Pamba yaahidiwa 100million na GSM kama itaifunga Yanga

Pamba yaahidiwa 100million na GSM kama itaifunga Yanga

[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.

Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]

Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ukiona Hivyo Juwa Kwamba Nyuma Ya Pazia Pamba Ameahidiwa M 200 Iwapo watafungwa Na Yanga Na Huyo Huyo GSM.
 
[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.

Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]

Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sio kinyume chake kweli?
 
Halafu Wanafiki na Wapumbavu aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC aliyeondoka hapa karibuni aliposema Ukweli mkamponda sana huku hadi mkitishia na kumtaka aombe Radhi. Sasa kwa huu Upuuzi wa GSM kwa Pamba FC inayodhaminiwa nao hao hao GSM tukisema yule Kocha wa Yanga SC alikuwa sahihi na ikiwezekana hata ajengewe Mnara kwakuwa Mkweli na Muwazi tutakosea?
 
Inaitwa THIRD PARTY INFLUENCE kwa kanuni za fifa au Caf,
Timu zinaweza kuweka bonasi au zawadi kwa wachezaji wao kwa kushinda mechi fulani, kama sehemu ya mikataba yao au kama motisha ya kawaida.

Wadhamini wa timu wanaweza pia kutoa zawadi au bonasi kwa wachezaji wa timu wanayodhamini, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kawaida wa motisha.
 
[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.

Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]

Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hiki ni zaidi ya kichekesho
 
Kuna wakati mtu anaweza kukufanyia visaaa then akaanza na kejeli pia. Hapo ndipo GSM alipofikia
 
Back
Top Bottom