PIMWA
Member
- May 3, 2024
- 7
- 10
Sio wale wa pale VictoriaMaana sidhani kama hata kodi wanalipa hawa.
Kuna ofisi yao ya maficho moja ilivamiwa mwezi uliopita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wale wa pale VictoriaMaana sidhani kama hata kodi wanalipa hawa.
Kuna ofisi yao ya maficho moja ilivamiwa mwezi uliopita.
Hizo picha zinachekesha sana ukimtumia anayekudai. Ila ukitumiwa na mdeni wako unaweza kupata presha 😂😂😂
Eiwa hao hao ofisi yao ingine ipo Mikocheni pia ilivamiwa.Sio wale wa pale Victoria
Sawa ni makubaliano, Kwakua umehusisha biblia acha nikuulize tena,
Makubaliano binafsi ya watu yanavunja na kubatilisha neno/sheria ya Mungu ?
Mkuu hiyo emoji naipataje🤣🤣🤣
Ila hiyo emoji inachekesha jamani🤣🤣
mkuu naomba akikutumia nitag nimeekipenda sana hichoNakiomba hiki ki mtu
Serikali inazingua mkuu hela inapata kutoka kwa hawa jamaa amini nakwambiaMaana sidhani kama hata kodi wanalipa hawa.
Kuna ofisi yao ya maficho moja ilivamiwa mwezi uliopita.
21*0712# baada ya *21 hizo namba nne zinazofuata inategemea unatumia mtandao gani,unaweka namba nne za mwanzo za mtandao unaotumia,hewani hupagikani ila msg unazisoma, ukitaka uitoe unapiga #21#Nielekeze hiyo mkuu unafanyaje !?
Sio kweli hao ni wahuni tu, wanakopesha bila kufuata taratibu stahiki.Mzee Mimi sikutishi uliza watu na hii sio Kwa hao tu Hadi kampuni za simu kitendo Cha kukopa halafu ukavunja laini Yako ya simu na umesajili Kwa nida deni lako linabaki milele na riba inapanda siku ukienda kuomba mkopo bank wataangalia record zako kwenye Kila sehemu ndio upewe mkopo na hap jamaa huwa wanapeleka record za watu wasiolipa bank sababa hayo makampuni upande wa mikopo yanadhaminiwa na bank hao sio wajinga mpaka wakopeshe pesa mtandaoni
Dogo muongo sanaHakuna benki itamnyima mkopo mteja wake kisa hawa wapuuzi. Acha uzwazwa dogo.
Hawa hawajaidhinishwa na bot.usisahau kuna kitu inaitwa credit bureau, ukichukua mkopo wowote ule ambao upo regurated na BOT basi jua taarifa za huo mkopo zinapelekwa huko kila mwezi, yani hata ukichelewa kulipa siku moja hizo data zipo captured. Kuna jamaa yangu alipitishiwa mkopo 100mil na loan officer bank, ila report ya credit bureau ilivyofika tu mezani kwake akabadilishia gear angani.
Usione sifa haya kuyafanya leo, ipo siku utakuja kuwatafuta uwaombe kulipa fedha zao kisha uwaombe wakuandikie barua/email kwamba umemalizana nao, maana huko mbele muda utafika tu utakwama. na ombea bado wawe operational.
Nadhani pia Mwigulu angefanya kama alivyofanya Ruto alivyoingia madarakani, alifuta credit reports zote na watu wakaanza na upya, maana kwa hali ilivyo sasa watu wengi hawakopesheki, biashara za kitambo zilizosimama nyingi zinapumilia mashine na hazikopesheki, sababu kubwa zamani watu walikuwa wana abuse mikopo, biashara moja mikopo ipo kila bank, ila siku hizi bank ikitaka kupa mikopo inaangalia kwanza nani na nani wanakudai.
Hio ni whatsapp mock, ya ku edit chats za whatsapp, ila uzi mzuri
your welcome 😁😁Savage as fvck.. we ni zaidi ya mzulumati 🤣🤣🤣
angalia usipaliwe sasa kwa kichekoNimecheka sana 😄😄