Pamoja na kufeli kwa awamu ya sita kuendesha Serikali kwa manufaa ya walalahoi , sijutii kufa kwa Magufuli kwa vile alikiuka haki za msingi za watu!

Pamoja na kufeli kwa awamu ya sita kuendesha Serikali kwa manufaa ya walalahoi , sijutii kufa kwa Magufuli kwa vile alikiuka haki za msingi za watu!

alikua mtu makini sana. Kipengele cha ajira pekee ndio vijana wengi aliwaumiza
Kuna mambo mengi Magufuli aliyacontain na kuwa na matokea chanya. But as long as alipoteza uhai wa watu, ALIKIUKA KWA KIWANGO CHA KUTISHA HAKI ZA BINADAMU WA TANZANIA katika kuyatekeleza hayo, IN CAPITAL LETTERS, I DO NOT REGRET HIS DEATH! LET HIM GO!
 
Tujifunze heshima Magufuli is no more , Alive lakini sio vzr kumtukana . Pathetic
 
Sio kwamba yeye binafsi anasherehekea. Yuko kazini. Watu ambao usiku na mchana wanajitahidi kuwahadaa wananchi waamini Magufuli hakufanya chochote ktk utawala wake. Hawajui kuwa mambo yanajionyesha yenyewe. Je watayafuta vichwani mwetu?
Kama ya kuua watu hayatafutika
 
Kuna mambo mengi Magufuli aliyacontain na kuwa na matokea chanya. But as long as alipoteza uhai wa watu, ALIKIUKA KWA KIWANGO CHA KUTISHA HAKI ZA BINADAMU WA TANZANIA katika kuyatekeleza hayo, IN CAPITAL LETTERS, I DO NOT REGRET HIS DEATH! LET HIM GO!
Something is bugging inside you. Youre trying so hard to suppress your grief by pretending youre just fine. Playing reverse psychology wont help you man. Let it go man, come to terms with reality, it is what it is, he is gone for good, deal with water shortage and all that as calmly as any grown up man would do.
 
Kuna mambo mengi Magufuli aliyacontain na kuwa na matokea chanya. But as long as alipoteza uhai wa watu, ALIKIUKA KWA KIWANGO CHA KUTISHA HAKI ZA BINADAMU WA TANZANIA katika kuyatekeleza hayo, IN CAPITAL LETTERS, I DO NOT REGRET HIS DEATH! LET HIM GO!
Sijamaliza hata kusoma uzi wako wala heading ila nilipoanza kusoma mwanzo wa heading tu naunga mkono
 
Binafsi magufuli nachukia mno kitendo cha kumuua Ben sanane Azory Gwanda na lissu kumkosakosa aiseee huo mstari wa red alishauvuka ilimpasa kufa. Tena bora amewahi kufa maana angestahafu kama wengine angetafutwa miguu kwà miguu auwawe kwà kulipa kisasi.
 
Binafsi magufuli nachukia mno kitendo cha kumuua Ben sanane Azory Gwanda na lissu kumkosakosa aiseee huo mstari wa red alishauvuka ilimpasa kufa. Tena bora amewahi kufa maana angestahafu kama wengine angetafutwa miguu kwà miguu auwawe kwà kulipa kisasi.
Mchukie na mbowe kwa kumuua chacha wangwe na mzee ndesapesa.
 
Kuna mambo mengi Magufuli aliyacontain na kuwa na matokea chanya. But as long as alipoteza uhai wa watu, ALIKIUKA KWA KIWANGO CHA KUTISHA HAKI ZA BINADAMU WA TANZANIA katika kuyatekeleza hayo, IN CAPITAL LETTERS, I DO NOT REGRET HIS DEATH! LET HIM GO!
Sababu na mbinu zilizotumika kuwafyeka wahalifu enzi za Magufuli, na mbinu zinazotumika kuwafyeka wahalifu kwenye utawala huu awamu ya 6 kuna tofauti gani?

Na specifically waliouawa na Magufuli kiuonevu kwa majina ni kina nani hao?

Ama unaongelea kuuawa wale magaidi wa Kibiti waliokuwa wanafyekwa na kujazwa kwenye viroba kama mbwa?

Raia gani mwema ulisikia kauawa na ku kushindiliwa kwenye viroba vya sandarusi?

Mimi huwa nikisikia mtu anatoa lawama za jumla jumla za "kaua kaua" bila ya kuwataja waliouawa, huwa nahisi mwandishi atakuwa ni mnufaika wa madhila walokuwa wakipata raia wasiokuwa na hatia wa Kule Kibiti ama ni mmoja wapo wa kundi hilo hilo lililosambaratishwa, bado kinamfukuta kwa jazba.

Magufuli mseme vibaya na kwa kejeli uwezavyo lakini kiukweli atabakia kuwa ni Rais bora wa wakati wote, atakumbukwa kwa vizazi na vizazi.

Mdomo wako waropokwa lakini moyoni mwako unautambua ukweli, tena ukweli usiokuwa na chembe ya shaka.

R.i.p Jemedari JPM, utaendelea kukumbukwa daima na kizazi hiki na vizazi vijavyo.
 
Kwasababu vyombo vya dola vyote mnavyo na hamtaki kumkamata kwà hayo makosa basi sisi tunaamini haya ni majungu na umbea wa kike.
Mchukie na mbowe kwa kumuua chacha wangwe na mzee ndesapesa.
 
Kila siku alikuwa anamkejeli Mungu madhabahuni akiomba aombewe ila tulipomuombea lissu akakamata watu .
 
Rais aliesingizia watu uongo na akawafunga magerezani bila kosa akafie mbali ibilisi mkubwa yule.
 
Ila chamoto nae alikiona sasa hivi kageuka matamahuluku..!
 
Back
Top Bottom