Muramwaito
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 309
- 620
Watu mnaenda nje ya mada na mnakuwa na mihemuko tu.Hivi unaelewa mleta mada anaongelea nini?? Yeye hajakataa kukopa au hajasema dhuluma ni mbaya - anawakomesha hawa wanaotumia app..wanao-access contacts zote kwenye simu ya mteja na wanawatumia sms watu wote kinyume na utaratibu.
Unafikiri hili suala ni sawa????
Hamna emotional yoyote hapa Mkuu Tatizo watu hatupendi UKWELI ila anachokifanya jamaa hawakomeshi hao watu ila anajikomesha yeye mwenyewe na MAISHA yake
Angelipa deni lao kwa muda waliokubaliana yasingetokea hayo yote Mkuu
Hujawahi kusikia ule msemo wa wahenga usemao
"Cha MTU mvi"
Ndio hayo yanamnukia mwenzako sasa harafu yeye anafanya kuikimbia harufu kumbe yamepakwa mwilini mwake