matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Mi naogopa kuogopa!Ni kitu gani unakiogopa tangu utotoni umeshindwa kuacha kukiogopa
Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.
Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa
View attachment 2785779
kweliKuna fala atakuja kusema KE[emoji23]
Mungu asiyeonekana namuheshimu sana.Ni kitu gani unakiogopa tangu utotoni umeshindwa kuacha kukiogopa
Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.
Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa
View attachment 2785779
Naogopa sana mwanamke mtoa tigo na mwenye tattoos, pia nyuki na nyokaNi kitu gani unakiogopa tangu utotoni umeshindwa kuacha kukiogopa
Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.
Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa
View attachment 2785779
NAAM HILI NDIO TISHIO KUU KWA KARNE YA 21CCM.