Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
Hatari sana,hawa jamaa hawafai
Wandhalilisha mno kama hayajakukuta huwezi kumwelewa mtoa mada
Wandhalilisha mno kama hayajakukuta huwezi kumwelewa mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio kasoro yao kubwa.Hawa watu wa mikopo ya mtandaoni washenzi mkuu.
Ikichelewa kidogo wao hawataki mazungumzo ni kukufokea na kutukana na ukizubaa washaku post we tapeli au malaya,Je hiyo ni haki!?
Hawa ni matapeli ru mkuu.Bro mkopo upi wa kujiendeleza unakopeshwa 50k halafu ulipe 95k with in a week!!??
Seriously!!??
Hii si bado kidogo iwe 100% ya mkopo, huu ni wiziBro mkopo upi wa kujiendeleza unakopeshwa 50k halafu ulipe 95k with in a week!!??
Seriously!!??
Matapeli hawana lolote.Hawa ni matapeli ru mkuu.
Ndio hivyo kaka.Hii si bado kidogo iwe 100% ya mkopo, huu ni wizi
Hii hatari sana asilimia ni nyingi hiziNdio hivyo kaka.
Mie nimekopa wiki mbili zilizopita Hakika loan.
Mkopo unasoma 90k ila risiti imetoka ya 48k.
Jiulize sasa,mwanzo nilianza nikakopa mkopo unasoma 50k ila risiti imetoka 30k.
Yani ule 30k ulipe 50k.
Watapotezwa tu kama kalinder.Hii hatari sana asilimia ni nyingi hizi
Serikali iangalue namna na kufanya kituWatapotezwa tu kama kalinder.
Maana raia wengi washawageuka.
Labda ulaya bongo Badoo sana.mikopo inatoka Kama kawaidaMzee Mimi sikutishi uliza watu na hii sio Kwa hao tu Hadi kampuni za simu kitendo Cha kukopa halafu ukavunja laini Yako ya simu na umesajili Kwa nida deni lako linabaki milele na riba inapanda siku ukienda kuomba mkopo bank wataangalia record zako kwenye Kila sehemu ndio upewe mkopo na hap jamaa huwa wanapeleka record za watu wasiolipa bank sababa hayo makampuni upande wa mikopo yanadhaminiwa na bank hao sio wajinga mpaka wakopeshe pesa mtandaoni
Serikali ilishawakataa hao.Serikali iangalue namna na kufanya kitu
hahahahahahahahahhahahahahahaha..........Acha uongo wewe. Unatuonaje?
mwambie kua.mikopo ya mtandaoni ni ya kuaminiana tu.na haina dhamana kwa mteja. BOT hawawezi kuhangaika na upuuzi huo. wenye hiyo mikopo ni wachina wajanja fulani tu hapa mjini.We jamaa mbona muongo sana? Branch waliniletea za kuleta nikawaacha kuwalipa 150k mwaka 2019! Toka hapo nimekopa CRDB more than 3 time mkopo na top up 2 si chini ya million 40! Wewe hizi stori zako umezitoa wapi nyasubi?
Mimi nataka kuona hawa watu wanaswekwa gerezaniSerikali ilishawakataa hao.
Ndio maana hata ukiwazingua hakuna pa wao kukupeleka maana wao ndio wakwanza wakiukaji wa miiko.
Maana sidhani kama hata kodi wanalipa hawa.Mimi nataka kuona hawa watu wanaswekwa gerezani
NaBinafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,
Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa
Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,
Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.
Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Mkuu hawa jamaa hawafai hata Mimi yalinikuta ila Sasa nimewavutia kasi wakaongoza kiwango Sasa kibindoni nina laki 6 yao.WakomeBinafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,
Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa
Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,
Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.
Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.