Pamoja na kujitutumua kwa nguvu zote. Watanzania Bara hawana mpango na Act Wazalendo na walishaitoa mioyoni kabisa

Pamoja na kujitutumua kwa nguvu zote. Watanzania Bara hawana mpango na Act Wazalendo na walishaitoa mioyoni kabisa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kinaonekana kama chama cha kikanda kilichojaa udini na ukanda ambacho kilipata sapoti za wazanzibari sababu ya marehemu Maalim Seif.

Ni chama ambacho ni mamluki ya chama tawala cha Ccm hivyo kipo hapo kama geresha tu kuwa kuna upinzani hapa Tanzania huku kikififisha nia thabiti ya kuwakomboa watanzania dhidi ya Ccm.

Wapemba waliuawa baada ya uchaguzi wa 2020 lakini baada ya uchaguzi viongozi wa Act wazalendo wakavuta mpunga na kujiunga na serikali ya umoja.

Watanzania sio wajinga na hawataki kupotezewa muda huku taifa lao linaliwa.
 
Kinaonekana kama chama cha kikanda kilichojaa udini na ukanda ambacho kilipata sapoti za wazanzibari sababu ya marehemu maalim Seif.

Ni chama ambacho ni mamluki ya chama tawala cha Ccm hivyo kipo hapo kama geresha tu kuwa kuna upinzani hapa Tanzania huku kikififisha nia thabiti ya kuwakomboa watanzania dhidi ya Ccm.

Wapemba waliuawa baada ya uchaguzi wa 2020 lakini baada ya uchaguzi viongozi wa Act wazalendo wakavuta mpunga na kujiunga na serikali ya umoja.

Watanzania sio wajinga na hawataki kupotezewa muda huku taifa lao linaliwa.
Nyie na e ramani tuliyopewa na AYATOLLAH?
 
Kinaonekana kama chama cha kikanda kilichojaa udini na ukanda ambacho kilipata sapoti za wazanzibari sababu ya marehemu maalim Seif.

Ni chama ambacho ni mamluki ya chama tawala cha Ccm hivyo kipo hapo kama geresha tu kuwa kuna upinzani hapa Tanzania huku kikififisha nia thabiti ya kuwakomboa watanzania dhidi ya Ccm.

Wapemba waliuawa baada ya uchaguzi wa 2020 lakini baada ya uchaguzi viongozi wa Act wazalendo wakavuta mpunga na kujiunga na serikali ya umoja.

Watanzania sio wajinga na hawataki kupotezewa muda huku taifa lao linaliwa.
Zitto, njoo usome hii comment. Watanzania tunakiona chama chako cha ACT Wazalendo ni chama cha kizandiki, chama cha kimamliki, chama mumiani cha kuunyonya upinzani damu hadi ufe
 
Watanzania sio wajinga " hii nchi Ina watu wajinga Sana mzee ...


Unapoteza muda bure[emoji14][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nyie na e ramani tuliyopewa na AYATOLLAH?

20220121_201132.jpg
 
Maelezo yako mengi ni sahihi isipokua jambo la udini. Kwanini kila kwenye mkusanyiko wa watu iwe ni kwenye vyama vya siasa, uongozi wa nchi, mashirika ya umma na hata binafsi inapotoke idadi ya majina ya wahusika kukawa na waislamu wame wa out number wakristo taasisi hiyo inakua labelled ni ya kidini au ina udini!!!

Siku zote Marehemu Magufuli kwa mfano hakuzingati usawa na uwiano wa kiimani na mtawanyiko wa kijamii katika teuzi zake. Alipendelea sana na waziwazi watu wa imani yake lakini hakukua na kelele za "udini" kumuhusu yeye badala yake kulikua na kelele za ukabila tu!

Ubaguzi wa kiimani/kidini unaanza na tabaka la imani lililokua na advantage na privileges dhidi ya imani nyingine na siku zote hawatosheki
 
Kwa Tanzania hapa sijapata kuona chama chenye wivu na fitna na majungu km chadema, hawa hawataki mwenzao ashamiri. Wana chuki za kishetani kabisa. Cuf waliisingizia hvyohvyo na kufikia hata kuwafanyia fujo ktk kampeni, ajabu 2015 wakaungana na kuiita ukawa.

Km hiyo haitoshi, wao ndo wanaongoza kuwapitisha wanaotoka ccm kushika bendera.

Km hiyo haitoshi, wao ndo wanaongoza kutoa wanachama (tena wengi wao viongozi) wanaoenda ccm (rejea 2020). Wakati wanafanya hayo, vyama vingine vipo kimya vinashughulika na habari zao....hawafungui vinywa vyao na kuizungumziA chadema.

Kiufupi hiki chama kina chuki na wivu sana; na napata hisia chuki zao zina km vielement vya ukanda na udini hiviii (rejea vizuri hii thread).

Siku hiki chama kinashika dola, ndo itakuwa mwisho wa tz maana wana ujingaujinga mwingi usiovumilika. Watataka watulazimishe tuwaze na kutenda km wao kitu ambacho hakitowezekana. Km wao wamewezekana kuwazishwa na kutendeshwa vile mwenyekiti wao anataka basi wao na umburura wao, si sisi!

Jikiteni kujadili mambo yenu, mashetani nyie!!!
 
Kinaonekana kama chama cha kikanda kilichojaa udini na ukanda ambacho kilipata sapoti za wazanzibari sababu ya marehemu maalim Seif.

Ni chama ambacho ni mamluki ya chama tawala cha Ccm hivyo kipo hapo kama geresha tu kuwa kuna upinzani hapa Tanzania huku kikififisha nia thabiti ya kuwakomboa watanzania dhidi ya Ccm.

Wapemba waliuawa baada ya uchaguzi wa 2020 lakini baada ya uchaguzi viongozi wa Act wazalendo wakavuta mpunga na kujiunga na serikali ya umoja.

Watanzania sio wajinga na hawataki kupotezewa muda huku taifa lao linaliwa.

ACT itakufa Kama PAC ilivyokufa sauz.
CCM itakufa
CHADEMA itashika dola kabla nusu Karne haijafika, ina watu.
Unazungumzia chadema hii iliomsaliti Mbowe? Mlituambia mtaendeleza makongamano ya katiba yako wapi sasa. Kujazana mahakamani na hashtag za katiba mpya mitandaoni sio agizo la mwenyekiti.
 
Maelezo yako mengi ni sahihi isipokua jambo la udini. Kwanini kila kwenye mkusanyiko wa watu iwe ni kwenye vyama vya siasa, uongozi wa nchi, mashirika ya umma na hata binafsi inapotoke idadi ya majina ya wahusika kukawa na waislamu wame wa out number wakristo taasisi hiyo inakua labelled ni ya kidini au ina udini!!!

Siku zote Marehemu Magufuli kwa mfano hakuzingati usawa na uwiano wa kiimani na mtawanyiko wa kijamii katika teuzi zake. Alipendelea sana na waziwazi watu wa imani yake lakini hakukua na kelele za "udini" kumuhusu yeye badala yake kulikua na kelele za ukabila tu!

Ubaguzi wa kiimani/kidini unaanza na tabaka la imani lililokua na advantage na privileges dhidi ya imani nyingine na siku zote hawatosheki
Achana NAO hao washafilisika kwao wao UDINI nikuwepo waislam ktk hiyo taasisi na alama ya kutokuwepo UDINI NI kwamba kuanzia mkata majani mpaka kiongozi WA juu woooote WAWE ni wagalatia hiyo ndio tafcri Yao NI WA kuwapuza tu
 
ACT itakufa Kama PAC ilivyokufa sauz.
CCM itakufa
CHADEMA itashika dola kabla nusu Karne haijafika, ina watu.
Bora uendeleee kuota za kujikojolea kitandani kuliko kuota ndoto hyo ccm kutoka madarakani mpka POLICE WOTE WAFE
 
Haiwezekan ACT ifanane na Chadema kwny Siasa zake

Kama lazima wafanane basi hakuna haja ya kuwepo

Kila chama kitumie maarifa na mbinu zake kufanya Siasa
Hawa chadema ni chuki na wivu ndio vinawasumbua, ACT ni chama makini na viongozi makini. Kwa kutokujielewa kwenu ndio maana maishia magerezani na kukimbia nchi.
 
Hata kwenye Kamati kuu ya Chadema zaid ya nusu ya Wajumbe kule ni CCM…sema wapo kule kikazi tu
Bora uendeleee kuota za kujikojolea kitandani kuliko kuota ndoto hyo ccm kutoka madarakani mpka POLICE WOTE WAFE
 
Back
Top Bottom