hutu tuji-blog?!

Mkuu KATASAN'KAZA, kaone ka-blog alikotuwekea lara 1 kama uthibitisho kwamba Diamond alikuwa anadhalilisha Wema... hapa haka: Unique Entertainment Blog
 
Sasa kama ulijua mimi sio Vodacom kwanini basi ulikuwa ung'ang'ania kwamba hiyo issue mie siifahamu?!
Ulikuwa huifahamu kasome tu post zako za nyuma, baada ya kuifahamu ndo umekuja na hoja sasa. Haya basi tufanye ulikuwa unaifahamu toka mwaka juzi. Hahahahaaaaa! AS IF IT CHANGES ANYTHING. Huh!
 
Lara 1
Mimi Nakuona Wewe Kama Zuzu Fulan! Well Nahaid! Nitatoa Elfu 50 Kwako Kama Ukifanikisha Hili! {Diamond Akihukumiwa, Au Voda Wakimmaind}! Nakupa 1 Month! Ukishindwa Nitaomba Wana Jf Wanipe Kampan Kukuona Wewe Ni Bwege Mtozeni. THANX
 
SASA KUACHWA KUNAHUSIKA VIPI NA VODA, UNYANYASAJI WA WANAWAKE NA UBAKAJI? Labda tuanzie hapa.

HIYO YA DIAMOND KUBAKA MPYA! NAISIKIA KWAKO....

Kama ni yule DJ wake! sasa diamond kaingiaje hapo..?!

kumbuka sweden gender equality ipo katika hali ya juu sana .. i mean hadi vyoo ni wanaume na wanawake hawatenganishi ..." i saw this in my Uni"

huyo bint anayedai kabakwa angeshitaki within a sec. huyo jamaa angekamatwa hata airport asingefika....

ninachoona kwenye thread yako ni chuki binafsi tu !
 

HAHAHAAAA! The thing is I AM A MIND OF MY OWN, sitetereki na juu sijui flani ananionaje au atanionaje au amenionaje. Mimi mbona binafsi NAWADHARAU WATU WENGI TU, NAWAPUUZA WATU WENGI TU, sasa it is fair hata watu wakinifanyia hivo pia. As long as hupungukiwi kitu ukinidharau wala ukinipenda huongezewi kitu.

NA HIO BLOG SIO SOURCE NI LINK TU IMEKUJA HARAKA BUT UKIANGALIA PICHA NA SOURCE NI GLOBAL PUBLISHERS, ISHU ILITOKA GAZETINI OF WHICH IS GOOD ENOUGH KULIKO INGEKUWA ILITOKEA KIMYA WEMA AKATOA PICHA ZAKE. HAHAHAAAAAAA!
 

KAKA MALIZA BANDIKO, KAMA UNAONA UVUVI PLEASE USIKURUPUKE KUCHANGIA, MALIZIA BANDIKO MDOGO MDOGO.

GOOGLE HII STORY ROMY JONES ATUHUMIWA KUBAKA SWEEDEN ATLEAST YOU WILL GET A CLUE.
 
Huhuuuuuuuu huku mambo ni motroooooo.
Naona lara 1 unashambuliwa kwelikweli!
Na unajiweza,sio kwa ligi hii!
 
Atatulia ana moto ameenda ulaya akafakamia mambo ya haki ya wanawake kakurupuka kutuleta hapa, naguess atakuwa kwenye Scandinavian countries hawa jamaa ndiyo wanaendekeza ujinga huu, ila possible labda anaandaa paper, wenda alipata kiskoraship cha mambo ya akina mama(natania) ila karibu na ukweli...

Kuna watu ukiangalia mtu anavyojenga hoja unaelewa yuko shule, mbinu ya kuishi kiujanja ujanja ameishiwa pesa za rushwa kaondoka nazo mkwere! Sasa hivi hakuna kuonga kizembe amebadiri strategy mwenziwe wema ccm walimstukia sasa lara1 anajijenga ila enzi Ng'osha ngumi hii.
 
Huhuuuuuuuu huku mambo ni motroooooo.
Naona lara 1 unashambuliwa kwelikweli!
Na unajiweza,sio kwa ligi hii!

HAHAHAAAAA ! TATIZO WATU WANANI ATTACK ME WAKATI MIMI KWENYE HILI SAGA LA VODA SINA EFFECT YOYOTE. HATA NIKJULIKANA SIJUI AJE STILL NILIOSEMA NI KAMA NIMEYARUDIA TU, MIMI SIO SOURCE, NIMEPIGA DEBE TU, YAPO VALID SABABU SOURCE ZOTE ZIPO NA VYOTE VIKO DOCUMENTED HAINA HATA UBISHI.
 
KAKA MALIZA BANDIKO, KAMA UNAONA UVUVI PLEASE USIKURUPUKE KUCHANGIA, MALIZIA BANDIKO MDOGO MDOGO.

GOOGLE HII STORY ROMY JONES ATUHUMIWA KUBAKA SWEEDEN ATLEAST YOU WILL GET A CLUE.

sina haja ya ku google sheria za sweden nazifahamu vizuri na najua wanavyochukulia hizi issue ...

tuseme kweli amebaka swali langu ni ..

sasa kwanini unamuingiza diamond ?! nadhani kichwa cha habari ingekuwa kuhusu rommy! yaani abake mwengine .. mashataka yawe kwa mwengine..... ndio maana nasema unachuki zako binafsi na huyu jamaa
 
Ulaya sijaendaaa mwenzenuuuu, passport tu sinaaa. Mi wa hapa hapa uswaziii. NA HAKI ZA WANAWAKE NIMEJISOMEA TU HUMU MWENYE MITANDAO SIKU HIZI ELIMU BUREEE TU NYINGIII UKIPATA BUNDLE LA BUKU UNAELIMIKA MPAKA BAAASI.

Sasa mimi najijenga nifaidike nini? Voda waninyamazishe au? Hahahahaa! MI NAONGE IN PUBLIC FOR MY FELLOW DEPRIVED WOMEN, MUNGU NDO ATANILIPIA.
 

Simple WHO IS ROMY TO VODA? WHO HAS THE ENDORSEMENT? KWANINI MANAGEMENT YAKE ILIMSAFISHA MTUHUMIWA MEANS INAUNGA MKONO UNYANYASAJI WA WANWAKE HATA HISTORY YA DAI IMEJAA VIOLENCE AGAINST WOMEN.

Sawa mimi nina chuki binafsi ila NDO VODA BRAND INAHARIBIKA FUGITIVE WANTED FOR RAPE CHARGES KUWA KWENYE BILLBOARD HAHAHAAAAAAAAA ONLY IN TANZANIA. SKELEWUUUUUUUUUUUUU SEKELELELELEWUUUUUUUUUUU!
 

mleta mada hajielewi... ana leta speculation kutoka kwenye vi blog bila kujua politics za nchi husika! na huyo mdada DEBORA sijui ametumia ujinga wao kutafuta cheap popularity ...

gender equality SWEDEN ipo katika hali ya juu sana... mtu hawezi akabaka tu na kukimbia asikamatwe... labda hayo madawa aliwekewa akalala usingizi siku tatu ...

pia...

bandiko lake linamuhusu DJ wa Nasibu ... lakini anamlaumu nasibu ndio mbakaji!
 

MIMI MALAMIKO YANGU MAKUBWA NI BANGO LILE NA BRAND YA VODA INANIUMAAA UCHUNGU WAKE NINGEWEZA NINGEJIFUNGUUUUAAAA.

KAMA HANA HATIA SI AENDE AKASIKILIZE TUHUMA DHIDI YAKE BASI. HAHAHAAAAAAAAAAAAA!

KANYABOYAAAAAAAAAA! CHEZE KESI MPAKA UNAIKIMBIAAAAA.

 
Team wema mnagubu
Amchoki. Hapo utakuta umeacha kaz za msingi kuja kuleta Uzi usishonekea.
 
Ngoja nilale kwanza maana nina wenge la usingizi.
Kesho nitaangalia hili kwa mapana,na ikiwezekana nikuunge mkono kabisaaaa.
#UtuMwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…