Pale mfumo wa silaha hatari unapoungana na dawa

Pale mfumo wa silaha hatari unapoungana na dawa

Uko sahihi mkuu - inanivuruga mno, tofauti tu ni kwamba SI KWA AJILI YANGU BALI KWA AJILI YA TANZANIA NA WATOTO WAJAO - mimi kama mimi nilishafanya uamuzi wangu, haubadiliki na hainisumbui. Lakini umati mkubwa umelala fofofo. Nikiokoa hata mmoja, sio mbaya.
Na wamelala kweli kweli. Bahati mbaya hata ukitaka kuwaamsha au kuwapa dondoo kidogo za ufahamu wanakupinga, wanakukejeli na kukushangaa.

Muda utaongea lakini. And it will be too late.
 
Na hapo ndo utaamini huu ugonjwa ni MAN-MADE

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ugonjwa wenyewe kiuhalisia haupo ila unaweza kujiletea mwenyewe ukitaka, na ukitaka kujiletea ugonjwa wa uviko wewe vaa barakoa muda wote, ugonjwa utakuja tu na utahitaji kuwekewa oksijeni baada ya kuuharibu wewe mwenyewe mfumo wa upumuaji kwa vile Televisheni na wataalamu wa afya wamesema tuvae!!
Ndo maana "wakubwa" wanakufa sana
 
Ni nadharia kwa sababu wanakuwa na explanations tofauti kuhusu mambo fulani fulani
Mkuu ina maana huna akili za kuona mambo? Unakataa Conspiracy kuwa ipo na kuna maniplation so deeper in human enslavement..
Ngoja nikuulize swali kama una akili!
Nini kazi ya Fluoride kwenye maji na dawa za meno! Poa jifunze kidogo toxicity ya hiyo element kutuwekea kwenye vitu tunavotumia daily!
Pia nambie kwa nini wanatuwekea "viinilishe" mnaita 'Fortification' kwenye sembe na ngano na mmefunga vifaa kwa lazima kwa wenye mashine za unga ili kumwaga hizo "synthetic elements" kwenye vyakula wanavotumia watu daily!
 
Na wamelala kweli kweli. Bahati mbaya hata ukitaka kuwaamsha au kuwapa dondoo kidogo za ufahamu wanakupinga, wanakukejeli na kukushangaa.

Muda utaongea lakini. And it will be too late.
Ni mkuu - a very sad truth - lakini hatutaacha kusema, huenda mmoja au wawili watasikia na kuelewa kinachoendelea
 
Ugonjwa wenyewe kiuhalisia haupo ila unaweza kujiletea mwenyewe ukitaka, na ukitaka kujiletea ugonjwa wa uviko wewe vaa barakoa muda wote, ugonjwa utakuja tu na utahitaji kuwekewa oksijeni baada ya kuuharibu wewe mwenyewe mfumo wa upumuaji kwa vile Televisheni na wataalamu wa afya wamesema tuvae!!
Ndo maana "wakubwa" wanakufa sana
asante mkuu kwa point hizo
 
Mkuu ina maana huna akili za kuona mambo? Unakataa Conspiracy kuwa ipo na kuna maniplation so deeper in human enslavement..
Ngoja nikuulize swali kama una akili!
Nini kazi ya Fluoride kwenye maji na dawa za meno! Poa jifunze kidogo toxicity ya hiyo element kutuwekea kwenye vitu tunavotumia daily!
Pia nambie kwa nini wanatuwekea "viinilishe" mnaita 'Fortification' kwenye sembe na ngano na mmefunga vifaa kwa lazima kwa wenye mashine za unga ili kumwaga hizo "synthetic elements" kwenye vyakula wanavotumia watu daily!
inasikitisha kwelikweli. Kibaya zaidi ni kwamba tunaenda shule kukariri tu lakini hatutoki na thinking skills zinazotuwezesha kuchambua mambo na kubaini ukweli sisi wenyewe. Tukishikilia tulichoambiwa, tumeshikilia kama msumari.
 
Ndio wanatumaliza kwa njia hii.
Hiyo njia ni ndefu sana (kama ni kweli) na sidhani kama mtu mweupe akiamua kukuua atazunguka kiasi hicho.

Hizo chanjo hata wao wanatumia, enzi tunaletewa za ndui, polio na pepopunda tulitumia vizuri pasipo ujuaji na zilisaidia sana leo hii hayo magonjwa hayapo.

Sasa hivi kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu daktari wakati hata panadol tu hatuwezi kutengeza
 
Mtu anayeemini mzungu anataka kumuua kwa chanjo ya covid19 anatakiwa aache kutumia vitu vyote vinavyotengenezwa na mabeberu.
kwa kauli hiyo unaamini kuwa anayeamini kuwa chanjo ni salama inabidi pia akubali ushoga, kubadili jinsia, kuoanana mbwa, nk, au sio?
 
Ugonjwa wenyewe kiuhalisia haupo ila unaweza kujiletea mwenyewe ukitaka, na ukitaka kujiletea ugonjwa wa uviko wewe vaa barakoa muda wote, ugonjwa utakuja tu na utahitaji kuwekewa oksijeni baada ya kuuharibu wewe mwenyewe mfumo wa upumuaji kwa vile Televisheni na wataalamu wa afya wamesema tuvae!!
Ndo maana "wakubwa" wanakufa sana
Exactly
 
Hiyo njia ni ndefu sana (kama ni kweli) na sidhani kama mtu mweupe akiamua kukuua atazunguka kiasi hicho.

Hizo chanjo hata wao wanatumia, enzi tunaletewa za ndui, polio na pepopunda tulitumia vizuri pasipo ujuaji na zilisaidia sana leo hii hayo magonjwa hayapo.

Sasa hivi kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu daktari wakati hata panadol tu hatuwezi kutengeza
mkuu fanya uchunguzi zaidi baba, chanjo hazikumaliza magonjwa hayo. Yote ilikuwa ni uongo mtupu kama uongo wa leo. Usiwe mwepesi kukubali mambo kwa sababu tu ni wazungu wamesema
 
Back
Top Bottom