Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Ulaya sijaendaaa mwenzenuuuu, passport tu sinaaa. Mi wa hapa hapa uswaziii. NA HAKI ZA WANAWAKE NIMEJISOMEA TU HUMU MWENYE MITANDAO SIKU HIZI ELIMU BUREEE TU NYINGIII UKIPATA BUNDLE LA BUKU UNAELIMIKA MPAKA BAAASI.

Sasa mimi najijenga nifaidike nini? Voda waninyamazishe au? Hahahahaa! MI NAONGE IN PUBLIC FOR MY FELLOW DEPRIVED WOMEN, MUNGU NDO ATANILIPIA.
Mmmmhh...! Lara1 eti Mungu atanilipa..!

Njoo nikuunganishe na wanaharakati Za akina mama tena mimi mwenyewe ni memba wao, wanaitwa SAUTI YA MWANAMKE TANZANIA.(SMTZ). achana na hawa sijui TAMWA, TGNP nakuapia wako kimkakati sana forget to hear them bucking on backing gender equality or woman inspite of their fake struggles.
 
Ngoja nilale kwanza maana nina wenge la usingizi.
Kesho nitaangalia hili kwa mapana,na ikiwezekana nikuunge mkono kabisaaaa.
#UtuMwanamke

Hahahaaaa! Poa shoga mwenyewe nalala, natafuta wimbo wa kuagia hapa. UTU MWANAMKE SHOGA ANGU. Ila inabidi uwe na kifua kweli kweli maana sio rahisi hii mibaba kuziachia haki zetu.

GOOD NIGHT.
 
JAMANI HII ALUTA CONTINUAAAA. HALIISHI LEO WALA KESHO. MIMI NALALA SAHIVI LAKINI MKAE MKIJUA ILIMCHUKUE BILL COSBY 40 YRS NA BADO HAJATUMBUKA HILO JIPU WAMEFUTA USAHA JUU JUU TU. SAFARI INAWEZA KUWA NDEFU ILA MSIJALI SHORTCUT PIA ZIMOO. JAPO SIO PRIORITY. HUU MCHEZO HAUTAKI HASIRA. KIBAO HIKO KIWABURUDISHE.

 
Ulivyo mtusi zari afu leo unajidai mtetezi wa wanawake kweli aya maajabu ya dunia funga domo lako shindana na kina kichwapanzi wako

Hahahaaaa! Ndo nashindana na Voda na majipu yao na nina comment 400 mtu mdogo mie kama sisimizi kwenye jamiii. Zari sikutukana I POINTED THE OBVIOUS NA NIMEOMBA RADHI KWA KUINGILIA PRIVACY YAKE ILA SIO NILIMPAKAZIA AU KUSEMA KITU AMBACHO HAKIJULIKANI.
 
Hili la kumtusi mwanamke mwenzake analikwepa wakat alimzalilisha
Haya nilichomtusi nini? Kuwa anatembea na mtoto mdogo? UONGO? Hajamzidi umri bwana wake? Kuwa mzee? UONGO? Hajaenda age? Ni sahihi kwa maadili ya Bongo mwanamke mtu mzima kutembea na kijana mdogo? SASA JE!

Ila nimekubali kuwa NCHI HII HURU NA NIMEOMBA RADHI KWA KUINGILI UHURU WAKE WA KUFANYA TAKAVYO KATIKA MAONI YANGU. SASA KWANI KUNA TATIZO NA MTU? HAMNA TATIZO. HAHAHAAAAA
 
Hahahaaaa! Ndo nashindana na Voda na majipu yao na nina comment 400 mtu mdogo mie kama sisimizi kwenye jamiii. Zari sikutukana I POINTED THE OBVIOUS NA NIMEOMBA RADHI KWA KUINGILIA PRIVACY YAKE ILA SIO NILIMPAKAZIA AU KUSEMA KITU AMBACHO HAKIJULIKANI.
Nakupa wasaha jaribu kufanya kazi nyingine usipende kujishusha hadhi kwa kupewa vipesa vya mbonga na watoto kina wema afu uje ubweke kama mbwa koko sio maisha mazuri pia Chunguza age yako jua linazama
 
Nakupa wasaha jaribu kufanya kazi nyingine usipende kujishusha hadhi kwa kupewa vipesa vya mbonga na watoto kina wema afu uje ubweke kama mbwa koko sio maisha mazuri pia Chunguza age yako jua linazama

KAZI NILIOCHAGUA NDO HII NA MUUZA UTUMBO HAPASWI KUOGOPA NZI. Huo ushauri mpe mkeo. Wema hajanipa hata senti tano kipandeeee. anauza lipstic zake maskini dada wa watu wala hayupo huku mlipo nyie, keshatoka siku nyingi sanaaa, mnajaribu tu kumrudisha ila yeye walaaa. Wema ndo umtue kabisaaaaa

AGE YANGU INAENDA NDIO MAANA NIKO CONCERNED NA MAMBO YA KIJAMII NA NAJALI JAMII INAELEKEA WAPI. I HAVE BECOME THE CHANGE I WANT TO SEE.

wewe kama unapewa vihela na dai uninyamazishe dhidi ya unyanyasaji wao wa wanwake, na kuchafua brand ya watu rudisha tu hio pesa maana nasema hivi SINYAMAZIIIII, NITAROPOKA ROPOKAAAA SANAA MPAKA NIWE MSTARI WA MBELE KUKEMEA HAYA. HABARI NDO HIO.
 
Nisaidie basi kutafsiri KINGLEZA SIJATHOMA MWENZIO UJUE, English nimejifunzia kwenye muvi tu ujue. CHONDE CHONDE BABA NAOMBA UNITAFSIRIE KINGEREZA KILICHO NYOOKA, CHONDE CHONDE FATA KANUNI ZA UANDISHI, VERY IMPORTANT PERSON ANAWEZA KUIGOOGLE HII MADA AFU AKASHINDWA KUPATA PICHA. Fanya hivo ndugu yangu, fanya hima himaaaa. Nakutegemea usiniangushe mzungu wangu.
SWALA SI KUITAFASIRI HII MAKALA YAKO,BALI NI NAMNA ULIVYOCHANGANYA LUGHA,KUNA WENGINE HAWATAELEWA UJUMBE WAKO HUU MZURI
 
Nimeikumbuka TAMWA ile ya mama ananileya nkya.ilikuwa sio masihara kwa majambo kama haya.

yaani hata kama mke/demu wako kama angetaka kukuharibia kwa kukuuzia kesi ya manyanyaso ya kijinsia,anaenda tamwa,na lazima uisome Namba.sio siku hizi.
 
Sawa mimi nina chuki binafsi ila NDO VODA BRAND INAHARIBIKA FUGITIVE WANTED FOR RAPE CHARGES KUWA KWENYE BILLBOARD HAHAHAAAAAAAAA ONLY IN TANZANIA. SKELEWUUUUUUUUUUUUU SEKELELELELEWUUUUUUUUUUU!
You're living in a fantasy world my dear!! Hiyo Vodacom brand isiharibike wakati inamdhamini Mange Kimambi ambae ni mmwaga matusi na mdhalilishaji mkubwa wa wanawake wa Tanzania hii halafu ije kuharibika leo basing on lara1's campaign!!

Wewe bhana so long as ni SUPPORTER mkubwa wa Mange, Mange ambae akianza kutukana mtu anaweza kumaliza hata familia mzima hadi marehemu, leo hii unatarajia madai yako kwamba eti unatetea wanawake watu wayaone yana mantiki!!
 
hii ni vita ya wanawake na unyanyasaji, but the way i see ni wanawake wachache wenye ujasiri,,, songa mbele dada
 
hii ni vita ya wanawake na unyanyasaji, but the way i see ni wanawake wachache wenye ujasiri,,, songa mbele dada
Ah!! Nani kakudanganya kwamba ni mpiganaji?! Huyo tatizo lake ni Diamond na mkataba wa Vodacom na ukitaka kuamini; angalia ambavyo aliwahi kumzungumzia demu wake Diamond:
Yule bibi ashazaa watoto wa 3, so ata kizaa 10 wengine haina tofauti ndo maisha aliozoea? Kuzaa zaa ovyo kama kuku.....

Sasa Wema huyu bibi all she wants is to drag you to her level and beat you with experience. Manake ashaa 4 tayari...

Uzazi usikie tu njiani. Mwenzi Bibi kizee anakutia ndimu uzae ili apate amani na Kaka D. Manake as long as hujazaa anapata shaka leo kesho ukizaa na D ukawa mke mwenzie atajimuder.
Sasa real feminist anaweza kusema mwanamke mwenzake anazaa kama kuku?! I also hope unamfahamu Zari! Sasa hivi huyu lara1 ana udogo gani wa kumwita Zari bibi kizee kama sio tu lengo lake ni kukashifu?!

But more important, huyo Zari mwenyewe sidhani kama anamfahamu huyu lara1; sasa inda hii inatoka wapi?! Should I continue connecting the dots?

Unamfahamu au umeshapata kumsikia Mange Kimambi? Sifa kuu ya Mange ni kutukana watu mitandaoni na akianza kutukana ni hadi marehemu! Na majority ya wanaotukanwa tena bila staha ni hao hao wanawake! Sasa huyu Mange ndo role model wa lara1 ambae unadhani anapigania haki za wanawake!!

Huyu Mange na Zari haziivi kwahiyo automatically adui wa Mange ni adui wa lara1 na ndio maana hata ukifuatilia huu mjadala utaona watu wanamwita lara1 ni Mange though I don't believe so... Mange is Mange lara1 is lara1!

Likewise, Wema Sepetu ni good girl wa Mange so; automatically she's a good girl to lara1 too! Wema Sepetu kapigwa chini na Diamond and got replaced by Zari! Ndo kisa za hizo kashfa za lara1 hapo juu against Zari... it's in favor of their good girl Wema!

Need to say more? Zamani Vodacom walikuwa wanamdhamini Mange lakini baadae wakampiga chini! Hicho ndo kisa cha povu lote hili against Vodacom!!

But all in all; hivi hujiulizi how come kosa la Rommy atake asurubiwe Diamond? Ukiuliza, jibu lake ni kwamba hata Diamond ana historical abuse huku akitoa reference yake ikiwa Unique Entertainment Blog: WEMA SEPETU ADUNDWA KAMA MWIZI NA DIAMOND

So, don't be blinded by kind of people wanaotaka kutumia matatizo ya wengine kupenyeza ajenda zao binafsi!!
 
Halafu, hivi hiyo habari umeisoma?

Hahahaaa, my oh my!
Hahaa!! Yaani ndo vile tu was kind of alone here oe else yeyote ambae angekuwa jirani yangu angeshangaa nipo okay coz nilikuwa nasoma huku nacheka huku nikijiuliza ina maana hao Vodacom ndo wavunje mkataba basing on this... oh Lord! Huyu @lara1 nadhani keshaanza kuzeeka halafu anazeeka vibaya!
 
Ah!! Nani kakudanganya kwamba ni mpiganaji?! Huyo tatizo lake ni Diamond na mkataba wa Vodacom na ukitaka kuamini; angalia ambavyo aliwahi kumzungumzia demu wake Diamond: Sasa real feminist anaweza kusema mwanamke mwenzake anazaa kama kuku?! I also hope unamfahamu Zari! Sasa hivi huyu lara1 ana udogo gani wa kumwita Zari bibi kizee kama sio tu lengo lake ni kukashifu?!

But more important, huyo Zari mwenyewe sidhani kama anamfahamu huyu lara1; sasa inda hii inatoka wapi?! Should I continue connecting the dots?

Unamfahamu au umeshapata kumsikia Mange Kimambi? Sifa kuu ya Mange ni kutukana watu mitandaoni na akianza kutukana ni hadi marehemu! Na majority ya wanaotukanwa tena bila staha ni hao hao wanawake! Sasa huyu Mange ndo role model wa lara1 ambae unadhani anapigania haki za wanawake!!

Huyu Mange na Zari haziivi kwahiyo automatically adui wa Mange ni adui wa lara1 na ndio maana hata ukifuatilia huu mjadala utaona watu wanamwita lara1 ni Mange though I don't believe so... Mange is Mange lara1 is lara1!

Likewise, Wema Sepetu ni good girl wa Mange so; automatically she's a good girl to lara1 too! Wema Sepetu kapigwa chini na Diamond and got replaced by Zari! Ndo kisa za hizo kashfa za lara1 hapo juu against Zari... it's in favor of their good girl Wema!

Need to say more? Zamani Vodacom walikuwa wanamdhamini Mange lakini baadae wakampiga chini! Hicho ndo kisa cha povu lote hili against Vodacom!!

But all in all; hivi hujiulizi how come kosa la Rommy atake asurubiwe Diamond? Ukiuliza, jibu lake ni kwamba hata Diamond ana historical abuse huku akitoa reference yake ikiwa Unique Entertainment Blog: WEMA SEPETU ADUNDWA KAMA MWIZI NA DIAMOND

So, don't be blinded by kind of people wanaotaka kutumia matatizo ya wengine kupenyeza ajenda zao binafsi!!

HAHAHAAAAAAAAAAA! KWELI ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE.

haya niliosema kwa zari lipi LA UONGO NA LA KUZUA? Kwa hio Zali yule binti wa miaka 17 sio mzee? HAHAHAAAAAAAAAAA!

HANA WATOTO WA 4 HUYO ZALI? HAHAHAAAAAA!

EMBU POINT OUT HAPO KIPI CAH KUZUA NA KUTUNGA. Zali kama hanifahamu inahusu nini? Si maisha yake ameweka public kwenye insta yake, kwani nimfata uvunguni kujua haya? Mwenyewe ana post UZURI MWENZENU HAJIFICHI WALA HAONI TABU KUWA NI MTU MZIMA AND SHE IS PROUD ANA WATOTO WAKE WA 4 UNACHONENGENEKA WEWE HAPA ZALI KLATUKANWA SIJUI NI KIPI.

Hahahahaaa! Zali mwenyewe mara kibao anatukana followers wake na kutupia vijembe. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha. Mange alikuwa BLOGGER WHICH GAVE HER THE RIGHTS TO INVOLVES HERSELF WITH PEOPLES BUSINESS. Blogging business. Na bloggers kibao akiwemo Linda Ikeji, Perez Hilton mara kibao wanaonekana wabaya by simply GIVING PEOPLE THEIR RIGHT TO KNOW.

ALL IN ALL HAKUNA MAHALI KATIKA GAZETI LAKO HILI UMEMSAFISHA ROMMY WALA DAI. SANASANA UNATIA WATU UBAYA TU. HAO WOTE HATA UKIWAPAKA MAVI STILL THE CHARGES ARE REAL, RB IS REAL, FUGITIVE IS AT LARGE, MEDICAL REPORT IS REAL, HISTORY OF VIOLANCE IS REAL.
 
Nyie mnamtukana mke wa mzungu bureeeee maskini HANA MKONO KATIKA HILI HATA CHEMBEEE. kuanza kumuhusisha Mange inaonekana maji ya shingo yamewafika.
Nimetukana wapi ?
Acha longolongo ......Prove it
 
Back
Top Bottom