Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Sawa kama hutarajii kukopa bank za tanzania maisha Yako yote sawa ila kama utahitaji kukopa Kaa ukijua hao jamaa washapeleka record zako sababu uliweka nida watanzania wengi hawajui hii kitu na hayo madeni yanapanda Kwa riba Kila mda mliokubaliana
Pole lazimana wewe ni mmoja wa wenye app au laa unafanya nao kazi. Binafsi sijawakopa ili ni wasumbufu balaa na mbaya zaidi wanadhalilisha sana watu. wanatuma msg kwa watu wote kwenye simu yako
 
Kuna hawa wanai
Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,

Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa

Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,

Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.

Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,

Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa

Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,

Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.

Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Kuna hawa wanaitwa BORA PESA,wadhalilishaji wakubwa.
 
H
Hii utaona athari yake Kama utaamua kwenda kukopa bank
Hamna ishu kama hiyo mm nilipita na hela za bongopesa, mkopo wako nk kama 350k hivi na bado nimeweza kukopa CRDB hivi karibuni. Inshort hawatambuliki BOT na wanakwepa kodi.
 
Hao ni matapeli tu jaribu uwaulize wakuonyeshe ofisi zao uone kama watakuonyesha watabaki wanasema tu ooh ofisi iko Posta ukimuuliza posta wapi anasema posta hawataki hata ujue wako wapi hapo ndo utajua hao ni matapeli.
 
Hawa jamaa wanapiga simu kudai hadi usiku wa saa saba ! ni washenzi sana walimpigia mke wangu usiku huo niliwatukana sana hawana adabu kabisa na siku hiyo ndo ilikuwa siku ya sita kuamkia ya saba.Walianza kudai toka siku ya tano wanajidai ukilipa leo utaongeza kiwango cha mkopo na pia utalipa kwa mwezi sio wiki tena ! Kumbe wanataka tu ulipe wapate commision.
 
Hamna ishu kama hiyo mm nilipita na hela za bongopesa, mkopo wako nk kama 350k hivi na bado nimeweza kukopa CRDB hivi karibuni. Inshort hawatambuliki BOT na wanakwepa kodi.
Ungejaribu Exim au Equity
 
Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,

Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa

Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,

Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.

Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Hivi kweli wanaweza kuaccess number za simu yangu
 
Walinikera nilikopa 60,000

Nikalipa nusu then nikawaambia msinisumbue kwasasa pesa nyingine nitalipa siku fulani. Na uzuri kabla ya kuwalipa niliwambia kabisa naomba msinisumbua hela nitawalipa ila now hadi baada ya siku mbili mambo yatakuwa fresh nitawalipa msijali.

Heeh... Nashangaa baada ya masaa mawili tangu nilipe masimu na mameseji kibao yanaendelea nikasema shenzi zenu sasa iliyobaki silipi.
Walikusumbua tena?
 
Back
Top Bottom