Watakuwa wameamua kuua boxing na kupoteza mashabiki. Hakuna namna mtu mwenye macho na akili utaweza kumshawishi kuwa Kidunda kashinda!Watambeba tu..
Mkuu,Watambeba tu..
HJWTZ linadhalilishwa huku!
Anamuoneaga KatompaAibu jamani, daaah!!!! Bora Kiduku
Nilitabiri watamaliza bado sekunde 20 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watagonga kengele bado sekunde 20 nakwambia na Kidunda ndio Mshindi [emoji1787][emoji1787]
Kabisa.. ajabu yeye ndio atatangazwa MshindiKifunda kaaibika zaidi ya kiduku
Aibu jamani, daaah!!!! Bora K
Lugalo anaendaKidunda akitoka hapo ni Muhimbili moja kwa moja [emoji1787][emoji1787]
Kupigwa Kuna aibu?Aibu jamani, daaah!!!! Bora Kiduku