Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Tafuta helaMbna mnatudai na hatuwalipi na tunakopeshwa na bank acheni uboya benki wanaakili sio kama nyinyi wapumbafu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta helaMbna mnatudai na hatuwalipi na tunakopeshwa na bank acheni uboya benki wanaakili sio kama nyinyi wapumbafu..
Wao wenyewe wanayofanya ni dhuluma, unamkopesha mtu Laki 2 arudishe laki 4.5 ndani ya wiki 4? Ni kinyume cha sheria. Riba ya mikopo kwenye microfinance maximum Ni 3.5% kwa mweziHuo unaofanya ni utoto mzee hiyo ni dhuluma wewe unadhani ni sifa
Bank wanakukopesha tu hata kama unadaiwa na hao wa mitandaoni, hilo nina uhakika naloMzee Mimi sikutishi uliza watu na hii sio Kwa hao tu Hadi kampuni za simu kitendo Cha kukopa halafu ukavunja laini Yako ya simu na umesajili Kwa nida deni lako linabaki milele na riba inapanda siku ukienda kuomba mkopo bank wataangalia record zako kwenye Kila sehemu ndio upewe mkopo na hap jamaa huwa wanapeleka record za watu wasiolipa bank sababa hayo makampuni upande wa mikopo yanadhaminiwa na bank hao sio wajinga mpaka wakopeshe pesa mtandaoni
Watakufuata hapo Tandale wakubonde rafiki yangu, kwahiyo bora nikuache bila kukuelekeza kukuepushia shari 😂😂Wanakopaje rafiki? Nataka nichukue ya bia hapa ninywe nilale usiku huu nipate usingizi.😅
Cc mrangiDuh! 😂😂
Ova
Kosugi kaaachekaaa huenda hufanya hivi.Kaa kitaalamu wewe, ishi kwa codes.
Kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, KOPA SEPA.
soma uelewe sijakopa kwenge app.Basi kama ni mkopaji wa Benki kalipe huko kwenye app. Inawezekana wakati unakopa NMB basi taarifa hizo zingine hazikuwa zimefika CREDIT REFERENCE BUREAU.
Taarifa hizo zikifika Credit score zako zitashuka na utakuwa rated high risk.Benki kuu imeweka miongozo kwa mabenki nini cha kufanya kama wamepokea mteja wa mkopo ambaye ni high risk.
Hahaha nimecheka kwa sautiWewe kwa comment hii ndiyo nimethibitisha kuwa sina tatizo la bandama.
Nashukuru kwa kunijali.Watakufuata hapo Tandale wakubonde rafiki yangu, kwahiyo bora nikuache bila kukuelekeza kukuepushia shari 😂😂
Ila biblia hairuhusu riba,MKUU Pesa (hadhina) inaongea sauti kubwa sana kuliko chochote kitoacho sauti
MKUU Pesa ambayo Sio Yako na uliyoichukua kwa makubaliano ya kuiludisha hata kama ni 1000 Mkuu hakika Sio nzuri ni hatia Bora hata iwe ya ndugu
Mithali 26:2
"Kama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu"
Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu 👉 sasa wenzako wanayo sababu umechukua hadhina (Pesa) yao na hutaki kuludisha lolote watakalotamka juu Yako
Litakua b'se una hatia(sababu)
"Hadhina ya MTU ilipo na moyo wake ndipo ulipo" 👉 pay theirs money n gonna be Free
Always, mimi na wifi yangu ms... ndio kazi yetu hii kukujali wewe.Nashukuru kwa kunijali.
Na bado hamjasema mpaka mseme🤣🤣🤣Usipocheka kwenye huu Uzi basi utakuwa na tatizo la bandama.
Na Mungu awabariki ila baraka zaidi zimuendee wifi yako.Always, mimi na wifi yangu ms... ndio kazi yetu hii kukujali wewe.
Amen, apite hapa wifi achukue baraka zake.Na Mungu awabariki ila baraka zaidi zimuendee wifi yako.
jumla nimekung'uta kama laki nne sa 70 elfu upo hapo?Baadae unakuja kudhalilika tu buree ukiangalia kiasi cha fedha alichochukua ni 7500
wasumbufu sana makubaliano ni kati yangu na hiyo kampuni alafu wanaanza kuwasumbua wazazi wangu ndg zangu na watu wangu wa karibu