Tena niongezee. Nchi kama Scandinavia (Norway, Sweden, Danmark), msichana akilewa na ktk ulevi Wake mara nyingi huwa wanakubali kwenda na wanaume, na kibaya zaidi wengi wao kama huko sweden wanakuwa na ukame na wanaume hivyo wengi unakuta kakaa hata miaka bila kupata mwanaume. Sasa ikitokea umeenda naye geto au hotel akiwa amelewa akiamka asubuhi huwa wanajifanya kustuka eti hakujua basi anajiliza liza na kukimbilia polisi kusema kabakwa! Ila kesi nyingi hizo polisi huwa wanazitupilia mbali kabisa. Hivyo Kwa wabongo mnaoenda majuu muepuke sana kuchukua demu kama kalewa, maana atakuletea shida baadaye. Hata huyo wa sweden ni mpumbavu tu atakuwa either alilewa au ni mzushi tu.