Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ushoga/kuolewa na mbwa nk sio bidhaa bali ni tabia.kwa kauli hiyo unaamini kuwa anayeamini kuwa chanjo ni salama inabidi pia akubali ushoga, kubadili jinsia, kuoanana mbwa, nk, au sio?
Anajaribu kutoka nje ya mada kwa kuzungumzia tabia za mabeberu badala ya kuzungumzia bidhaa za mabeberu.Hahaha Mkuu huku umefika mbali
Yaani ndo maana huwa sikubaliani na hizo conspiracy zenu. Kazi ya fluoride kwenye maji mbona inajulikana inasaidia kupunguza tooth dacay hasa kwa maji haya kama ya visima.Mkuu ina maana huna akili za kuona mambo? Unakataa Conspiracy kuwa ipo na kuna maniplation so deeper in human enslavement..
Ngoja nikuulize swali kama una akili!
Nini kazi ya Fluoride kwenye maji na dawa za meno! Poa jifunze kidogo toxicity ya hiyo element kutuwekea kwenye vitu tunavotumia daily!
Pia nambie kwa nini wanatuwekea "viinilishe" mnaita 'Fortification' kwenye sembe na ngano na mmefunga vifaa kwa lazima kwa wenye mashine za unga ili kumwaga hizo "synthetic elements" kwenye vyakula wanavotumia watu daily!
hapana mkuu, hiyo sio conclusion salama. Idea sio kukataa vitu kwa kuw ani vya mzungu bali ni kuhoji mambo kabla ya kuyakubali. Kuhoji maana yake utabaini ni kizuri au ni kibaya. Usikubali tu bila kuhoji. Mambo mazuri na mabaya yapo hata kwetuUshoga/kuolewa na mbwa nk sio bidhaa bali ni tabia.
Namaanisha kama unaamini mzungu anataka kukuua na chanjo ya Covid19 acha kabisa kutumia bidhaa zote zinazotengenezwa na mabeberu ikiwemo dawa mbalimbali,vyakula,nguo, chanjo zote wanazochanjwa watoto nk.
Yani usiguse hata paracetamol zimetengenezwa na mabeberu.
Uongo kivipi mkuu ? thibitisha hilo. Unataka kuniambia ndui (small pox) mpaka leo bado ipo.mkuu fanya uchunguzi zaidi baba, chanjo hazikumaliza magonjwa hayo. Yote ilikuwa ni uongo mtupu kama uongo wa leo. Usiwe mwepesi kukubali mambo kwa sababu tu ni wazungu wamesema
Umeshawahi kuhoji paracetamol kabla ya kuitumia??hapana mkuu, hiyo sio conclusion salama. Idea sio kukataa vitu kwa kuw ani vya mzungu bali ni kuhoji mambo kabla ya kuyakubali. Kuhoji maana yake utabaini ni kizuri au ni kibaya. Usikubali tu bila kuhoji. Mambo mazuri na mabaya yapo hata kwetu
Haya hoji.Ndio mkuu, mimi huwa nahoji kila kitu
Swali zuri mkuu.Uongo kivipi mkuu ? thibitisha hilo. Unataka kuniambia ndui (small pox) mpaka leo bado ipo.
Umeongea vyeme mkuu, kama kweli lengo ni kutuua hata hizo ARV wasingezitoa kwetu.Kama ARV zinatoka kwao na kwa macho yetu tumewaona ndugu,marafiki na jamaa zetu tunaoishi nao mitaani afya za zipo imara tofauti kabla na ujio wa ARV,sioni sababu yoyote ya kuwa Mzungu eti anataka kutumaliza kwa kutumia chanjo. Hizo ni akili kisoda za wakina Gwajima na kundi lake walizorithi kutoka kwa Kayafa
kujua tu ukweli wa mambo ni kitu kikubwa sana mkuu. Hata kama hutabadili dunia, utajibadili wewe mwenyewe na hata walio karibu yako wanaokuzunguka. Na hapo utakuwa umechangia pakubwa sana katika betterment of humanityTuwaache wenye dunia watuendeshe,wewe ngozi nyeusi hata kama utawakataa nini kitatokea?
Mtu mwenyewe mwaka mzima unaisha huwa hata uwezo wa kununua jeans au shirt original. Sasa wakuue ili wapate faida gani ?Dunia imeharibika sana.
Wanadamu wamezidi kuunda silaha hatari za kila aina ambazo tayari zina uwezo wa kuangamiza dunia hata mara 3 mara 4.
Zipo silaha za milipuko, za magonjwa, za mionzi na hata za hali ya hewa zinazoweza kutuma kimbunga au hata tetemeko.
Kama yupo mtaalamu, atusaidie kujua namna ambavyo
kilico silaha kinavyoweza kuwa dawa, afya au uzima.
Ukifungua HAPA utaona document ya mmoja wa wanaodai wanajali afya zetu.
View attachment 1952153
Lakini ndani yake, utaona sehemu nyingi zimefunika hivi:
View attachment 1952154
Kufunika maana yake wewe na mimi tusijue.
Kwa nini tusijue kama ni jambo jema?
Hapo nisaidie kujibu hata wewe?
Halafu ukija HAPA utakutana na document ambayo inafafanua maana ya (b) (4).
View attachment 1952157
Hii ni kusema kwamba, kile kilichofunikwa, wanasema kuwa kikiwekwa wazi kitaathiri matumizi ya state of art technology within a US weapon system.
Kwa maana nyingine, kitu hicho kinatumika kwenye state of art technology within a US weapon system, hivyo hawataki wakiweke wazi - wewe kinywe tu usitake kukijua.
State of art technology within a US weapon system maana yake ni teknolojia ya hali ya juu ndani ya mfumo wa silaha wa Marekani.
Sasa unatafuta nini huku kwenye afya yangu?
Mimi sijasema hizi ni silaha za maangamizi.
Nimetoa tu kama mchango wa knowledge.
Soma,
tafakari,
chambua,
kisha amua mwenyewe.
USILALE SANA!
Omba Mungu watoto wako wasirithi hii mitazamo yako ya hovyo hovyohicho unachosema si utetezi mkuu. Shukuru tu Mungu bado upo hai lakini waliokufa ni mabilioni tangu waanze hila zao. Ndio maana wanaitwa secret societies. Jitahidi usome document hii mkuu --- The Secret Covenant of the Illuminati
Akitokea hata mmoja tu mwenye mitazamo hasi kama wewe basi huyo ni Gwajima mpya nchinihilo litakuwa ombi baya sana mkuu
mkuu hilo swali ni zuri sana ila tunatakiwa tuwaulize wao. Hebu ona mifano hii ya kile wanachoamini na kusema:Mtu mwenyewe mwaka mzima unaisha huwa hata uwezo wa kununua jeans au shirt original. Sasa wakuue ili wapate faida gani ?