Palestine na mifano ya chuki za kidini

Katika ukristo kuna kundi la washirikina wanao amini kwamba Issa ni Mtoto wa Mungu na wengine huamini kwamba Issa ndie MUNGU. Hao hatupo nao pamoja katika kuamini.
Ninyi kama waislamu mnaamuaje kuishi na hao washirikina?
 
Allah anaposema kiama hakitafika hadi pale waislamu watawapiga wayahudi hadi mawe yatawaambia waislamu"huyu hapa myahudi kajificha nyuma yangu,njooni mmue"..
So,kwa dai ili unakusudia ueleweke kuwa wataopigwa na waislamu ni wapelestina hawa hawa akina Abbas maana ndiyo wayahudi orijino kwa mjibu wa dai lako?.


Kitu ambacho muislam hawezi danganya hakijawai kuwepo.
 
Kwanini wanunue ardhu africa ikiwa walipewa ardhi bure na JEHOVA..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…