Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Huyu naenda nae sambamba..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu naenda nae sambamba..
kazi kazi mkuu 😂😂Huyu naenda nae sambamba..
nimecheka mpaka watu wananishangaaangalia usipaliwe sasa kwa kicheko
umecheka kwa sauti sionimecheka mpaka watu wananishangaa
Pole lazimana wewe ni mmoja wa wenye app au laa unafanya nao kazi. Binafsi sijawakopa ili ni wasumbufu balaa na mbaya zaidi wanadhalilisha sana watu. wanatuma msg kwa watu wote kwenye simu yakoSawa kama hutarajii kukopa bank za tanzania maisha Yako yote sawa ila kama utahitaji kukopa Kaa ukijua hao jamaa washapeleka record zako sababu uliweka nida watanzania wengi hawajui hii kitu na hayo madeni yanapanda Kwa riba Kila mda mliokubaliana
Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,
Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa
Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,
Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.
Kuna hawa wanaitwa BORA PESA,wadhalilishaji wakubwa.Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,
Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa
Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,
Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.
Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Hamna ishu kama hiyo mm nilipita na hela za bongopesa, mkopo wako nk kama 350k hivi na bado nimeweza kukopa CRDB hivi karibuni. Inshort hawatambuliki BOT na wanakwepa kodi.H
Hii utaona athari yake Kama utaamua kwenda kukopa bank
Ungejaribu Exim au EquityHamna ishu kama hiyo mm nilipita na hela za bongopesa, mkopo wako nk kama 350k hivi na bado nimeweza kukopa CRDB hivi karibuni. Inshort hawatambuliki BOT na wanakwepa kodi.
Kwamba hao hawakopeshi ?Ungejaribu Exim au Equity
Kikubwa ni namba ya Nida tuHuu uzi wako utafutwa.
And then, nijuze hivi ukikopa unatakiwakuwa na nini na nini?
Hivi kweli wanaweza kuaccess number za simu yanguBinafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,
Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa
Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,
Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.
Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Je ni kweki wanawaunga ndg zako kwenye group
Watapata wapi contactJe ni kweki wanawaunga ndg zako kwenye group
Kama umekopa potezea hawakufanyi chochote...vitisho tuJe ni kweki wanawaunga ndg zako kwenye group
Walikusumbua tena?Walinikera nilikopa 60,000
Nikalipa nusu then nikawaambia msinisumbue kwasasa pesa nyingine nitalipa siku fulani. Na uzuri kabla ya kuwalipa niliwambia kabisa naomba msinisumbua hela nitawalipa ila now hadi baada ya siku mbili mambo yatakuwa fresh nitawalipa msijali.
Heeh... Nashangaa baada ya masaa mawili tangu nilipe masimu na mameseji kibao yanaendelea nikasema shenzi zenu sasa iliyobaki silipi.
Kwan hujaoa...ilibidi nicheke