Pamoja na huo utu uzima wako, ni kitu gani bado unakiogopa

Pamoja na huo utu uzima wako, ni kitu gani bado unakiogopa

Nyoka anaitwa koboko.
Nilitaka kununua shamba nikakuta nyoka amekufa, kuuliza wakaniambia ni koboko aka black mamba.
Nikapakimbia maana nilijua Mrs Koboko atakiwa around anatafuta revenge.
 
Naogopa polisi wa Tz!
Ukiingia 18 zao lazima utajua ule msemo wa 'UKITAKA KUJUA MKU. NDU WA KUKU SUBIRI UPEPO UPULIZE'
Jamaa wana visirani kama Hamas vile!.
 
Ni kitu gani unakiogopa tangu utotoni umeshindwa kuacha kukiogopa

Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.

Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa

View attachment 2785779
Mi naogopa kuogopa!
Nikihisi kuogopa kitu (kuwa na hofu) ndio naogopa zaidi!
 
Me naogopa kupanda ndege aisee nikapataga dharura ya kusafir gafla nitafanya vyovyote niwakilishwe na mtu ils sio me kusafir kwa kupanda ndege
 
Mimi naogopa kutoa uhai wa kiumbe chochote chenye damu japokuwa zamani nilikua naweza kuchinja kuku na njiwa ila saiv hata mjusi sipend apate maumivu kisa mimi
 
Ni kitu gani unakiogopa tangu utotoni umeshindwa kuacha kukiogopa

Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.

Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa

View attachment 2785779
Mungu asiyeonekana namuheshimu sana.
 
Ni kitu gani unakiogopa tangu utotoni umeshindwa kuacha kukiogopa

Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.

Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa

View attachment 2785779
Naogopa sana mwanamke mtoa tigo na mwenye tattoos, pia nyuki na nyoka
 
Kwa kweli huwa siogopi uchawi wala vibaka ila mtu akiniambia amemuona anko snake mahali fulani huwa nakosa amani na njia nabadilisha kabisa
Sasa akiingia ndani ndio balaa
 
Back
Top Bottom