Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Wanyooshe kbsjumla nimekung'uta kama laki nne sa 70 elfu upo hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyooshe kbsjumla nimekung'uta kama laki nne sa 70 elfu upo hapo?
Sawa ni makubaliano, Kwakua umehusisha biblia acha nikuulize tena,Yes true, tatizo makubaliano mkuu
Kwa nini unapenda kukopa Kopa?Matapeli wa mo foundation nao hawataki kunipa mkopo au ndio pesa x wameenda nichafua huku 🤔🤔😂View attachment 3030482
alafu anatokea mtu anakuambia hapo hujawakomoa umejikomoa mwenyewe we mtu nawezaje kujikomoa kwa kuwatandika laki nne na 70 kweli dunia duara chap laki nne hii afu eti nimejikomoa 😂😂😂Wanyooshe kbs
mikopo ipo ili ikopwe kopweKwa nini unapenda kukopa Kopa?
mkuu mzee wa ramli chonganishi nakukumbusha leo ni jumatatu au mmefungua shule??Huu uzi wako utafutwa.
And then, nijuze hivi ukikopa unatakiwakuwa na nini na nini?
😀😀😀Matapeli wa mo foundation nao hawataki kunipa mkopo au ndio pesa x wameenda nichafua huku 🤔🤔😂View attachment 3030482
Ila wee jamaa userious ni zero kabisa aisee
Alafu mkuu wewe ni mtu na heshima zake ujue ahahahahKaa kitaalamu wewe, ishi kwa codes.
Kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, KOPA SEPA.
Kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, KOPA SEPAmkuu mzee wa ramli chonganishi nakukumbusha leo ni jumatatu au mmefungua shule??
kaka wewe ujakopa ata 6000?Hahaha ! Unafurahisha sana
kumbe wanatoa pesa nyingi hivi??? Nifundishe nikakope sasakaka wewe ujakopa ata 6000?
Upo sahihi sana, inashangaza sana mtu anakopa ili asilipe.Kudhulumu pesa ya mtu sio ujanja
Wala kupost screenshots za wadai wako ambazo zinaonesha majibu ya kejeli ukiwavimbia wanapokuhimiza ulipe deni lao.
Guys hiyo sio right move kwa mtu ambaye ni smart.
Labda itakuwa ni ishu ya makuzi tu, ila mimi binafsi yangu siwezi kuwa na amani kabisa kudhulumu pesa ya mtu mwingine ambaye alikuwa na intention njema ya kunisaidia kwa kuniazima pesa ili niweze kutatua changamoto zangu.
😂Usipocheka kwenye huu Uzi basi utakuwa na tatizo la bandama.
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo wako, nadaiwa mpesa 99k zaidi ya miezi sita na tigopesa 145k zaidi ya miezi miwili, mwezi uliopita nimekopa NMB na hawajaniuliza lolote kuhusu hiyo mikopo