Hapana mkuu...hiyo ni according to wweHadharani ukinipiga kwa knockout nakupa milioni 100 nyuma ya pazia ukikubali nikupige tu hata kwa pointi nakupa milioni 200
[emoji23]MLiobet YANGA WIN
MJIPANGE MAJARIBU HAYO
MWENZENU HAPO ANAINGIZA BILLIONS YANGA DRW NYIE MNAISHIA KUNYOA MA..Z
Unamaanisha Nini mkuuUnachukua pesa yako unaiweka bank, unakuja ujumbe wa Sms unashangilia.
Mkuu naota tu ndoto hapa.Hapana mkuu...hiyo ni according to wwe
Ukiona Hivyo Juwa Kwamba Nyuma Ya Pazia Pamba Ameahidiwa M 200 Iwapo watafungwa Na Yanga Na Huyo Huyo GSM.[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.
Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]
Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sio kinyume chake kweli?[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.
Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]
Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Imbecile.Hiyo ni motisha ya mechi kuwahamasisha pamba, usichoelewa ni kitu gani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuji tekenya mwenyewe, Kisha utegemee kucheka.
Kushinda 100, kufungwa 150 ,😂🤣
Hiki ni zaidi ya kichekesho[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.
Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]
Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app