Waislamu mnadharau na israel hivi hamjui israel ni taifa la nuklia na Teknoloji unawasifia hao magaidi wanao watumia raia kama ngao mtaiponza lebanon nyie muda sio mrefu mtalia mkiomba ceasefire kama gaza mkiona walebanon wanateketezwaKuishi kwa uhasama na jirani zako au kwa kuonesha kwamba wewe ni mbabe daima kuna madhara makubwa.
Na hapa ndicho ninachopenda kukitolea taarifa kufuatia tangazo la kundi la Palestine Islamic Jihad (PIJ) kusema limeazimia kupeleka wapiganaji nchini Lebanon kupitia tawi lake la Syria ili kuiongezea nguvu Hizbullah.
Tangazo hilo lililonukuliwa na aljazeera si rafiki sana kwa Israel ambayo imeshaanza kutoa dalili za kuchoka na vita vya miezi 8 na Hamas.
Hali inaweza kuwa mbaya zaidi iwapo makundi ya Iraq nayo na wengine katika nchi jirani wakitoa matangazo mfano kama huo.
Israel imeua tena kiongozi mwingine wa hezbollah ila mtaiponza lebanon israel ina makombora ya hatari kama jericho 1 na 2 bado kuna delilaTangu Mayahudi walipomuua mmoja wa Makamanda wa Herzibollah, aisee moto wanaopelekewa siyo wa kitoto.
UNAJUA lABANON WAKIRISTO WAPO WENGI, KWA HIVYO UNO HAITAKUBALIWaislamu mnadharau na israel hivi hamjui israel ni taifa la nuklia na Teknoloji unawasifia hao magaidi wanao watumia raia kama ngao mtaiponza lebanon nyie muda sio mrefu mtalia mkiomba ceasefire kama gaza mkiona walebanon wanateketezwa
Are you serious?!Tangu Mayahudi walipomuua mmoja wa Makamanda wa Herzibollah, aisee moto wanaopelekewa siyo wa kitoto.
Propaganda tu hizi...Kuishi kwa uhasama na jirani zako au kwa kuonesha kwamba wewe ni mbabe daima kuna madhara makubwa.
Na hapa ndicho ninachopenda kukitolea taarifa kufuatia tangazo la kundi la Palestine Islamic Jihad (PIJ) kusema limeazimia kupeleka wapiganaji nchini Lebanon kupitia tawi lake la Syria ili kuiongezea nguvu Hizbullah.
Tangazo hilo lililonukuliwa na aljazeera si rafiki sana kwa Israel ambayo imeshaanza kutoa dalili za kuchoka na vita vya miezi 8 na Hamas.
Hali inaweza kuwa mbaya zaidi iwapo makundi ya Iraq nayo na wengine katika nchi jirani wakitoa matangazo mfano kama huo.
Kinachoweza kutumika ni hizo silaha nyingine za moto.Nyuklia ikitumika itawaumiza wote pamoja na mayahudi.Waislamu mnadharau na israel hivi hamjui israel ni taifa la nuklia na Teknoloji unawasifia hao magaidi wanao watumia raia kama ngao mtaiponza lebanon nyie muda sio mrefu mtalia mkiomba ceasefire kama gaza mkiona walebanon wanateketezwa
Unafikiri Herzibollah ni sawa na Hamas! Fuatilia kwanza historia yake, halafu utaelewa nilichokisema.Are you serious?!
Nimeona hao jamaa wanalipua maporini huko nikajiuliza mbona hawalipui kwenye makazi ya watu, hebu tafuta jibu la hilo swali kwanza ndio utaamini Israel ni habari nyingine kwenye hayo masuala ya kivita, usiwakuze hao vifaranga wameachwa tu wachezee sharubu za baba yao.Unafikiri Herzibollah ni sawa na Hamas! Fuatilia kwanza historia yake, halafu utaelewa nilichokisema.
Hao PIJ watulize mishumaa hiyo wabaki na ya Gaza/Palestina.Kuishi kwa uhasama na jirani zako au kwa kuonesha kwamba wewe ni mbabe daima kuna madhara makubwa.
Na hapa ndicho ninachopenda kukitolea taarifa kufuatia tangazo la kundi la Palestine Islamic Jihad (PIJ) kusema limeazimia kupeleka wapiganaji nchini Lebanon kupitia tawi lake la Syria ili kuiongezea nguvu Hizbullah.
Tangazo hilo lililonukuliwa na aljazeera si rafiki sana kwa Israel ambayo imeshaanza kutoa dalili za kuchoka na vita vya miezi 8 na Hamas.
Hali inaweza kuwa mbaya zaidi iwapo makundi ya Iraq nayo na wengine katika nchi jirani wakitoa matangazo mfano kama huo.
Bado unashikilia uwimbo wa uongo wa kujificha nyuma ya raia!?Waislamu mnadharau na israel hivi hamjui israel ni taifa la nuklia na Teknoloji unawasifia hao magaidi wanao watumia raia kama ngao mtaiponza lebanon nyie muda sio mrefu mtalia mkiomba ceasefire kama gaza mkiona walebanon wanateketezwa
Acha uongo wewe,kambi za Galilee zimelipuliwa na hao Hizbollah wewe unadai wanalipua mapori!?Nimeona hao jamaa wanalipua maporini huko nikajiuliza mbona hawalipui kwenye makazi ya watu, hebu tafuta jibu la hilo swali kwanza ndio utaamini Israel ni habari nyingine kwenye hayo masuala ya kivita, usiwakuze hao vifaranga wameachwa tu wachezee sharubu za baba yao.
Israel haogopi Allah wala watumwa wa Allah.Kuishi kwa uhasama na jirani zako au kwa kuonesha kwamba wewe ni mbabe daima kuna madhara makubwa.
Na hapa ndicho ninachopenda kukitolea taarifa kufuatia tangazo la kundi la Palestine Islamic Jihad (PIJ) kusema limeazimia kupeleka wapiganaji nchini Lebanon kupitia tawi lake la Syria ili kuiongezea nguvu Hizbullah.
Tangazo hilo lililonukuliwa na aljazeera si rafiki sana kwa Israel ambayo imeshaanza kutoa dalili za kuchoka na vita vya miezi 8 na Hamas.
Hali inaweza kuwa mbaya zaidi iwapo makundi ya Iraq nayo na wengine katika nchi jirani wakitoa matangazo mfano kama huo.