mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Nadhani hili ni dili! Ukraine inapewa silaha hewa halafu wajanja wanaweka fedha mfukoni!! Kuna taarifa ilitoka kuwa ni asilimia 30 tu ya silaha zinazotolewa na nchi za magharibi kwenda ukraine ndizo zinazowafikia walengwa!! Watoa kodi wa nchi za magharibi wanapigwa pakubwa sana!! Silaha za dola bilioni 60!! siyo mchezo kama kwelin zingefika huko!! Bajeti hiyo ni mara mbili ya ile ya Urusi katika kipindi hiki cha vita.
Kinachofanyika bila shaka watu wanaweka pesa kibindoni kwa kuwashirikisha Zelensky na watu wake wachache halafu silaha kiduchu tu ndo zinapelekwa huko!!
Ukraine has repeatedly argued that an uninterrupted flow of Western weapons are key to its survival on the battlefield. Since February, the US has approved more than $54 billion of economic and military aid to Ukraine, while the UK has committed nearly $3 billion in military aid alone, and the EU has spent another $2.5 billion on arms for Kiev.
Despite the influx of weapons, Ukrainian President Vladimir Zelensky remarked last week that his military remains outnumbered and outgunned by Russia’s. Describing the fighting in Donbass as “hell,” Zelensky appealed to the US and its allies for even more arms and equipment, particularly HIMARS multiple launch rocket systems.
Kinachofanyika bila shaka watu wanaweka pesa kibindoni kwa kuwashirikisha Zelensky na watu wake wachache halafu silaha kiduchu tu ndo zinapelekwa huko!!
Ukraine has repeatedly argued that an uninterrupted flow of Western weapons are key to its survival on the battlefield. Since February, the US has approved more than $54 billion of economic and military aid to Ukraine, while the UK has committed nearly $3 billion in military aid alone, and the EU has spent another $2.5 billion on arms for Kiev.
Despite the influx of weapons, Ukrainian President Vladimir Zelensky remarked last week that his military remains outnumbered and outgunned by Russia’s. Describing the fighting in Donbass as “hell,” Zelensky appealed to the US and its allies for even more arms and equipment, particularly HIMARS multiple launch rocket systems.