Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Hii si bado kidogo iwe 100% ya mkopo, huu ni wizi
Ndio hivyo kaka.
Mie nimekopa wiki mbili zilizopita Hakika loan.
Mkopo unasoma 90k ila risiti imetoka ya 48k.
Jiulize sasa,mwanzo nilianza nikakopa mkopo unasoma 50k ila risiti imetoka 30k.
Yani ule 30k ulipe 50k.
 
Ndio hivyo kaka.
Mie nimekopa wiki mbili zilizopita Hakika loan.
Mkopo unasoma 90k ila risiti imetoka ya 48k.
Jiulize sasa,mwanzo nilianza nikakopa mkopo unasoma 50k ila risiti imetoka 30k.
Yani ule 30k ulipe 50k.
Hii hatari sana asilimia ni nyingi hizi
 
Mzee Mimi sikutishi uliza watu na hii sio Kwa hao tu Hadi kampuni za simu kitendo Cha kukopa halafu ukavunja laini Yako ya simu na umesajili Kwa nida deni lako linabaki milele na riba inapanda siku ukienda kuomba mkopo bank wataangalia record zako kwenye Kila sehemu ndio upewe mkopo na hap jamaa huwa wanapeleka record za watu wasiolipa bank sababa hayo makampuni upande wa mikopo yanadhaminiwa na bank hao sio wajinga mpaka wakopeshe pesa mtandaoni
Labda ulaya bongo Badoo sana.mikopo inatoka Kama kawaida
 
We jamaa mbona muongo sana? Branch waliniletea za kuleta nikawaacha kuwalipa 150k mwaka 2019! Toka hapo nimekopa CRDB more than 3 time mkopo na top up 2 si chini ya million 40! Wewe hizi stori zako umezitoa wapi nyasubi?
mwambie kua.mikopo ya mtandaoni ni ya kuaminiana tu.na haina dhamana kwa mteja. BOT hawawezi kuhangaika na upuuzi huo. wenye hiyo mikopo ni wachina wajanja fulani tu hapa mjini.
 
Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,

Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa

Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,

Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.

Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Na
Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,

Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa

Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,

Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.

Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Mkuu hawa jamaa hawafai hata Mimi yalinikuta ila Sasa nimewavutia kasi wakaongoza kiwango Sasa kibindoni nina laki 6 yao.Wakome
 
Back
Top Bottom