Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Safari hii atakalishwa jumla....utakumbuka mara ya mwisho walipokutana, alikalishwa ila aliwahi kuamka. DEO..kwa KO...hatari..
 
Safari hii atakalishwa jumla....utakumbuka mara ya mwisho walipokutana, alikalishwa ila aliwahi kuamka. DEO..kwa KO...hatari..
Mkuu nimefatilia pambano za mshikaji zaid ya kumi nilichokiona ni kwamba jamaa ni mwepesi sana wa kupepesuka

Lakin akipepesuka siyo ndo kwamba sasa umemshinda

Kuhusu kupigwa pambano linalokuja mimi na wewe hatujui ndugu yangu

Mimi ninachopenda kwake ni mbwembwe zake

Hahahaaaaaa lijamaaa linambembwe kinoma mara liweke mikono nyuma mara liachame kama simba yaan kucheki mapambano ya hili limjamaa ni raha sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mbwembwe tu, yupo vizuri sana...lazima ufurahi. Ila litakuwa pambano zuri sana
 
nasikia floyd ana ka jelous flani kwa wilder, hata mike tyson. wanapenda wao ndo waendelee kua great blackboxers
 
Hakuna heavyweight mwepesi kama huyu kwa hawa wa sasa, yaani anavyodance ulingoni utadhani ni lightweight, na ana skills kama zote, he's a pure boxer that's why wadau wengi wanamkubali na wanampa nafasi ya kushinda. Pia ni the best trash talker, Wilder huwa ni muongeaji lakini kwa Fury hatoboi kwenye battle ya maneno[emoji1][emoji1]. Sema pamoja na sifa zote alizonazo (skills n' technics) ni bahati mbaya anakutaka na mtu ambaye anahitaji only one perfect punch to end the fight, that's why mimi sikuzote huwa nambetia Wilder[emoji378][emoji109][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nasikia floyd ana ka jelous flani kwa wilder, hata mike tyson. wanapenda wao ndo waendelee kua great blackboxers
Mayweather haivi na Wilder, hii ni baada ya May kutoa negative comment kwenye pambano la kwanza la Wilder dhidi ya Fury akimaanisha Fury kashinda (ni kama ambavyo Mwakinyo alivyochukia kukosolewa na Matumla).

Mike Tyson ni lazima awe upande wa Fury kwakuwa historia ya jina la 'Tyson Fury' limetokana na Mike Tyson, ni kama idol wake. Pia Wilder inaonesha hamuheshimu Mike Tyson, niliona anaulizwa mabondia gani watano wa muda wote anaowakubali akawataja Joe Louis, Shaver, George Foreman, Muhammad Ali na Evander

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap wilder yuko vizur zaid ya jamaa

Lakin hata jamaa naye yuko vizur unajua kupambana na wilder na ukamaliza round zote siyo kitu simple

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmarekani wanampendelea mbona re match inafanyika Usa badala ya England?
Mkataba wa Fury na promoters wake (Top Ranking) ni kucheza mapambano yake USA, hawezi kucheza nje ya hapo hadi utakapokuja mkataba mpya. Ndio maana pambano la AJ na Fury itakuwa ngumu kutokea kwa miaka ya karibuni, maana AJ anachezaga mapambano yake UK, alipojaribu kwa mara ya kwanza kucheza USA ndo yakamkuta ya kupigwa na Chibonge, ni ngumu kumshawishi tena AJ kucheza pambano Marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Weka alizopigwa wilder,,,,kumbuka on sunday ni rematch,,,first game alidundwa vizuri sana wilder wako,,,,jamaa aliibuka mshindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…