Pamoja na kufeli kwa awamu ya sita kuendesha Serikali kwa manufaa ya walalahoi , sijutii kufa kwa Magufuli kwa vile alikiuka haki za msingi za watu!

Kwani ulihusika na kufa kwake hadi usijutie? Unaweza tu kujutia kitu ambacho umekifanya, kama ulimuua au ulihusika na kifo chase ndiyo unaweza kusema kwamba unajutia/haujutii!
 
kipindi cha
JK- kila mtu maisha yalikuwa mazuri.
JPM-matajiri wata fanana na maskini.
Mama- kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake.
umemaliza kazi, asante
 
Wewe jamaa kwani Mkolombia au Taleban?
 
Mbona tulimchagua kwa kura nyingi ile awamu ya pili? Au hizo haki za binadamu zilikiukwa awamu ya pili?. Halafu kumbuka MAREHEMU HASEMWI
 
Mbona tulimchagua kwa kura nyingi ile awamu ya pili? Au hizo haki za binadamu zilikiukwa awamu ya pili?. Halafu kumbuka MAREHEMU HASEMWI
Kwani ulihusika na kufa kwake hadi usijutie? Unaweza tu kujutia kitu ambacho umekifanya, kama ulimuua au ulihusika na kifo chase ndiyo unaweza kusema kwamba unajutia/haujutii!
ameshabadili uelekeo!
 
Ishatosha jamani. Mwaka mzima bado unasherehekea kifo.
Zote hizi ni jitihada kuwapumbaza watu wasione mambo makubwa aliyofanya Magufulu. Jitihada za kufuta legacy. Je itafutika? Rais mstaafu Mzee Mwinyi alitamka mbele ya Mkapa na Kikwete kuwa aliyofanya Magufuli kwa miaka 3 yalizidi aliyofanya yeye na Mkapa na Kikwete kwa miaka 30. Nchimbi akitoka Brazili alikokuwa balozi alidai kuwa kama wao kina Lowasa hata wangetawala miaka 40 wasingefikia aliyofanya Magufuli kwa muda ule. Au hawakusema? Legacy haifutiki hata mkimsingizia marehemu eti aliua watu ambao hakuna ndugu aliyefiwa. Yaani watu wa mtandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…