Pale mfumo wa silaha hatari unapoungana na dawa

kwa kauli hiyo unaamini kuwa anayeamini kuwa chanjo ni salama inabidi pia akubali ushoga, kubadili jinsia, kuoanana mbwa, nk, au sio?
Ushoga/kuolewa na mbwa nk sio bidhaa bali ni tabia.

Namaanisha kama unaamini mzungu anataka kukuua na chanjo ya Covid19 acha kabisa kutumia bidhaa zote zinazotengenezwa na mabeberu ikiwemo dawa mbalimbali,vyakula,nguo, chanjo zote wanazochanjwa watoto nk.

Yani usiguse hata paracetamol zimetengenezwa na mabeberu.
 
Yaani ndo maana huwa sikubaliani na hizo conspiracy zenu. Kazi ya fluoride kwenye maji mbona inajulikana inasaidia kupunguza tooth dacay hasa kwa maji haya kama ya visima.

Too much exposure to fluoride ndo hatari, na kumbuka too much of anything is hamrful.

Hivyo viinilishe kwenye mashine ndo nasikia leo, nimeshaenda kusaga na kukoboa mara kadhaa kwenye mashine kuna mota na vinu sasa sijui hivyo viinilishe vinatokea wapi mkuu labda ufafanua zaidi kwa mifano hai.
 
hapana mkuu, hiyo sio conclusion salama. Idea sio kukataa vitu kwa kuw ani vya mzungu bali ni kuhoji mambo kabla ya kuyakubali. Kuhoji maana yake utabaini ni kizuri au ni kibaya. Usikubali tu bila kuhoji. Mambo mazuri na mabaya yapo hata kwetu
 
mkuu fanya uchunguzi zaidi baba, chanjo hazikumaliza magonjwa hayo. Yote ilikuwa ni uongo mtupu kama uongo wa leo. Usiwe mwepesi kukubali mambo kwa sababu tu ni wazungu wamesema
Uongo kivipi mkuu ? thibitisha hilo. Unataka kuniambia ndui (small pox) mpaka leo bado ipo.
 
Tuwaache wenye dunia watuendeshe,wewe ngozi nyeusi hata kama utawakataa nini kitatokea?
 
hapana mkuu, hiyo sio conclusion salama. Idea sio kukataa vitu kwa kuw ani vya mzungu bali ni kuhoji mambo kabla ya kuyakubali. Kuhoji maana yake utabaini ni kizuri au ni kibaya. Usikubali tu bila kuhoji. Mambo mazuri na mabaya yapo hata kwetu
Umeshawahi kuhoji paracetamol kabla ya kuitumia??

Umeshawahi kuhoji Heinnessy kabla ya kuitumia?

Umeshawahi kuhoji simu kabla ya kuitumia?
 
Kama ARV zinatoka kwao na kwa macho yetu tumewaona ndugu,marafiki na jamaa zetu tunaoishi nao mitaani afya za zipo imara tofauti kabla na ujio wa ARV,sioni sababu yoyote ya kuwa Mzungu eti anataka kutumaliza kwa kutumia chanjo. Hizo ni akili kisoda za wakina Gwajima na kundi lake walizorithi kutoka kwa Kayafa
 
Uongo kivipi mkuu ? thibitisha hilo. Unataka kuniambia ndui (small pox) mpaka leo bado ipo.
Swali zuri mkuu.
Ndui haipo ila kilichoimaliza sio chanjo. Ngoja nitumie mfano wa polio.

Ukisoma kitabu kiitwacho “Virus Mania” (Wazimu kuhusu virusi) kilichoandikwa na Torsten Engelbrecht na Claus Kohnlein cha mwaka 2007 ukurasa wa 60 wanasema hivi:

Practically all of the infectious illnesses that infected people in industrialized countries in the decades before World War II (tuberculosis etc.) ceased to cause problems after 1945. For a few years, the major exception was polio (infantile paralysis) , which continues to be called an infectious disease. In the 1950s, the number of polio cases in developed countries fell drastically-and epidemic authorities attributed this success to their vaccination campaigns. But a look at the statistics reveals that the number of polio victims HAD ALREADY FALLEN DRASTICALLY WHEN VACCINATION ACTIVITIES STARTED (see diagram 2) .

Na huu ni mfano mmoja. Ningeweza kukutolea mifano kutoka Poison Needle Suppressed Facts About Vaccination cha Eleanor McBean; Good-bye Germ theory cha Dr William Trebing, nk, nk

Ndugu, watu wanatafuta biashara kwa kuharibu afya yako. Usiseme tu kama wanasemavyo wengi, wazungu wangetaka kutuua wangeshatumaliza. That is cheap argument of lazy people.

Karibu Dreadnought
 
Umeongea vyeme mkuu, kama kweli lengo ni kutuua hata hizo ARV wasingezitoa kwetu.
 
Tuwaache wenye dunia watuendeshe,wewe ngozi nyeusi hata kama utawakataa nini kitatokea?
kujua tu ukweli wa mambo ni kitu kikubwa sana mkuu. Hata kama hutabadili dunia, utajibadili wewe mwenyewe na hata walio karibu yako wanaokuzunguka. Na hapo utakuwa umechangia pakubwa sana katika betterment of humanity
 
Mtu mwenyewe mwaka mzima unaisha huwa hata uwezo wa kununua jeans au shirt original. Sasa wakuue ili wapate faida gani ?
 
Mtu mwenyewe mwaka mzima unaisha huwa hata uwezo wa kununua jeans au shirt original. Sasa wakuue ili wapate faida gani ?
mkuu hilo swali ni zuri sana ila tunatakiwa tuwaulize wao. Hebu ona mifano hii ya kile wanachoamini na kusema:

Bill Gates
The world today has 6.8 billion people...that's headed up to about 9 billion. If we do a really great job on vaccines, health care, reproductive health services, we could lower that by perhaps 10 to 15 percent.

Ted Turner (American entrepreneur, television producer, media owner (CNN, etc), and philanthropist.)
A total population of 250-300 million people, a 95% decline from present levels, would be ideal.

Prince Philip
In the event that I am reincarnated, I would like to return as a deadly virus, in order to contribute something to solve overpopulation.

Jacques Yves Cousteau (French explorer, conservationist, filmmaker, innovator, scientist, photographer and researcher)
In order to stabilize world population, we must eliminate 350,000 per day.

Ukifanya search ndogo tu utaweza kuthibitisha haya matamko yao.
Maana nahisi unaweza kusema nawasingizia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…