Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Wajinga sana Hawa watu!
 
Kuna report ya BBC ilikuwa published mwaka jana, vifo vingi vya kujinyonga huko kwao vinasababishwa na hawa watu. Ni takataka.
 
Kama kawaida ya wabongo, uaminifu sifuri kabisa.

Si ulisoma terms and conditions na ukakubaliana nazo, kwanini usiwalipe sasa??

Wabongo uaminifu F, wachina nao unyonyaji A+, kigongo hapoo.

Na wanaokuchafua hivyo ni watoto wa buku 2, ndo wengi wameajiliwa kwa kazi hiyo, hawana uIT wowote.
 
Kaa kitaalamu wewe, ishi kwa codes.

Kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, kopa lipa, KOPA SEPA.
 
Kazi kweli kweli....ila hizo namba za wanaokudai usiziweke hadharani
 
Sawa kama hutarajii kukopa bank za tanzania maisha Yako yote sawa ila kama utahitaji kukopa Kaa ukijua hao jamaa washapeleka record zako sababu uliweka nida watanzania wengi hawajui hii kitu na hayo madeni yanapanda Kwa riba Kila mda mliokubaliana
Hakuna mikopo ya simu inayopelekwa credit info, inayopelekwa ni Timiza, Songesha
 
Samahani, jifunze matumizi sahihi ya mtandao.

Pori la katavi bado kubwa, huwezi jua unadeal na kina nani na wanaweza kureact vipi, mimi nimesikia tu huruma maana unaweza kuwa ni kijana mdogo ambaye bado una safari ndefu maishani.

Hata hivyo hao watoa mikopo wakatazwe mara 1 kufanya huo uhuni wa kusambaza taarifa ya mkopaji wao.
 
Ungejua kama hizo kampuni kuna Amount ya pesa wameiweka tu just kwa watu wanokopa mara ya kwanza na kulimbia tu usingeona kama umewakomoa.

Maelfu ya watu kama wewe wanakopa na kukimbia mara ya kwanza ila jua kuna Malawi ya watu ambao wanakopa na kulipa. Ni sula la mahesabu zaidi.

wao kukukopesha wanafanya RISK na wanajua kuna wataokimbia na kuna watakao endelea wao target yao wanaoendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…