GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sana SanaSimba wamejitahidi
Mtoe Banda kwenyehiuo orodha aisee😠😠Hawa wachezaji wa kimataifa hawana msaada Simba.
Kamati ya usajiri ya Simba inafanya utapeli mwingi sana.
Out
Akpan
Okwa
Okra
Mshahala wao mpeni Adebayo
Banda
Sawadogo
Onyango
Mshahala wao mpeni Manzoki
Nafasi ya Onyango atafutwe beki mtanzania tu. Anaweza akaanza kwanza Kennedy.
ni kweli kabisaNdiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Uko sahihi sana mkuu...Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Ushujaa upi? Check statistics za mchezo .....simba walizidiwa sana kimbinuNdiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Sio mbaya.... anyway kombe ndio huleta heshimaNdiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Umeharisha kiujumlaUshujaa upi? Check statistics za mchezo .....simba walizidiwa sana kimbinu
Kwa kuingia Robo Fainali ndo muitwe Bungeni!?Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Hizo statistics ndiyo magoli...?Ushujaa upi? Check statistics za mchezo .....simba walizidiwa sana kimbinu
Wazee wa Quarter FinalBungeni hatupeleki UHARO (Loosers).
So far Robo faibali ndo level yenu always